Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Wise adviceWatu wengi Hawaelewi namna mambo yanakwenda inabidi tuendele kupeana elimu itatusaidiaa..!
Watu wanajenga commercial complex building hapa tz majengo makubwa lakini hawajengi kwa pesa zao ... wanacho miliki unakuta ni ardhi ..tu lakini wanakuwa financed na Ma bank,
Kiuchumi ujenzi wa nyumba ni hasara tu , kwasababu haizalishi pesa ila inatumia pesa kujenga..
Lakini haimaanishi watu wasijenge nyumba za kuishi ..
Kama kwa mfano wewe ni mwalimu, unataka kujenga nyumba.
Unadunduliza milioni moja leo unanunua matofali. Milioni mbili kesho unaanza kujenga. Milioni tatu mwezi ujao unajenga ... etc.
Nunua ardhi kwa mfano kisarawe II, au Mwasonga etc.. unapata ardhi 5,000/- per sqm. Ukitoa cash unapata hati ya wizara.
Kuna Kimbiji na Puna, 300 meters from the beach (tuseme 500 meters) 400sqm ni milioni 7,200,000/- ukitoa cash unapata hati ya wizarani.
Wewe leo una miaka 27, in 10 years unadhani beach ya kimbiji kiwanja kitakuwa bei gani? Na wewe unavyo mkononi vitatu au kumi vya kisarawe II.
Pia, as a collateral, kimoja unakichukulia mkopo, kwamba ewe ni mwalimu lakini collateral ya kiwanja inakupa good terms kama length/time ya mkopo na amount.
Hiyo loan unaweza kujengea kimoja, kimoja umeombea mkopo hati ipo bank na viwili vipo mkononi. Hii ni bora kuliko kujenga tu ili upate sifa halafu basi.
Dar es salaam siyo mkoani.Labda kama ni landlord huko vijijini au mkoani. Nakujibu kutokana na hoja zako.
Hahaaaaaa nawewe unaishije njiani Sasa.Acheni mawazo ya kijinga, hivi mtu unajengaje njiani wakati duniani tunapita..!!
By the way, Jesus alienda kutuandalia makao mbinguni kwa baba.
Sawa, hata kuuza alkasusu.Sasa kwa mfano huo huo wa mwalimu kama ulivyouleta.
Kama anadunduliza pesa ya kuanzia kununua kiwanja hadi kujenga, hali kadhalika atadunduliza hivyo hivyo kununua kiwanja, hana hiyo pesa ya mara moja. Naona hapa unaandika tu "cash" anapewa hati na asubirie miaka kumi bei ipande.
Umeona hayo maeneo yote potential kupata kiwanja cha maana kwa muktadha wa kuwekeza haukipati kwa 3 M kama ulivyoandika awali. Vinginevyo utasubiria sana thamani kupanda.
Kuna mwingine ni mfanyabiashara mzuri tu na anajua anachokifanya, atakwambia 10M kwa miaka kumi atakua ametengeneza pesa nzuri tu.
Hapa nnachosisitiza hakuna haja ya kubeza anaeamua kujenga ikiwa anajua kabisa uwezo wa kusubiria muda mrefu au kufanya biashara hawezi.
Wakati wewe unaongelea uwekezaji wa viwanja, mwingine atakwambia bora akanunue bonds BoT au hisa DSE.
Haya mambo inategemea sana na uelewa, utashi na mahitaji ya mhusika.
Thanks mkuu umenena vyemaBro, still hatimiliki ni vichochezi kwa ofisa mikopo wa Benki
Mkopo ni kama ajira, Benki watakwambia tunataka kazi au biashara yenye rekodi za mapato.
Wewe nenda ukajieleze na ukanegotiate terms of payments na ujisupport na collaterals.
Usikariri maisha, Kuna baadhi ya watu matajiri wakubwa tu wamenufaika na ardhi ya bure tu, tena mapori ya serikali wametumia kupata hela Benki na kuzizungusha.
Kuna nchi nyingi duniani Hamna ardhi.
Kama utatoa zawadi kwa wanao, iwe ardhi siyo umjengee Chanika wakati yeye anafanya kazi na kulowea Arusha na style ya nyumba siyo anayoitaka.
Sawa, hata kuuza alkasusu.
Ila ukiambiwa vitu vinavyopoteza thamani, gari (ingawa siyo zote) na nyumba/building (ingawa siyo zote)
Hata hisa za DSE zinashuka thamani kutegemea na soko.
Sometimes ni imani na utamaduni tu wa watu. Kama kuna viwanja 300 meters kutoka baharini kesho unakipata na hati kutoka wizarani na bado huamini wala hutaki kwenda kununua kwa sababu unaona ni shamba. Halafu unajenga nyumba ya milioni 40 kerege. Sawa, hayo ni maamuzi yako. Mwisho wa siku wewe ndiye unayetakiwa kuridhika, siyo mimi.
Mwambie bank wanapata faida kupitia ribaBenki hazikupangishi nyumba, zinakuuzia kiwanja.
Au mtu mwenye mtaji mkubwa, anaendeleza sehemu ambayo ilikuwa haikaliki na kuifanya estate.
Wanaweka maduka, gym, shule,hospitali etc...
mfano Avic town, palm vilage. lakini siyo wewe nyumba yako ya bati bomba Buza njia panda ya mwinyi ndio uipatie faida.
Bora uwekeze kwenye chips au alkasusu.
In reverse.Hapa ndipo ninapoona kuwa hujui maana ya uwekezaji katika nyumba.
Ndio maana sijajenga..🤣Hahaaaaaa nawewe unaishije njiani Sasa.
Upo sawa sana mkuu..teh😂NDO MAANA TUNATOA SADAKA ZA UJENZI KANISANI, KWA SABABU MBINGUNI KUNA UJENZI
Katoro nyumba uliyojenga kwa millioni 30 kodi ni laki na nusu .....ni bora hta ajenge geita ambapo kuna wafanyakazi wa mgodi ambao hta laki nne wanaweza kulipa.Kajenge Katoro inalipa
Pesa unapata. Mjadala ni kuwekeza 40 au 50m halafu kwa mwezi unapata hela kama ya Uber au bodaboda. Nyumba za $1500-2000 thamani yake ni karibu au zaidi ya bilioni.Alafu utakuwa unampa pesa
Mpitimbi?😂.. Huko Mgazini hukoJiulize wewe upo wapi...
Kama ni Mpitimbi huko ndani ndani una haki ya kushangaa!
Wamemaliza kubishanaMmemaliza kubishana?
Namaanisha mikoa isiyo na uhitaji au mzunguko mdogo ea fedha.Dar es salaam siyo mkoani.
Wamemaliza kubishana
Eti yesu hakujenga anaishi kwa baba. Maneno ya kijiweniKujenga Ni Woga Wa Maisha
Duniani Tunapita Tu
Mbinguni Tumeandaliwa Makao Ya Kudumu