Wanaosema watu wasipiganie urithi ni wajinga, wasio na uelewa wa dunia

Wanaosema watu wasipiganie urithi ni wajinga, wasio na uelewa wa dunia

Atakayeshindwa kukurithisha ndiye mwanaume suruali.
Nawe ukishindwa kurithisha Watoto wako basi Cheo hicho kinakufaa
Wewe ni mwanaume suruali bwana haunaga jipya la maana Bali upumbavu tu......hakuna mtu aliyesema urithi hauna maana sema wewe ulivyojinasibu eti watu wapiganie urithi ndo maana nakuona MAVI
 
Nchi za mashariki ya Kati nyingi watu wake wanauwezo wa kurithisha Mali mpaka vizazi vinne. Alafu watu hivyo mlingane nao. Thubutu!

Kuna member mmoja humu nafikiri ni Mpwayungu Village alitoa kilio chake kuhusu Waarabu na wahindi kuishi Maeneo nyeti na mazuri hapa DAR es salaam au nchini Kama Upanga, Posta, OSTERBAY na Masaki.
Anadhani mtoto wa Kiarabu ni Kama Sisi watoto wa Kiswahili ambao wengi wetu tunaanza maisha Kwa kujenga msingi wenyewe, wenzetu mtoto wa kiarabu hafikirii sijui mambo ya Ajira 😀 yeye akimaliza elimu yake Moja Kwa Moja anarithishwa biashara Fulani.

Kijana anabisha hakuna haja ya kupewa Urithi alafu muda huohuo analalamika Hakuna Support 😂😂 Hivi alitegemea support kutoka Kwa Nani Kama sio Kwa wazazi wake?

Kijana anajifanya hataki Urithi alafu muda huohuo analalamika viongozi wakirithishana vyeo na Madaraka.
Vijana wa siku hizi Kama akili zimeyumba hivi
Kwa wewe kijana wa zamani ambaye ni nguli kwenye Mambo ya urithi siku uje utuelezee na mafanikio yako pia hapa.
 
Kwa wewe kijana wa zamani ambaye ni nguli kwenye Mambo ya urithi siku uje utuelezee na mafanikio yako pia hapa.

Unakataa Urithi alafu muda huohuo umerithi lugha ya Kiswahili kutoka Kwa wazazi wako,

Ukiwa mwanaume tumia akili yako vizuri kutafakari na kuchambua mambo.
Usifuate mkumbo Kama hayawani
 
Unakataa Urithi alafu muda huohuo umerithi lugha ya Kiswahili kutoka Kwa wazazi wako,

Ukiwa mwanaume tumia akili yako vizuri kutafakari na kuchambua mambo.
Usifuate mkumbo Kama hayawani
Urithi mtu akupe mwenyewe boya wewe lakini sio kuupigania.......wewe ni mavi kunuka
 
Wakinipa urithi ntachukua,but siwezi kubweteka eti kisa Kuna urithi!Wala siwezi kupigania eti nipate urithi wangu labda Nimuamini Sana mganga wangu😞
 
Nenda Mahakamani watakujibu.

Kama hutaki kurithisha Acha kuzaa. Tena hata ukifanya hivyo bado wapo watakaorithi😀😀
Watakachokipata baada ya kifo changu ndiyo nilichoridhia kibakie. LEngo kuu siyo kulazimishwa kwamba nisiuze mali zangu ati watoto wananilazimisha.

Aidha nitamrithisha ninayependa hasa yule atayenisaidia uzeeni, muhimu ni kuandika wosia.
 
Wakinipa urithi ntachukua,but siwezi kubweteka eti kisa Kuna urithi!Wala siwezi kupigania eti nipate urithi wangu labda Nimuamini Sana mganga wangu😞

Kubweteka ni ishu nyingine Mkuu
Alafu kubweteka pia ni tabia ya mtu.

Wangapi hawana Urithi na wamebweteka?
 
😂😂😂

Hasira za nini wee 🎶🎶🎶
Nani wewe MAVI tu wa kukukasirikia wewe atakuwa na mtindio wa ubongo....yaani leo umetoa bonge la boko umerudisha mpira nyuma halafu nae kipa katokea unaizawadia timu pinzani goli kwa upumbavu wako.

Kajipange tena.
 
Kubweteka ni ishu nyingine Mkuu
Alafu kubweteka pia ni tabia ya mtu.

Wangapi hawana Urithi na wamebweteka?
Nipo pamoja nawewe mkuu Ila tu mi siwezi kupigania urithi,nmepoteza ndugu zangu wengi sababu ya Mambo hayo ya kupigania urithi!

Malumbano ya urithi hayajawahi kuacha mtu salama.

Utajili ni utajili tu hata Kama ulitokana na urithi,Cha msingi uweze kuu manage na uwarithishe vizazi vijavyo.
 
Nipo pamoja nawewe mkuu Ila tu mi siwezi kupigania urithi,nmepoteza ndugu zangu wengi sababu ya Mambo hayo ya kupigania urithi!

Malumbano ya urithi hayajawahi kuacha mtu salama.

Utajili ni utajili tu hata Kama ulitokana na urithi,Cha msingi uweze kuu manage na uwarithishe vizazi vijavyo.

Watu hawatuati tamaduni na Mila ndio maana wanauana.
Ni kweli Urithi unaua pia😊😊
 
Nani wewe MAVI tu wa kukukasirikia wewe atakuwa na mtindio wa ubongo....yaani leo umetoa bonge la boko umerudisha mpira nyuma halafu nae kipa katokea unaizawadia timu pinzani goli kwa upumbavu wako.

Kajipange tena.

😀😀
 
Mimi Niko duniani kurithisha wengine nyie mnaosubiri kurithi mnipishe kidogo maana naona kama hamujakua mkikua mtaacha mawazo wakurithi mtabakiwa na mawazo ya kurithisha.
 
Mie huwa nawashangaa watu wanawatukana wenzio kwamba wanapigania vitu ambavyo hawakuangaika navyo.

Watu ni lazima watambue 90% ya matajiri wote duniani wamerithi utajiri huo kutoka katika familia zao.
Utasema hivyo kama tu kwenu hakuna chochote ambacho utarithi kama mimi hapa. 😀 Otherwise unawezaje kuiacha mali ya mzazi wako/Mume/Mke ipotee hivi hivi?
 
Utasema hivyo kama tu kwenu hakuna chochote ambacho utarithi kama mimi hapa. 😀 Otherwise unawezaje kuiacha mali ya mzazi wako/Mume/Mke ipotee hivi hivi?

😀😀😀

Hapo sasa!

Yaani maisha yalivyo magumu uanze kuanzia chini wakati Mzee wako aliacha magari, viwanda na majumba, come on! Watu waache Unafiki😀
 
Sheria moja ya haki ya mzazi kwa mwanae au wanae ni kuacha urithi kwisha!! Unazaa vip huna urithi wa kuachia watoto?
Sheria ni kuwapa elimu ambayo itawawezesha kujitafutia riziki bila ya shida. Na hapo ndiyo maana wazee wanakomaa kukupatia elimu lakini ukishafanikiwa unawasahau.

Huo ndiyo urithi muhimu katika maisha
 
Siku Uganda ikija kuchukua Ardhi ya Tanzania utajiona ulicho-comment kuwa ulikuwa unaakili za kushangaza!
Kweli bana Nduri Idd Amini!! aliwahi mega ardhi ya Bongo paleee kagera bana!! yaani kilicho tokea heeee! hakuna asiye jua humu!.......Nyerere alimuhamisha mazimaaaa akafia hukooooooooo!!
 
Back
Top Bottom