Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Baraka zikishuka Hadi vitukuu vyako vitakula sehemu ya jasho lako.
Waliokosa baraka ndio ambao haachi hata shamba Fukayosi.
Urithi wa mtu ni WA kwake hata kama ni WA wazazi.
Nawashangaa sana watu wanaosema oooh! Mali zenyewe za kurithi.
Haijalishi as long as ni urithi wako you're responsible for that.
Maneno ya wakosaji 😂😂😂
Ooh! Nyumba ya Urithi, sijui Utajiri wenyewe kaachiwa!
Mbona Baba yako hakukuachia😀