Wanaotuhumiwa kumteka na kumuua Ben Saanane wafikishwe Mahakamani mara moja, huyu askari Jumanne Malangahe na Makonda ndio wa kuanza nao

Wanaotuhumiwa kumteka na kumuua Ben Saanane wafikishwe Mahakamani mara moja, huyu askari Jumanne Malangahe na Makonda ndio wa kuanza nao

Kama ametambuliwa na watuhumiwa wanaodai kuteswa na kisha kupigwa lakini wakamkumbuka vizuri kwa sura huyu Jumanne Malangahe kuwa ni mhusika wa kuteka watu na kwamba alimteka Ben Saanane na Hata pia Erick Kabendela, huu ndio wakati wa kumkamata na kumpeleka mahakamani.

Mambo mengi yatakaa sawa na ukweli utajulikana.

View attachment 2077136
Malipo hap hapa dunian zamu yake itafika na atahukumiwa kwa makosa aliyowatendea wtz wenzake
 
Kubenea alisema ishu ya Ben Saanane aulizwe Mbowe vizuri, anajua mchezo mzima

Na sio tu ishu ya Ben bali hata kifo tata cha Chacha Wangwe kama vyombo vyetu vya dola vingekuwa makini basi Mbowe hapa pía ana la kujibu, hata kama ni Mwenyekiti wangu chamani lakn haki lazima itendeke. KARMA IS A BIT*H
Hata kifo cha magufuli,kijazi,mahiga,mkapa aulizwe mbowe,bladifakeni
 
Duniani hakunaga siri.

Ni swala la muda tu.

Ukifanya ubaya ujue utakuja kujulikana baada ya muda.
 
Hao polisi ndio waliokuwa wanafanya hayo matendo ndio maana huoni ufuatiliaji wowote. Hao watu wasiojulikana tulisema wazi ni kundi la Magufuli toka vyombo vya dola, lililokuwa likifanya ukatili na unyama wa wazi.

Na hata wakishitakiwa mahakamani chini ya utawala huu wa ccm watafichwa tu, kwani kuna ushirikiano wa kihalifu baina ya serikali, mahakama na vyombo vya dola
Ukiua mtu umewasha bluetooth on maisha yako yote utokuwa salama
 
Kubenea alisema ishu ya Ben Saanane aulizwe Mbowe vizuri, anajua mchezo mzima

Na sio tu ishu ya Ben bali hata kifo tata cha Chacha Wangwe kama vyombo vyetu vya dola vingekuwa makini basi Mbowe hapa pía ana la kujibu, hata kama ni Mwenyekiti wangu chamani lakn haki lazima itendeke. KARMA
Tazama hili zombi la Mwendakuzimu
 
It's a matter of time tu..huyo Jumanne atalipa mabaya yake hapahapa duniani. Ipo siku CCM itatoka madarakani, watashtakiwa hata kama watakuwa wazee na wamestaafu..wakafie jela
 
It's a matter of time tu..huyo Jumanne atalipa mabaya yake hapahapa duniani. Ipo siku CCM itatoka madarakani, watashtakiwa hata kama watakuwa wazee na wamestaafu..wakafie jela
Cha kusikitisha sasa hawa watekaji wanaishi maisha ya dhiki sana ! huku wanaotumikisha wakiishi kifahari mno , hawa watekaji ni wagongeaji tu wa vibia na fegi , maisha yao duni , familia zao duni , makazi yao ni duni kabisa !
 
Cha kusikitisha sasa hawa watekaji wanaishi maisha ya dhiki sana ! huku wanaotumikisha wakiishi kifahari mno , hawa watekaji ni wagongeaji tu wa vibia na fegi , maisha yao duni , familia zao duni , makazi yao ni duni kabisa !
Si ni kwasababu Wana laana!!! Halaf uzee wao huwa waumwa magonjwa ya ajabu hata kuoza na kutoka funza, lakin kufa hawafi...we tulia watalipwa hapahapa duniani
 
Cha kusikitisha sasa hawa watekaji wanaishi maisha ya dhiki sana ! huku wanaotumikisha wakiishi kifahari mno , hawa watekaji ni wagongeaji tu wa vibia na fegi , maisha yao duni , familia zao duni , makazi yao ni duni kabisa !
Kweli??..
 
Makonda ndie masta wa mishe hii.
Ukizitrack call recording zake utapata connection na maafisa wote waliohusika kwenye operation zote chafu za kuwafanya watu kuwa yatima na wajane nchini.
 
Jumanne gudlack kingai makonda wanajua KILA kitu
 
YYan
Kama ametambuliwa na watuhumiwa wanaodai kuteswa na kisha kupigwa lakini wakamkumbuka vizuri kwa sura huyu Jumanne Malangahe kuwa ni mhusika wa kuteka watu na kwamba alimteka Ben Saanane na Hata pia Erick Kabendela, huu ndio wakati wa kumkamata na kumpeleka mahakamani.

Mambo mengi yatakaa sawa na ukweli utajulikana.

View attachment 2077136
Yani ni kweli ben sanane walimuua jamani dah magufuli kufa mara milioni mia.
 
ndio maana wakampa kesi ya ugaidi ili kuficha maovu yao yasiibuliwe. Ila sasa hawana pa kujificha tena maana kesi ya kubumba dhidi ya Mbowe inazidi kuanika uozo na kuwaacha uchi tanpol kila uchao maana wamewapa mzigo mawakili wa serikali mpaka hawabebeki tena kwa jaji wanaishia tu kusema "inhiii... baghosha!!" maana wamekutana na kitu kigumu wasichotarajia
 
Back
Top Bottom