dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
uzi unazidi kua mtamu kama UwoyaThamani ya kiwanja utokana na makazi ya watu! Hakuna ardhi inayopanda bei kama hakuna makaz ya watu kabisa! So tuwaheshimu pia walioamua kujenga! Ushawah kujiuliza wote tukinunua viwanja na kila mtu asijenge bei ya kiwanja itapandaje?