Ole jaminati
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 242
- 223
Malipo hap hapa dunian zamu yake itafika na atahukumiwa kwa makosa aliyowatendea wtz wenzakeKama ametambuliwa na watuhumiwa wanaodai kuteswa na kisha kupigwa lakini wakamkumbuka vizuri kwa sura huyu Jumanne Malangahe kuwa ni mhusika wa kuteka watu na kwamba alimteka Ben Saanane na Hata pia Erick Kabendela, huu ndio wakati wa kumkamata na kumpeleka mahakamani.
Mambo mengi yatakaa sawa na ukweli utajulikana.
View attachment 2077136
Hata kifo cha magufuli,kijazi,mahiga,mkapa aulizwe mbowe,bladifakeniKubenea alisema ishu ya Ben Saanane aulizwe Mbowe vizuri, anajua mchezo mzima
Na sio tu ishu ya Ben bali hata kifo tata cha Chacha Wangwe kama vyombo vyetu vya dola vingekuwa makini basi Mbowe hapa pía ana la kujibu, hata kama ni Mwenyekiti wangu chamani lakn haki lazima itendeke. KARMA IS A BIT*H
Hata kifo cha magufuli,kijazi,mahiga,mkapa aulizwe mbowe,bladifakeni
Ukiua mtu umewasha bluetooth on maisha yako yote utokuwa salamaHao polisi ndio waliokuwa wanafanya hayo matendo ndio maana huoni ufuatiliaji wowote. Hao watu wasiojulikana tulisema wazi ni kundi la Magufuli toka vyombo vya dola, lililokuwa likifanya ukatili na unyama wa wazi.
Na hata wakishitakiwa mahakamani chini ya utawala huu wa ccm watafichwa tu, kwani kuna ushirikiano wa kihalifu baina ya serikali, mahakama na vyombo vya dola
Tazama hili zombi la MwendakuzimuKubenea alisema ishu ya Ben Saanane aulizwe Mbowe vizuri, anajua mchezo mzima
Na sio tu ishu ya Ben bali hata kifo tata cha Chacha Wangwe kama vyombo vyetu vya dola vingekuwa makini basi Mbowe hapa pía ana la kujibu, hata kama ni Mwenyekiti wangu chamani lakn haki lazima itendeke. KARMA
Yaani Magufuli alituletea midude ya ajabu sana hebu tizama hiliHata wewe kubeba mimba aulizwe Mbowe
Cha kusikitisha sasa hawa watekaji wanaishi maisha ya dhiki sana ! huku wanaotumikisha wakiishi kifahari mno , hawa watekaji ni wagongeaji tu wa vibia na fegi , maisha yao duni , familia zao duni , makazi yao ni duni kabisa !It's a matter of time tu..huyo Jumanne atalipa mabaya yake hapahapa duniani. Ipo siku CCM itatoka madarakani, watashtakiwa hata kama watakuwa wazee na wamestaafu..wakafie jela
Si ni kwasababu Wana laana!!! Halaf uzee wao huwa waumwa magonjwa ya ajabu hata kuoza na kutoka funza, lakin kufa hawafi...we tulia watalipwa hapahapa dunianiCha kusikitisha sasa hawa watekaji wanaishi maisha ya dhiki sana ! huku wanaotumikisha wakiishi kifahari mno , hawa watekaji ni wagongeaji tu wa vibia na fegi , maisha yao duni , familia zao duni , makazi yao ni duni kabisa !
Ahahahaaaa kaweka na barakoa, mwenzio anaogopa kifo !!
Kweli??..Cha kusikitisha sasa hawa watekaji wanaishi maisha ya dhiki sana ! huku wanaotumikisha wakiishi kifahari mno , hawa watekaji ni wagongeaji tu wa vibia na fegi , maisha yao duni , familia zao duni , makazi yao ni duni kabisa !
Yani ni kweli ben sanane walimuua jamani dah magufuli kufa mara milioni mia.Kama ametambuliwa na watuhumiwa wanaodai kuteswa na kisha kupigwa lakini wakamkumbuka vizuri kwa sura huyu Jumanne Malangahe kuwa ni mhusika wa kuteka watu na kwamba alimteka Ben Saanane na Hata pia Erick Kabendela, huu ndio wakati wa kumkamata na kumpeleka mahakamani.
Mambo mengi yatakaa sawa na ukweli utajulikana.
View attachment 2077136
Kupotea kwa Ben, MBOWE anajua na ndio aliratibu shughuli nzima.
ndio maana wakampa kesi ya ugaidi ili kuficha maovu yao yasiibuliwe. Ila sasa hawana pa kujificha tena maana kesi ya kubumba dhidi ya Mbowe inazidi kuanika uozo na kuwaacha uchi tanpol kila uchao maana wamewapa mzigo mawakili wa serikali mpaka hawabebeki tena kwa jaji wanaishia tu kusema "inhiii... baghosha!!" maana wamekutana na kitu kigumu wasichotarajiaMambo yanazua Mambo.View attachment 2077148
Mbona na yeye alichukuaUnataka kuchukua sheria mkononi?