babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Ana kila kitu alichota kipindi cha MkapaHuyu masilingi ana bonge la ghorofa huko vijijin nshamba muleba ila familia ilikuwa marekani huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana kila kitu alichota kipindi cha MkapaHuyu masilingi ana bonge la ghorofa huko vijijin nshamba muleba ila familia ilikuwa marekani huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Walizinguana akaenda kudungua kabisa lake nalo akafeli.
No yule mamaake queen jobiso katoka Singida huko, Diana kuna mtoto alizalisha na huyu mr nice na nilichangia damu.Diana Aston VILLA ndio mama wa yule mtoto Small Jobiso?
Rugemalira alikuwa anakuja nyumbani kwetu kuongea deal na mshua wangu.Ukiwa ulishuhudia hawa jamaa huwezi kuwapinganisha, unless uliwasikia tu
Kumbe nimeelewa matatizo yako yanatokana na nini! Wachagga tunaita makijidaiRugemalira alikuwa anakuja nyumbani kwetu kuongea deal na mshua wangu.
Si mtu ninayemsikia tu.
Sijawalinganisha, nimewatenganisha.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Kama una inferiority complex, hilo ni tatizo lako, si langu.Kumbe nimeelewa matatizo yako yanatokana na nini! Wachagga tunaita makijidai
Wewe una superiority complex siyo dogoKama una inferiority complex, hilo ni tatizo lako, si langu.
Mimi nimeeleza fact tu. Kuweka rekodi sawa.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Duh, kumbe ndiye aliyewashughulikia.huyu mzee ni dhurumati acha apande Daladala wakina Ndanda Kosovo (RIP) walipokuwa wanamdai haki zao akawapeleke Segerea(kisa cha kujiita wajelajela original) malipo hapa hapa duniani
🤣🤣🤣No yule mamaake queen jobiso katoka Singida huko, Diana kuna mtoto alizalisha na huyu mr nice na nilichangia damu.
Banza na nice walinikuta👊🤣🤣🤣
Na wewe ndio mpo kwenye foleni ya Banza stone mkuu?
Maana Diana Aston villa alikuwa hatari mkuu au habari za mjini tu?
Na yule jobiso si atakuwa na familia now?
Hao ni Fm Felicien Muta aliwapeleka, wakakamatwa bar and guest pale stereo Rwegasira bendi yake ilikua mbezi beach kawakodia ghorofa zimaDuh, kumbe ndiye aliyewashughulikia.
Ila walijiita Wajelajela, hiyo original iliongezwa baada ya kumeguka.
Umechanganya sio huyuhuyu mzee ni dhurumati acha apande Daladala wakina Ndanda Kosovo (RIP) walipokuwa wanamdai haki zao akawapeleke Segerea(kisa cha kujiita wajelajela original) malipo hapa hapa duniani
Siyo huyu unachanganya mambo. Ile ilikuwa ni bendi ya FM International mmiliki akiwa ni Mzee Felician Muta.huyu mzee ni dhurumati acha apande Daladala wakina Ndanda Kosovo (RIP) walipokuwa wanamdai haki zao akawapeleke Segerea(kisa cha kujiita wajelajela original) malipo hapa hapa duniani
Biashara yake kubwa ilikuwa ni Fumigation. Kazi kubwa alifanya kwenye kupulizia dawa Govt quarters country wise. Tafuta Interstate fumigation Company & General Supplies.Silent in ipo sehemu gani?Huyo PDG alikuwa na biashara zipi ?
Wana Jf,
Ukitaka kujua thamani ya hela na kujua Pesa ni vitoto vya kuku kamtafute Papa Rwegasira mmiliki Wa silent inn, sasa hivi ni mwendo Wa daladala, Jamaa enzi za mkapa alimiliki mamilion . kwa sasa hana hata bodaboda. Uzuri nimempenda anajichanganya ashajikubari . wale wenye hela za kubip tulizeni mikia jenga cha kukufaa uzeeni acheni majivuno na dharau.
Rwegasira hakuwahi kumiliki Silent Inn ingawa aliijenga yeye ile Club. Yeye alikuwa mpangaji tu kwa makubalino ya upangaji wa muda mrefu.Hivi Silent Inn mmiliki alikuwa ni Rwegasila? Nilijua ni Felician Mutta FM Studio Jamani Tunda nitalipataje Tunda? Tunda TamTam Daaaaa mda unaenda sana!!
Alipanga tu.Hivi nyumba ambayo ilikuwa Silent Inn alipanga au alikuwa mmiliki?
Ila ndio alikuwa mwanzilishi wa Muziki wa Dansi wa kisasa (Diamond Sound).
Sent using Jamii Forums mobile app
Fred alikuwa haringi hata kidogo. Wacha assumption zako. Alikuwa MTU wa watu sana tu.Mkuu pesa huisha hiyo inafahamika.
Lakini kwanini umemhusisha Rwegasira na majivuno? Alikuwa anaringa?