Wanaotafuta Utajiri wa Punje za Mahindi na Jogoo, Imekaaje Hii?

huo upo mbeya huko na tunduma. unauza uhai wako kwa shetani na manake unakubaliana naye kwamba hata ukifa utaenda motoni moja kwa moja kwa raha chache za dunia hii. ndio maana kuku akidonoa punje moja, utaishi maisha ya pesa ndefu kwa mwaka mmoja na utapata kifo cha kushtukiza tu hata nafasi ya kutubu hutapata, watasikia tu umedondoka umekufa. wale wa Mbeya wanajua kilichompata yule jamaa wa kahotel golden city hotel pale sae. sitaki kuongeza neno.
 
Mzee ambae alikuwa anatoa huo utajiri alishakufa, alikuwa akiishi sehemu moja inaitwa isagwa , unaingilia ilula unashika boda ndo unafika, alijenga haswaa, ukifika mwenyewe unakuwa mpole! ila mikoba alibaki nayo mwanae wa kiume! ila nasika hawiki kama baba yake,
 
Sawa mkuu, ila kuna jambo wakati nawasikiliza wakirumbana ni kuhusujogoo wa mganga inaonekana alikula punje 3 ndipo sokomoko lilipokuwepo kuwa jogoo 🐓 aliyekuja na mteja aliendelea kula punje so, inakuwaje hapo?.
 
Mkuu nimekusoma asante sana.

Ila haya mambo ya utajiri wa fasta unawafanya vijana wengi hasa wanaotaka kuonekana kujitoa mhanga na mwisho wa siku wanapotea pasi kutubu.

NImesoma comments nyingi inaonekana wengi wa waliopta huu utajiri ufariki gafla sana pasi nafasi ya kupelekwa hospitali au kwenye matibabu.
 
Sawa mkuu, ila kuna jambo wakati nawasikiliza wakirumbana ni kuhusujogoo wa mganga inaonekana alikula punje 3 ndipo sokomoko lilipokuwepo kuwa jogoo 🐓 aliyekuja na mteja aliendelea kula punje so, inakuwaje hapo?.
punje atakayodonoa ndio idadi ya miaka utakayoishi kabla shetani hajaja kukuchinja na kuondoka na wewe kwa ghafla kabla haujamrudia Mungu wako, na ukifa kifo cha aina hiyo ni moja kwa moja kuzimu.
 
Huyo juma marasta ni mganga maarufu sana huko kigoma naskia kawategulia watu mitego mingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…