Wanaotafuta Utajiri wa Punje za Mahindi na Jogoo, Imekaaje Hii?

Huo utajiri wa punje waungwana bado upo,hasa hasa pia maeneo ya Sumbawanga,ila kwa ukanda huo wa Sumbawanga ni jogoo mmoja tu tena wa mganga ndiye uhusika katika kufunga mkataba wenu wa utajiri wa muda,na mara zote kadri adonoavyo punje chache zaidi ndivyo mhusika utakuwa na utajiri mkubwa mno kwa kipindi hicho kifupi zaidi kabla ya umauti kukufika.

Na huu ndio utajiri usio na lawama hata kwa ndugu sambamba na utajiri wa kuharibu uzazi wako ungali huna hata mtoto wa kusingiziwa,na utajiri wa donda ndugu/lisilopona,kwa kuwa utakuwa umeji~sucrifice mwenyewe kuliko utajiri wa kula wanao na nduguzo kila wakati
 
Inawezekana Kutegua
 
Ngoja nifunge safari kwenda west africa na ndoto yangu n moja tuu niwe wazir wa umeme ili nipunguze tatizo sijui jogoo 👩‍💻atakula punje ngap
 
Ngoja nifunge safari kwenda west africa na ndoto yangu n moja tuu niwe wazir wa umeme ili nipunguze tatizo sijui jogoo 👩‍💻atakula punje ngap
Secret Societies zipo nyingi na mojawapo ni Freemasonry. Hizi za West Africa nyingi ndiyo zilizo waongoza Wafalme katika utawala.

Hata Wakoloni kutawala bara la Afrika haikua rahisi. Wafalme walielekezwa mbinu za kupambana kutoka kwa mizimu.

Ninaamini Wazungu walitumia uchawi pia kuweza kututawala.
 
Imani yako iko sahihi. Nitakuja na Uzi siku Moja hapa
 
Yeaaah hata kwetu upo huu pia, jogoo n m1 tyuuh wa mganga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…