Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
Nikanunue Nyumba?Nenda ukanunue nyumba ndiyo utaelewa kama zinaongezeka dhamani au la
Labda niwe na hela za kuchezea.
Wewe unaongea tu. Nyumba zinanunuliwa na zunapigwa greda everyday.
Nyumba inaleta heshima kwa mtu, siyo faida ya kifedha.
Labda fremu.