Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Ila Silent inn top management ilikuwa na kampany ya wazee wa jiji wala bata na walikuwa nazo! Namkumbuka mzee mmoja "samwel" na mwenyewe kanda ya huko huko alikuwa Bossy TPDC ukimkuta na mke wake (RIP) pale ukamsalimia atakushushia kinywaji mpaka utambae!