NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Asante sana boss kwa feedback.Unapata exemption kwa level ya foundation kwahiyo utaanzia intermediate ambayo ina masomo sita then utamaliza final level yenye masomo manne tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana boss kwa feedback.Unapata exemption kwa level ya foundation kwahiyo utaanzia intermediate ambayo ina masomo sita then utamaliza final level yenye masomo manne tu
Asante sana boss kwa feedback.
Kama wewe huwezi haimaanishi kila mtu hawezi.How come mtu anakuwa mtaalamu wa B4 na B5 kwa pamoja
Hapo umetudanganya
Mkuu nahitaji past papers za B4 na C4 kama naweza kupataKama wewe huwezi haimaanishi kila mtu hawezi.
Nenda DSM CPA REVIEW CENTER ukafanye utafiti mwenyewe kisha rudi hapa kuleta mrejesho.
Dah ngoja tujaribu kutafuta kwa wanaosoma hayo masomo, mimi nasoma B5 mkuu
Mkuu, na Mimi, nilikupm, tusaidie plus, kuna kumi ya vocha na kausumbufuDah ngoja tujaribu kutafuta kwa wanaosoma hayo masomo, mimi nasoma B5 mkuu
Nashukuru Mkuu .. Nitafanya NanmaKama uko dar nenda board(nbaa) mhasibu House zipo kibao zimezagaa unachukua bure kama uko mkoan ndio jambo lingine tena hapo
I think utaanzia intermediate level, maana naonaga karibia wote wenye Accounting knowledge wanaanzia intermediate level then finalNa ukiwa na post graduate diploma ya accounting/ financial management, kwenye CPA utaanzia level gani...?
cc financial services
Masters hoyeeeeeh.Wakuu maandalizi yanaendaje popote mlipo maana next week ndiyo mitihani inaanza, upande wangu naendelea kupambana japo Performance management si mchezo sielewi nisome kipi niache kipi mambo kibao afu zima moto[emoji849][emoji849]
Thank you katoto, elimu ya utu uzima si mchezo unaanza kusoma mara unapokea message "kuanzia leo mimi na wewe basi dah"😂😂 ila tutafika tuMasters hoyeeeeeh.
Pambana sis angu, [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Shukran sana kwa mkuu. Na ikiwa utapata jibu la uhakika zaidi usisite kunipatia taarifa zaidiI think utaanzia intermediate level, maana naonaga karibia wote wenye Accounting knowledge wanaanzia intermediate level then final
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu achana na mapenzi, bukua kwan sis angu.Thank you katoto, elimu ya utu uzima si mchezo unaanza kusoma mara unapokea message "kuanzia leo mimi na wewe basi dah"[emoji23][emoji23] ila tutafika tu