Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

Umesema vyema , mkinusana kila dakika inasababisha mnachokana
 
Hata wao hawapendi mwanaume mshinda nyumbani.
We ukitoka kazini tu upo home, huna washkaji?? Huna marafiki?

Kukaa sana home waachie wanawake, Me jaribu kua unatoka toka umpe uhuru mkeo kidogo. Sio unabaaana hadi penati.
Atakusuprise lini, lini utakuta kaandaa manjonjo kama muda wote macho kodo unaulinda mpododu wake.
 
Mi nilipata mwanamke mwest Africa nilikoma.
Kurudi home unaona adhabu.
Nikikaa bar ili kupoteza muda nirudi kalala.
Polisi wanakudandia ukukae nao kituoni.
Miaka mi5,aisee siku ya kuondoka niliondoka na pajama na malapa sikurudi tena
 
Saa nyingine inawezekana asiwe hata anaongea sana (wapo wanawake wakimya japo wachache).
Ila ukweli ni kwamba mwanamke ukikaa nae muda mrefu utamchoka tu hata kama mzuri vipi... unakuwa hata humtamani tamani kama zamani lakini haimaaniishi humpendi.
Sometimes tunaenda bar ili kuvuta charge kwa kuchungulia mapaja.. hapo ukirudi om baadae unakua tayari excited.. inabaki kumalizia tu.
 
Wakibisha waangalie mfano wa Christina Shusho..japo kwa namna flan kamsaidia mumewe asimpotezee muda,kwamba kila mtu achukue njia yake tutafute pesa.
 
Mwanamke anaeongea mzuri huyo kelele ni sign ya kutaka uroda ukitaka anyamaze mpe tango akisha cheua atatulia tuli na hautasikia kelele zozote sasa unavyomkimbia ndio unamzidishia upwiru akakikutana na mafisi umekwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…