Wanaosema watu wasipiganie urithi ni wajinga, wasio na uelewa wa dunia

Wanaosema watu wasipiganie urithi ni wajinga, wasio na uelewa wa dunia

Nikiwa kama mzazi nitasikitika sana endapo nitakufa halafu watoto wangu waache mali zangu zipotee kisa hawataki kurithi.
Mtoto ambae hataki urithi aniambie mapema ili mali yangu nikaitoe sadaka

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mwalimu mmoja baada ya kustaafu maeneo ya home uko na kupata pesa zake aligawa Kama urithi kwa watoto wake wote,mmoja nampa jina X alijenga nyumba na kufungua duka,Sasa Kuna siku nilikuta wanatupiana maneno na jamaa fulani hivi kitaa sikujua chanzo Cha ugomvi ule bali nilitulia kusikia maneno ambayo walikuwa wanatupiana ,Jamaa akawa anamwambi X wewe ulikuwa hauna kitu umeponea pesa za Mama yako tu kujenga nyumba na kufungua duka ,X akamwambia huo ni urithi kutoka kwa Mama yangu mzazi wewe urithi ambao wazazi wako walikuachia uko wapi?

Ni dhahiri kwamba wale ambao wazazi wao huwa hawana kitu Cha kuwarithisha wanao,watoto huwa na chuki kwa wale ambao wamerithi vitu toka kwa wazazi wao na hapa ndo maneno Kama

Nakomaa mwenyewe vitu vya kurithi sitaji

Huna lolote Mali zenyewe umerthi tu utatuambia Nini

Yule utajili wake sio wa jasho karithi tu nk

Naunga mkono hoja [emoji817]%
 
Mada nzuri sana hii, ina kila madini yanayotakiwa, ila;

Psmoja na urithi tunaoachiwa, pamoja na mali ambazo tunategemea kuachiwa ili kuviendeleza vizazi vyetu, TUSIBWETEKE. Jukumu la kurithi ni kubwa sana, "rithi ili urithishe".

Mo kwa mfano amerithi sehemu kubwa ya mali za familia, lakini jukumu alilonalo ni kubwa, kuzalisha, kufungua viwanda zaidi ili kuendeleza urithi huu, akishindwa kufanya hivyo anakuwa kafeli. Kwa hiyo urithi ni WAJIBU pia.
 
Mwalimu mmoja baada ya kustaafu maeneo ya home uko na kupata pesa zake aligawa Kama urithi kwa watoto wake wote,mmoja nampa jina X alijenga nyumba na kufungua duka,Sasa Kuna siku nilikuta wanatupiana maneno na jamaa fulani hivi kitaa sikujua chanzo Cha ugomvi ule bali nilitulia kusikia maneno ambayo walikuwa wanatupiana ,Jamaa akawa anamwambi X wewe ulikuwa hauna kitu umeponea pesa za Mama yako tu kujenga nyumba na kufungua duka ,X akamwambia huo ni urithi kutoka kwa Mama yangu mzazi wewe urithi ambao wazazi wako walikuachia uko wapi?

Ni dhahiri kwamba wale ambao wazazi wao huwa hawana kitu Cha kuwarithisha wanao,watoto huwa na chuki kwa wale ambao wamerithi vitu toka kwa wazazi wao na hapa ndo maneno Kama

Nakomaa mwenyewe vitu vya kurithi sitaji

Huna lolote Mali zenyewe umerthi tu utatuambia Nini

Yule utajili wake sio wa jasho karithi tu nk

Naunga mkono hoja [emoji817]%

Ni kweli Kabisa Mkuu
 
Back
Top Bottom