Wanaotamba na vijisent jifunzeni kwa Papaa Rwegasira Mzee wa Kibinda Nkoi

Wanaotamba na vijisent jifunzeni kwa Papaa Rwegasira Mzee wa Kibinda Nkoi

Kuna uzinduzi mmoja wa Albamu ya Sugu mwaka 2001 nadhan, Wanachuo tulipunguziwa kiingilio na kila Ijumaa kulikua na Friday Faculty day na DJ Fast Eddy then wanagonga Wana kibinda Nkoi ha ha Elly Chinyama, Anicet Patelo, Zola Zinganguvu, Allain Mulumba Kashama!! Issue ya umiliki wa hiyo site ya Silent Inn ilimfiris
Hicho kiwanja kilikuwa kikari balaa! Enzi hizo niko UDSM (FoE) baada ya kupiga msuli tunachepukia short cut ya pale ilipo mlimani city tunaingia kiwanja mida ya fungulia mbwa! Daah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara yake kubwa ilikuwa ni Fumigation. Kazi kubwa alifanya kwenye kupulizia dawa Govt quarters country wise. Tafuta Interstate fumigation Company & General Supplies.
Ok,hivyo uongozi ulivyobadilika ikala kwake.
 
Ila baadae alikua na mgogoro na Mmiliki Mzee Makoye then akageuza Kanisa akaokoka
Rwegasira hakuwahi kumiliki Silent Inn ingawa aliijenga yeye ile Club. Yeye alikuwa mpangaji tu kwa makubalino ya upangaji wa muda mrefu.
Felician alimiliki bendi ya FM International kiwanja cha nyumbani kikiwa pale Kinondoni jirani na makaburi ya Mtaa wa Ufipa. Nadhani palikuwa panaitwa Lang'ata Social Hall.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Message from the Finance Officer.
""Never give the FINANCIAL ADVICE to someone who has never ask you""

Everyone should live his/her life.

#YNWA

Wrote from Anfield..!!

Who has never ASKED you. Ahsante mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe una superiority complex siyo dogo
Siyo mbaya kama ipo justified.

Your retorts are pointless.

What exactly are you protesting?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Shikamoo
Kuna uzinduzi mmoja wa Albamu ya Sugu mwaka 2001 nadhan, Wanachuo tulipunguziwa kiingilio na kila Ijumaa kulikua na Friday Faculty day na DJ Fast Eddy then wanagonga Wana kibinda Nkoi ha ha Elly Chinyama, Anicet Patelo, Zola Zinganguvu, Allain Mulumba Kashama!! Issue ya umiliki wa hiyo site ya Silent Inn ilimfiris

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atafute wale washauri wa biashara wanao tuambia " Bill Gates aliulizwa swali kama Leo akifulia kabisa atafanya nn ili aweze kurudi juu" wale maconsultant wanamajibu wanaweza mpa ushauri akarejea kileleni juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua balaa, na jamaa kaungaunga kamtapeli maza mkuu wa forodhani akaleta videnti vya forodhani kaahidi kuvipa kazi mzee na lile jengo chochoro kibao, basi ikawa unatandika huyu unarudi unapumzika unabeba huyu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzinduzi mmoja wa Albamu ya Sugu mwaka 2001 nadhan, Wanachuo tulipunguziwa kiingilio na kila Ijumaa kulikua na Friday Faculty day na DJ Fast Eddy then wanagonga Wana kibinda Nkoi ha ha Elly Chinyama, Anicet Patelo, Zola Zinganguvu, Allain Mulumba Kashama!! Issue ya umiliki wa hiyo site ya Silent Inn ilimfiris

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe humu mpo wakongwe wenzetu...
Silent Inn ilikuwa moto.
Ile bendi yake pia ilikuwa moto. Yaani ilikuwa burudan juu ya burudan Mkuu. Mzigo huu hapo chini jikumbusheni maraha ya wakati huo.
 
Ila baadae alikua na mgogoro na Mmiliki Mzee Makoye then akageuza Kanisa akaokoka

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee Makoye kwa kuwa alikuwa hajui kusoma vizuri walimwandikisha mkataba feki huko Nairobi, mkataba uliandaliwa na Masiliingi akiwa kama mwanasheria wakampihabkinywaji kwenye hotelbkali zilivyomruka wakamsainisha ndivyo sivyo, alivyokuja kugundua ishakula kwake wkaanza kukimbizana kotini. Kama sio kuokolewa na ndugu makoye ingekula kwakee
 
Ok,hivyo uongozi ulivyobadilika ikala kwake.
Papa Masilingi alimtupa , baadhi ya madai yake ya famigation yalikosa uthibitisho Ben akayapiga chini hakulipwa, alipoteza kama million mia Nane kipindi hicho, tena Maslingi alivyopewa uwaziri akaambiwa akae mbali na TP huyo hivyo akaanza kufulia kwa madeni. Bendi ikafa , biashara ya baa ikayumba, kesi ya pale kwenye biashara ikapamba moto, akapageuza kabisa lakini wapi , alipafanya Tawi la mama Rwaka, naye kashutukia dili akamtema. Ila Jamaa maskini hakuwa analinga ila ukikaa vibaya anakuliza
 
Back
Top Bottom