Wanaotuhumiwa kumteka na kumuua Ben Saanane wafikishwe Mahakamani mara moja, huyu askari Jumanne Malangahe na Makonda ndio wa kuanza nao

Kuna haja ya kureview utaratibu wa kupata hizi PhD za Tanzania.
 
Wenyewe wadai 'watanzania ni wapoleeee saaanaa na wanapenda amani '.hiyo ndio inayo wapa jeurii
Wasitegemee hali hiyo. Tutalipa kisasi tu. Viroba ufukweni alafu wakawa wanazika bila kutangazwa Ili wenye ndugu zao wajue.

Tumepita kipindi kigumu sana

Visasi vinawahusi
 
Wako wengine, mahita. Kingai, goodluck
 
Si uende kufungua kesi sasa?? Kubenea kajifanya kumfungulia kesi Makonda kumbe geresha tuu...
 
Kubenea alishasema miaka miwili nyuma huko lkn nyie wanachama wa CHADEMA mmeshindwa kumbana mwenyekiti wenu aseme ukweli.
Acha upimbi jombaa yaani aone jinai imetendeka badala ya kwenda police aende kwa wanachama?
 
Akili zako umezikalia
 
Mbowe yupo juu ya vyombo vya sheria?
Kwann amtaki wachunguzi wa kimataifa.
Kwann familia ya Wangwe bado ni chadema.
 
[emoji1610]
 
Hili chadema huwa wanalipotezea, wanavaa miwani ya mbao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…