Wanaotamba na vijisent jifunzeni kwa Papaa Rwegasira Mzee wa Kibinda Nkoi

Wanaotamba na vijisent jifunzeni kwa Papaa Rwegasira Mzee wa Kibinda Nkoi

Dhuluma hajawahi kuacha mtu salama. Alimtapeli Bwana Makoye mmiliki hatali wa silent Inn. Waliingia makubaliano kati ya Rwegasira na Makoye kuwa Rwegasira atakarabati halafu ampe percent fulani ya mapato kila mwezi ila Rwegasira apate zaidi na amiliki pale kwa muda waliokubaliana. Rwegasira akaenda fanya forgery mkataba Ile akaweka kuwa wamiliki kwa miaka 100. Halaula. Walisumbuana na sielewi ilifika wapi. Baadaye Rwegasira akaanza kufilisika. Baadaye Silent Inn ikawa inafanyikia Ibada i.e kama kanisa la kilokole. Hivyo basi hakuna dhuluma isiyokuwa na mwisho.
 
Rugemalira hajachoka anachoshwa tu bado iko njema. Akitoka anaweza kuwa na ukwasi ile mbaya. Ogopa kichwa kile, MTU alijisomesha ukubwani akagonga GPA ya juu kabisa. Alafu bado Mabibo wine inafanya vizuri under mwanae, huyu rwegasila ukimpa teni anaweza kukusalimia shikamoo kaka, akikataa ni ujeuri tuu.
Hapo uliposema alijisomesha ukubwani....mkuu naomba ufunguke kidogo tu, itanisaidia mimi nisikate tamaa maana nipo chuoni huku nikitarajia kupata mjukuu!
 
Rwegasira hakuwahi kumiliki Silent Inn ingawa aliijenga yeye ile Club. Yeye alikuwa mpangaji tu kwa makubalino ya upangaji wa muda mrefu.
Felician alimiliki bendi ya FM International kiwanja cha nyumbani kikiwa pale Kinondoni jirani na makaburi ya Mtaa wa Ufipa. Nadhani palikuwa panaitwa Lang'ata Social Hall.
Sasa silent in si ndo lilikuwa jina LA club na business name ya hapo? Basi ilikuwa yake Rwegasila na ndo alikuwa mmiliki!
 
Silent in ipo sehemu gani?Huyo PDG alikuwa na biashara zipi ?
Silent inn miaka kuanzia 1996 ilikuwa pale barabara ya Sam Nujomba mita kama 200 upande wa kushoto kutoka kanisa la kakobe kama unaenda mwenge kabla ya kupanuliwa na kuwa njia 4
 
Vifo vya wasanii tz hatari, zamani nilizani Hussein Macheni anapamiliki pale magomeni. Kumbe hakuwa na nyumba Dar, alioa kamwanamke kanaitwa Ashura, baade maisha yakagoma wakaenda kukaa kwa mwanamke!! Cheni moja ilitosha kununua kiwanja mbagala lakini hakufanya hivyo akaja kuugulia shambani na kufia huko huyu Bavaria mtoto Wa mjini
Dah! Eebwana weee!
 
Wana JF,

Ukitaka kujua thamani ya hela na kujua Pesa ni vitoto vya kuku kamtafute Papa Rwegasira mmiliki Wa silent inn, sasa hivi ni mwendo Wa daladala, Jamaa enzi za mkapa alimiliki mamilion . kwa sasa hana hata bodaboda.

Uzuri nimempenda anajichanganya ashajikubali, wale wenye hela za kubip tulizeni mikia jenga cha kukufaa uzeeni acheni majivuno na dharau.


Picha yake tafadhali.
 
Si a
Wana JF,

Ukitaka kujua thamani ya hela na kujua Pesa ni vitoto vya kuku kamtafute Papa Rwegasira mmiliki Wa silent inn, sasa hivi ni mwendo Wa daladala, Jamaa enzi za mkapa alimiliki mamilion . kwa sasa hana hata bodaboda.

Uzuri nimempenda anajichanganya ashajikubali, wale wenye hela za kubip tulizeni mikia jenga cha kukufaa uzeeni acheni majivuno na dharau.
Si alifungua kanisa huyu mzee
 
Hivi Silent Inn mmiliki alikuwa ni Rwegasila? Nilijua ni Felician Mutta FM Studio Jamani Tunda nitalipataje Tunda? Tunda TamTam Daaaaa mda unaenda sana!!

Mutta ndio alikimilikisha kazi zote za saida karoli


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nasikia aliokoka alikuwa anasali kwa mama wa mlima wa moto,pale Maikocheni
 
Back
Top Bottom