Wanaotamba na vijisent jifunzeni kwa Papaa Rwegasira Mzee wa Kibinda Nkoi

Wanaotamba na vijisent jifunzeni kwa Papaa Rwegasira Mzee wa Kibinda Nkoi

Ila Silent inn top management ilikuwa na kampany ya wazee wa jiji wala bata na walikuwa nazo! Namkumbuka mzee mmoja "samwel" na mwenyewe kanda ya huko huko alikuwa Bossy TPDC ukimkuta na mke wake (RIP) pale ukamsalimia atakushushia kinywaji mpaka utambae!
 
[emoji119][emoji119][emoji119]
Rugemalira hajachoka anachoshwa tu bado iko njema. Akitoka anaweza kuwa na ukwasi ile mbaya. Ogopa kichwa kile, MTU alijisomesha ukubwani akagonga GPA ya juu kabisa. Alafu bado Mabibo wine inafanya vizuri under mwanae, huyu rwegasila ukimpa teni anaweza kukusalimia shikamoo kaka, akikataa ni ujeuri tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana Jf,

Ukitaka kujua thamani ya hela na kujua Pesa ni vitoto vya kuku kamtafute Papa Rwegasira mmiliki Wa silent inn, sasa hivi ni mwendo Wa daladala, Jamaa enzi za mkapa alimiliki mamilion . kwa sasa hana hata bodaboda. Uzuri nimempenda anajichanganya ashajikubari . wale wenye hela za kubip tulizeni mikia jenga cha kukufaa uzeeni acheni majivuno na dharau.
Hatuwezi kupata kapicha mkuu
 
Masilingi alimuachia benzi kali toka ikulu, kwaajili ya watoto, kazoba namkumbuka sana rwegasira kaja akadai mi sijui km hamjapewa mishahara.kafungua briefcase unaitwa jina unachukua chako.
Baada ya hapo ndo ikawa jioni tunagonga party ya staff kina mulumba kashama ndani, king dodoo la bouche yumo wengine nimewasahau
Jamaa akasema store yote ya yule mchaga aliyemuuzia silent in iwe empty, tukatwanga pombe siku 2 ya 3 tukarudi kupumzika hm ya 4 w end tukaingia mzigoni
then anakuja koffi ollomide mara ya kwanza 96 hiyo.
Aisee..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My apology kwake mafuta post yangu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Aliyekula pesa ya Saida ni FM Felicien Muta,Mshana hao mtu mbili tofauti na muta ndio akaanzisha fm muziki baadae ikawa pinzani na Diamond musica iliyokuwa ya rwegasira na hiyo FM musica ilikua inaitwa bogoss musica kenya huko na ilikua bendi ya asha baraka 92 wakashindwana kimaslahi ndo wakamkimbia kwenda Kenya ikiongozwa na huyo Nyoshi el sadaat.

Jr[emoji769]
 
Masilingi alimuachia benzi kali toka ikulu, kwaajili ya watoto, kazoba namkumbuka sana rwegasira kaja akadai mi sijui km hamjapewa mishahara.kafungua briefcase unaitwa jina unachukua chako.
Baada ya hapo ndo ikawa jioni tunagonga party ya staff kina mulumba kashama ndani, king dodoo la bouche yumo wengine nimewasahau
Jamaa akasema store yote ya yule mchaga aliyemuuzia silent in iwe empty, tukatwanga pombe siku 2 ya 3 tukarudi kupumzika hm ya 4 w end tukaingia mzigoni
then anakuja koffi ollomide mara ya kwanza 96 hiyo.
Huyu masilingi ana bonge la ghorofa huko vijijin nshamba muleba ila familia ilikuwa marekani huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masilingi alimuachia benzi kali toka ikulu, kwaajili ya watoto, kazoba namkumbuka sana rwegasira kaja akadai mi sijui km hamjapewa mishahara.kafungua briefcase unaitwa jina unachukua chako.
Baada ya hapo ndo ikawa jioni tunagonga party ya staff kina mulumba kashama ndani, king dodoo la bouche yumo wengine nimewasahau
Jamaa akasema store yote ya yule mchaga aliyemuuzia silent in iwe empty, tukatwanga pombe siku 2 ya 3 tukarudi kupumzika hm ya 4 w end tukaingia mzigoni
then anakuja koffi ollomide mara ya kwanza 96 hiyo.
Yaani kama nakuona vile, Yale mabia niliyakosa kigodo, ila mengi nimeyanywa kwake pa zamani mtaa Wa Uganda avenue, Jamaa kila jmosi kwake anafoji visherehe, akipata mtoto mzuri anampandisha ndege kwenda kumlarua Nairobi.
 
Wewe ulimuweza madreva wake Hamis, Sos, na Sadiki waliambulia patupu aliwakopa mishahara mwaka hivi, yaani Jamaa alikuwa mpigaji hatari, unamkumbuka mamvi Kazoba? Hiyo alipewa gari nyekundu kazi yake ikikuwa kuleta watoto wazuri kwa Rewega na Mh. Masiringi. Hawa Jamaa walikuwa hatari. Nakumbuka hata Mwenge eneo hilo silent inn alitapeliwa
Kuwa dhurumati sio ujanja malipo hapa hapa
 
Back
Top Bottom