mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
- Thread starter
- #181
umeonaee watu tunakumbuka maraha yeye analeta maudhu ya kiswahili wakati wengine tumekutna nacho darUmeandika vizuri tu, achana na huyo ndezi kaja kuharibu thread tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeonaee watu tunakumbuka maraha yeye analeta maudhu ya kiswahili wakati wengine tumekutna nacho darUmeandika vizuri tu, achana na huyo ndezi kaja kuharibu thread tu.
Diana Aston VILLA ndio mama wa yule mtoto Small Jobiso?
Unaonaje ukarudi darasani naona unaumia sanaIli isaidie nini? Nashangaa huko shule walienda kusomea ujinga!!
Nirudi vipi wakati wasomi wenyewe hamna kitu, nami niende kusomea ujinga?Unaonaje ukarudi darasani naona unaumia sana
Shule gani hiyo inafundisha ujinga mkuu, na nan kakwambia ujinga unasomea?Nirudi vipi wakati wasomi wenyewe hamna kitu, nami niende kusomea ujinga?
yesHata mimi ni mkongwe, ila DSM nimeingia mwanzoni mwa 2001.
Naomba kujua Masilingi anayetajwa hapa ndio huyu balozi wetu huko USA?
Unataka kumpa ajira?Umemaliza chuo kikuu halafu kuandika hujui? Elimu majanga hii
Huyo ndio nshomile feki,kakubali matokeoWana JF,
Ukitaka kujua thamani ya hela na kujua Pesa ni vitoto vya kuku kamtafute Papa Rwegasira mmiliki Wa silent inn, sasa hivi ni mwendo Wa daladala, Jamaa enzi za mkapa alimiliki mamilion . kwa sasa hana hata bodaboda.
Uzuri nimempenda anajichanganya ashajikubali, wale wenye hela za kubip tulizeni mikia jenga cha kukufaa uzeeni acheni majivuno na dharau.
Amekubali matokeo mapema sana, hata kama kuna kukosea ukiishajiunga na dini ukataja madhambi yako yote wakati Wa kutafuta hutakuja kuaminika tena. Bora uwe kama yule mwenye vituo vya mafuta Victoria, yupo kwenye Dini na biashara yumo, ukikaa vibaya unaenda na maji
AiseeeeAmekubali matokeo mapema sana, hata kama kuna kukosea ukiishajiunga na dini ukataja madhambi yako yote wakati Wa kutafuta hutakuja kuaminika tena. Bora uwe kama yule mwenye vituo vya mafuta Victoria, yupo kwenye Dini na biashara yumo, ukikaa vibaya unaenda na maji
Hapo Silent Inn kwa Kuhani Mussa? enzi hizo ilikua njia panda ya kwenda kuzimu kwa shetani.Animeona noma yaani uwezi amini amebaki kichwa tu. Ule uchokaji ni hatari aisee
Igongwe bado ipo ingawa imechoka kidogo.Dah Mkuu nshakunywa safari lager kipindi like nikiwa nimetokea Igongwe bar[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app