Wanaotuhumiwa kumteka na kumuua Ben Saanane wafikishwe Mahakamani mara moja, huyu askari Jumanne Malangahe na Makonda ndio wa kuanza nao

Watafichwa vipi? Kwani mama nae ni dhalimu?
 
Mkuu lisaidie jeshi letu kama una ushahidi maana its been a long wait, mpaka sasa htujapata taarifa za uchunguzi wa kifo cha mpendwa wetu Ben, familia ina masononeko na Roho ya Ben bado haijapumzika kwa amani mpaka pale atakapotendewa haki
Kubenea alishasema miaka miwili nyuma huko lkn nyie wanachama wa CHADEMA mmeshindwa kumbana mwenyekiti wenu aseme ukweli.
 
Naunga mkono hoja
 
Kwani wanachama wa chadema ndio vyombo vya ulinzi na usalama?
Anzeni na Mwenyekiti wenu, Mbowe alipaswa kufungua shauri polisi juu ya upoteaji wa msaidizi wake, yy hakufanya hivyo akaendelea kuhudhuria event zote za akizoalikwa na Mh Magufuli. Kama una akili sawasawa utaelewa kilichotokea na nani ni mhusika namba moja.
 
Wangeanza kumhoji kubenea kwanza kama wapo makini, pengine ni miongoni mwa washiriki la sivyo yeye ana ushahi gani au ana uhakika gani kwamba mbowe amehusika? Unless wawe walishirikiana na mbowe

Ni kweli kabisa
 
Wazazi wako walizaa mbuzi wewe, wakanyonyesha mbuzi wewe, wakauza mbuzi wewe na kukusomesha mbuzi wewe na Sasa mbuzi wewe unatype rubbish kwenye mtandao wa JF
 
Wakati wenu ndiyo umeanza mtaumbuka wote wauwaji na watekaji wakubwa
 
Ingekuwa Mbowe amehusika kwenye hivyo vifo polisi kwa jinsi wanavyohaha kumtia hatian kwa hii case ya kumbumba wangekuwa washamtia sero kitambo tu
 
Kumbe Mbowe alipewa taarifa zote kuhusu kilichompata Ben...Sasa mbona alibaki kimya?

Ndio maana nasema, Mbowe ni mtu wa kwanza kujibu tuhuma za kutoweka kwa Ben
 
HABARI hii ilipaswa MAGAZETI yote YAIANDIKE kutokana na UZITO wake lakini ni Gazeti la RAIA MWEMA ndio lenye UTHUBUTU
HONGERA SANA "RAIA MWEMA"

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…