Wanaosema kujenga ni kuzika pesa

Thamani ya kiwanja utokana na makazi ya watu! Hakuna ardhi inayopanda bei kama hakuna makaz ya watu kabisa! So tuwaheshimu pia walioamua kujenga! Ushawah kujiuliza wote tukinunua viwanja na kila mtu asijenge bei ya kiwanja itapandaje?
uzi unazidi kua mtamu kama Uwoya
 
Thamani ya kiwanja utokana na makazi ya watu! Hakuna ardhi inayopanda bei kama hakuna makaz ya watu kabisa! So tuwaheshimu pia walioamua kujenga! Ushawah kujiuliza wote tukinunua viwanja na kila mtu asijenge bei ya kiwanja itapandaje?
Kwa mfano ukiambiwa kuwa gari ni liability haimaanishi kuwa gari Haina thamani kwa mtumiaji.
Ila kama una BMW inakuwa heshima na pia kukutoa point A kwenda point B bila kupanda usafiri wa umma
Ila kama investment ya kutengeneza hela hapana.

Nyumba nayo inakuwa hifadhi na heshima hasa hapa nchini kwetu. Kwa sababu hakuna sheria za upangishaji zinazofuatiliwa.
Ila kibiashara ardhi inakuwa thamani especially kama hakuna mjengo.
 
Nyumba ni asset,lkn inategemea umeijenga ktk location ipi.
 

Sidhan kama umesoma vizur nlichoandika au umekosa hoja ya kunijibu! Ni ukwel usiopingika nyumba aipandi thamani with time ila ukae ujue thamani ya ardhi pia aipandi bila nyumba! Unadhan ardhi ya kkoo na chanika tofaut yake ni madini? La hasha ni makazi mzee! So usibeze waliopt kujenga.
 
Nilikuelewa vizuri sana, na ninasisitiza.
Ardhi inapanda thamani, ardhi bila jengo inauzika tena kwa thamani kubwa.
1. Hutabomoa
2. Rahisi kufanya amendment of plan.
Mimi siongei tu kwa ajili ya ubishi ninayajua haya kwa mifano halisi ya maishani.
 
Sehemu yeyote ile.
Hivi kipi cha ajabu hapo?
Ardhi inapanda thamani, nyumba inashuka thamani.
Tumia uwiano mzuri ili ujenge nyumba kwa kutumia ardhi badala ya kutumia ardhi kujenga nyumba.

Anachosema jamaa ni kwamba, kwa mfano wako umesema 30M ununue viwanja 10. Hapo ni wastan wa 3M kwa kiwanja.

Anachouliza, hivyo viwanja vya milioni 3 unavipata wapi na kwa ukubwa gani ambapo thamani itapanda upesi kiasi cha kutumia viwanja viwili ujenge nyumba?

Kumbuka kiwanja cha Kijitonyama, Masaki, Chanika na Ubungo vinatofautiana sana thamani. Hauwezi kuuza viwanja viwili Chanika ukapata pesa ya kujenga nyumba ya kueleweka.

Kitu nakubaliana na wewe ni kweli ardhi inaongezeka thamani. Ila ni muhimu kuzingatia ardhi itakayokupatia tija na faida kubwa upesi bei nayo itakua imechangamka.
 
Wapuuze, nyumba ni asset.
 
Naked truth
 
Kama kwa mfano wewe ni mwalimu, unataka kujenga nyumba.
Unadunduliza milioni moja leo unanunua matofali. Milioni mbili kesho unaanza kujenga. Milioni tatu mwezi ujao unajenga ... etc.
Nunua ardhi kwa mfano kisarawe II, au Mwasonga etc.. unapata ardhi 5,000/- per sqm. Ukitoa cash unapata hati ya wizara.

Kuna Kimbiji na Puna, 300 meters from the beach (tuseme 500 meters) 400sqm ni milioni 7,200,000/- ukitoa cash unapata hati ya wizarani.
Wewe leo una miaka 27, in 10 years unadhani beach ya kimbiji kiwanja kitakuwa bei gani? Na wewe unavyo mkononi vitatu au kumi vya kisarawe II.
Pia, as a collateral, kimoja unakichukulia mkopo, kwamba ewe ni mwalimu lakini collateral ya kiwanja inakupa good terms kama length/time ya mkopo na amount.
Hiyo loan unaweza kujengea kimoja, kimoja umeombea mkopo hati ipo bank na viwili vipo mkononi. Hii ni bora kuliko kujenga tu ili upate sifa halafu basi.
 
Mkuu si kweli thamani ya nyumba inapanda kila siku Bali ile ardhi iliyobeba nyumba ndo hupanda kila siku.! Kadiri muda unavyokwenda nyumba huchoka na design yake hupitwa na wakati
Na ndio sababu hata hao wanaonunua nyumba za kariakoo huzivunja na kujenga nyumba mpya
Technically wananunua ardhi
 
Hakuna kitu Cha hovyo kama kuweka hela Benki.
Kiwanja kitapanda thamani, tatizo ni subira.
Wewe subiri na endelea kulipia kodi. Kitapanda thamani.
Nyumba haipandi thamani na inalipiwa kodi pia.
Hapa ndipo ninapoona kuwa hujui maana ya uwekezaji katika nyumba.
 
Naam!
 
Ndio maana huyo jamaa akaulizwa hiyo nyumba anayopangisha iko wapi???????? Katika real estate, suala la location lina matter sana
Katika biashara yoyote location ndio suala muhimu sio real estate tu. Sasa unaposema nafanya biashara ya kujenga nyumba ya kupangisha tangu unanunua kiwanja lazima ujue soko lako.. ni biashara inayolipa vizuri tu.
 
Acheni mawazo ya kijinga, hivi mtu unajengaje njiani wakati duniani tunapita..!!
By the way, Jesus alienda kutuandalia makao mbinguni kwa baba.
NDO MAANA TUNATOA SADAKA ZA UJENZI KANISANI, KWA SABABU MBINGUNI KUNA UJENZI
 
Huna akili ya biashara ya nyumba. Kwani mtu ukifungua duka la vifaa vya friji umasaini kusipo na umeme uwekezaji wako utarudi baada ya muda gani?

Nyumba ni biashara, kabla hujaweka hata tofali umeshajua soko lako ndio maana kuna nyumba zina booking kabla hazijaisha na zimelipiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…