Wanaotuhumiwa kumteka na kumuua Ben Saanane wafikishwe Mahakamani mara moja, huyu askari Jumanne Malangahe na Makonda ndio wa kuanza nao

Hatari kubwa hapa ni kwamba watu wanaweza kufikiri vinginevyo. Tuwasamehe wote siku moja watajibu mbele za Allah!
 
We ulikutana lini na Ben akakwambia huyo ndo alimteka?

Waliotekwa si wapo? Huyo aliyewatesa si wamemuona? Wamshitaki mbona simple tu kuliko kuja kulialia hapa.
 
Akili ya Vita ya uchumi.
 
mbowe angekuwa anahusika na kupotea kwa Ben saa 8 Nina uhakika angeshakamatwa zamani sanaaaa.
Tatizo" meno ya mbwa hayaumani"
 
Uliyemuweka kwenye avata kalala kwenye jiwe Muusika Mkuu wa kumuuwa Ben saanane na kupigwa risasi Lisu. Azoli na wengine wengi tu
Kupotea kwa Ben, MBOWE anajua na ndio aliratibu shughuli nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…