Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Lillian internet niliaapaga lazima nimpate.Wapi pa paa mrumba kashama mkuu Wa majeshi, Lilian internet, kamuke sukari , Diana asyonvila, elly longomba, ely kinyama, Jesus, JoJo jumaine, Neeema kumbuka, kupataaa ni majaliwa
Rugemalira hajachoka anachoshwa tu bado iko njema. Akitoka anaweza kuwa na ukwasi ile mbaya. Ogopa kichwa kile, MTU alijisomesha ukubwani akagonga GPA ya juu kabisa. Alafu bado Mabibo wine inafanya vizuri under mwanae, huyu rwegasila ukimpa teni anaweza kukusalimia shikamoo kaka, akikataa ni ujeuri tuu.
Hatuwezi kupata kapicha mkuuWana Jf,
Ukitaka kujua thamani ya hela na kujua Pesa ni vitoto vya kuku kamtafute Papa Rwegasira mmiliki Wa silent inn, sasa hivi ni mwendo Wa daladala, Jamaa enzi za mkapa alimiliki mamilion . kwa sasa hana hata bodaboda. Uzuri nimempenda anajichanganya ashajikubari . wale wenye hela za kubip tulizeni mikia jenga cha kukufaa uzeeni acheni majivuno na dharau.
Aisee..Masilingi alimuachia benzi kali toka ikulu, kwaajili ya watoto, kazoba namkumbuka sana rwegasira kaja akadai mi sijui km hamjapewa mishahara.kafungua briefcase unaitwa jina unachukua chako.
Baada ya hapo ndo ikawa jioni tunagonga party ya staff kina mulumba kashama ndani, king dodoo la bouche yumo wengine nimewasahau
Jamaa akasema store yote ya yule mchaga aliyemuuzia silent in iwe empty, tukatwanga pombe siku 2 ya 3 tukarudi kupumzika hm ya 4 w end tukaingia mzigoni
then anakuja koffi ollomide mara ya kwanza 96 hiyo.
Aliyekula pesa ya Saida ni FM Felicien Muta,Mshana hao mtu mbili tofauti na muta ndio akaanzisha fm muziki baadae ikawa pinzani na Diamond musica iliyokuwa ya rwegasira na hiyo FM musica ilikua inaitwa bogoss musica kenya huko na ilikua bendi ya asha baraka 92 wakashindwana kimaslahi ndo wakamkimbia kwenda Kenya ikiongozwa na huyo Nyoshi el sadaat.
Huyu masilingi ana bonge la ghorofa huko vijijin nshamba muleba ila familia ilikuwa marekani hukoMasilingi alimuachia benzi kali toka ikulu, kwaajili ya watoto, kazoba namkumbuka sana rwegasira kaja akadai mi sijui km hamjapewa mishahara.kafungua briefcase unaitwa jina unachukua chako.
Baada ya hapo ndo ikawa jioni tunagonga party ya staff kina mulumba kashama ndani, king dodoo la bouche yumo wengine nimewasahau
Jamaa akasema store yote ya yule mchaga aliyemuuzia silent in iwe empty, tukatwanga pombe siku 2 ya 3 tukarudi kupumzika hm ya 4 w end tukaingia mzigoni
then anakuja koffi ollomide mara ya kwanza 96 hiyo.
Ulifanikiwa?Lillian internet niliaapaga lazima nimpate.
Sikumbuki [emoji1787]Ulifanikiwa?
Huyu mtoto nilimpenda sana sema nilikuwa kapuku, mtoto alikuwa mkali balaa enzi hizo wanacheza nusu uchi wamevaa boxer, mzee nilikuwa nawahi siti ya mbele kuona mauno ya elly longomba na Diana Aston villATumekutana wakipindi hicho RIP Ely Longomba
Yaani kama nakuona vile, Yale mabia niliyakosa kigodo, ila mengi nimeyanywa kwake pa zamani mtaa Wa Uganda avenue, Jamaa kila jmosi kwake anafoji visherehe, akipata mtoto mzuri anampandisha ndege kwenda kumlarua Nairobi.Masilingi alimuachia benzi kali toka ikulu, kwaajili ya watoto, kazoba namkumbuka sana rwegasira kaja akadai mi sijui km hamjapewa mishahara.kafungua briefcase unaitwa jina unachukua chako.
Baada ya hapo ndo ikawa jioni tunagonga party ya staff kina mulumba kashama ndani, king dodoo la bouche yumo wengine nimewasahau
Jamaa akasema store yote ya yule mchaga aliyemuuzia silent in iwe empty, tukatwanga pombe siku 2 ya 3 tukarudi kupumzika hm ya 4 w end tukaingia mzigoni
then anakuja koffi ollomide mara ya kwanza 96 hiyo.
Sasa hivi mmebakia kutujazia seva tu za JF.πππππ tumezeeka kishenzi, bata zenyewe mnakula wapi siku hizi
HahahaaaMimi wa lapili B mkuu , yeye wa university
Huyu tuliama naye kwenda twanga pepeta na wakina kamuke sukari, halima na Diana Aston villa. Huyu yupo tu unaweza kumpata sasa hivi sio ghali kama kipindi kile.Lillian internet niliaapaga lazima nimpate.
Walizinguana akaenda kudungua kabisa lake nalo akafeli.Mama Rwakatare (sijui ni Lwakatare) amemtema?
Kuwa dhurumati sio ujanja malipo hapa hapaWewe ulimuweza madreva wake Hamis, Sos, na Sadiki waliambulia patupu aliwakopa mishahara mwaka hivi, yaani Jamaa alikuwa mpigaji hatari, unamkumbuka mamvi Kazoba? Hiyo alipewa gari nyekundu kazi yake ikikuwa kuleta watoto wazuri kwa Rewega na Mh. Masiringi. Hawa Jamaa walikuwa hatari. Nakumbuka hata Mwenge eneo hilo silent inn alitapeliwa
Vipi lile jengo la silent inn rwegasira aliuza ?Walizinguana akaenda kudungua kabisa lake nalo akafeli.
Nahisi palivunjwa ilikuwa eneo la barabara, kabla hapajavunjwa alipageuza kanisa nako naona mradi wa kanisa ukabuma, nahisi Mungu alimshtukia mapema kuwa nia yake ilikuwa sadakaVipi lile jengo la silent inn rwegasira aliuza ?
[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119][emoji119][emoji119]Nahisi palivunjwa ilikuwa eneo la barabara, kabla hapajavunjwa alipageuza kanisa nako naona mradi wa kanisa ukabuma, nahisi Mungu alimshtukia mapema kuwa nia yake ilikuwa sadaka