dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
uzi unazidi kua mtamu kama UwoyaThamani ya kiwanja utokana na makazi ya watu! Hakuna ardhi inayopanda bei kama hakuna makaz ya watu kabisa! So tuwaheshimu pia walioamua kujenga! Ushawah kujiuliza wote tukinunua viwanja na kila mtu asijenge bei ya kiwanja itapandaje?
Kwa mfano ukiambiwa kuwa gari ni liability haimaanishi kuwa gari Haina thamani kwa mtumiaji.Thamani ya kiwanja utokana na makazi ya watu! Hakuna ardhi inayopanda bei kama hakuna makaz ya watu kabisa! So tuwaheshimu pia walioamua kujenga! Ushawah kujiuliza wote tukinunua viwanja na kila mtu asijenge bei ya kiwanja itapandaje?
Nyumba ni asset,lkn inategemea umeijenga ktk location ipi.Wanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?
Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Kwa mfano ukiambiwa kuwa gari ni liability haimaanishi kuwa gari Haina thamani kwa mtumiaji.
Ila kama una BMW inakuwa heshima na pia kukutoa point A kwenda point B bila kupanda usafiri wa umma
Ila kama investment ya kutengeneza hela hapana.
Nyumba nayo inakuwa hifadhi na heshima hasa hapa nchini kwetu. Kwa sababu hakuna sheria za upangishaji zinazofuatiliwa.
Ila kibiashara ardhi inakuwa thamani especially kama hakuna mjengo.
Nilikuelewa vizuri sana, na ninasisitiza.Sidhan kama umesoma vizur nlichoandika au umekosa hoja ya kunijibu! Ni ukwel usiopingika nyumba aipandi thamani with time ila ukae ujue thamani ya ardhi pia aipandi bila nyumba! Unadhan ardhi ya kkoo na chanika tofaut yake ni madini? La hasha ni makazi mzee! So usibeze waliopt kujenga.
Sehemu yeyote ile.
Hivi kipi cha ajabu hapo?
Ardhi inapanda thamani, nyumba inashuka thamani.
Tumia uwiano mzuri ili ujenge nyumba kwa kutumia ardhi badala ya kutumia ardhi kujenga nyumba.
Acheni mawazo ya kijinga, hivi mtu unajengaje njiani wakati duniani tunapita..!!
By the way, Jesus alienda kutuandalia makao mbinguni kwa baba.
Laki Tano, nyumba ya gharama gani? Ipo maeneo yapi?
Tuanze hapo kwanza
Turudi tu porini tukakae chini ya mibuyu na miembe sio 😁
Wapuuze, nyumba ni asset.Wanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?
Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Naked truthMwenye 30mil cash hawezi kukuuliza ama ajenge au anunue viwanja.
Hiyo BORA, zingatia wengi siye, milioni 30 inakuja kuwa mjumuiko wa haste haste ya ujenzi wa mpaka miaka 10, kumbuka wengi tunachukua mkopo wa milioni 10 kwa kulipa kwa miaka 4.
Tuwe halisi kidogo jamani.
Kama kwa mfano wewe ni mwalimu, unataka kujenga nyumba.Anachosema jamaa ni kwamba, kwa mfano wako umesema 30M ununue viwanja 10. Hapo ni wastan wa 3M kwa kiwanja.
Anachouliza, hivyo viwanja vya milioni 3 unavipata wapi na kwa ukubwa gani ambapo thamani itapanda upesi kiasi cha kutumia viwanja viwili ujenge nyumba?
Kumbuka kiwanja cha Kijitonyama, Masaki, Chanika na Ubungo vinatofautiana sana thamani. Hauwezi kuuza viwanja viwili Chanika ukapata pesa ya kujenga nyumba ya kueleweka.
Kitu nakubaliana na wewe ni kweli ardhi inaongezeka thamani. Ila ni muhimu kuzingatia ardhi itakayokupatia tija na faida kubwa upesi bei nayo itakua imechangamka.
Na ndio sababu hata hao wanaonunua nyumba za kariakoo huzivunja na kujenga nyumba mpyaMkuu si kweli thamani ya nyumba inapanda kila siku Bali ile ardhi iliyobeba nyumba ndo hupanda kila siku.! Kadiri muda unavyokwenda nyumba huchoka na design yake hupitwa na wakati
Labda kama ni landlord huko vijijini au mkoani. Nakujibu kutokana na hoja zako.Hehe .... I'm a landlord.
Kukuondoa tu kwenye mawazo unayofikiria .
Na hawezi jibu.
Hapa ndipo ninapoona kuwa hujui maana ya uwekezaji katika nyumba.Hakuna kitu Cha hovyo kama kuweka hela Benki.
Kiwanja kitapanda thamani, tatizo ni subira.
Wewe subiri na endelea kulipia kodi. Kitapanda thamani.
Nyumba haipandi thamani na inalipiwa kodi pia.
Naam!Daaah!!! Nimepitia comments zote, pasipo na mashaka wale wa nunua viwanja zaidi kuliko kujenga majumba wamekuwa na hoja zenye uzito, itoshe tu kusema WAMESHINDA.
Muhimu zaidi, lazima uwe na nyumba yako hata ya kawaida ya kuishi, then ndo wekeza kwenye viwanja, siyo umepanga na unakazana kununua viwanja.
Kuishi kwako Kuna raha yake, mara hapa umeweka kabustani, pale umeweka Banda la kuku, UPO KWENYE MJI WAKO UMETULIA HAKUNA WA KUKUFOKEA.
Katika biashara yoyote location ndio suala muhimu sio real estate tu. Sasa unaposema nafanya biashara ya kujenga nyumba ya kupangisha tangu unanunua kiwanja lazima ujue soko lako.. ni biashara inayolipa vizuri tu.Ndio maana huyo jamaa akaulizwa hiyo nyumba anayopangisha iko wapi???????? Katika real estate, suala la location lina matter sana
NDO MAANA TUNATOA SADAKA ZA UJENZI KANISANI, KWA SABABU MBINGUNI KUNA UJENZIAcheni mawazo ya kijinga, hivi mtu unajengaje njiani wakati duniani tunapita..!!
By the way, Jesus alienda kutuandalia makao mbinguni kwa baba.
Huna akili ya biashara ya nyumba. Kwani mtu ukifungua duka la vifaa vya friji umasaini kusipo na umeme uwekezaji wako utarudi baada ya muda gani?Huyo aliyejenga nyumba kariakoo mwaka 1970 saizi umemuona yupo katika hali gani? nyumba tunajenga kama security ya maisha tu kwamba ikitokea siku huna ajira basi usishindwe kulipa kodi ukae kwako. Kama sio mfanyabiashara ukijenga nyumba umefukia pesa shimoni. Unajenga nyumba ya milion 70 mpangaji analipa kodi sh laki 2. mpaka ije irudi pesa uliyoifukia hapo ni miaka 20 ijayo baada ya hiyo miaka 20 nyumba yako inaonekana kama kibanda cha mganga wa kienyeji. Wafanyabiasha wanajenga nyumba wanaenda benk wanakopea mzigo wa maana wanauzungushia ndani ya muda mfupi wanapata faida kibao kodi za wapangaji ndo marejesho ya mkopo