Wanaouliza eti Benja mbona hafi kishujaa kama wengine. Kwanza: Ushahidi huu hapa alipokuwa jeshini. Pili: Mnaoita mashujaa ni magaidi na matapeli

 
NDIO
 
Huu uzi mzuri na mtamu maamaee.

Nyau de adriz
 
Benja no gaidi kama magaidi wengine ... He is worse ... Kulipua hospitali..kuchoma moto wagonjwa wakiwa angali Hai
 
Ahahahah weee jamaa jinga sana,,, kwetu pazur naskia na wenyew wanatutaman sana kujipima na sisi ,Kwa kwel tukapate mbegu mchanganyiko wa tz na kwetu pazur
Wee jamaa ukifa ingia peponi moja kwa moja, masuala ya logistics niachie mimi nitakua mlangoni
 
Kwenye hiyo picha ya chini Huyo netanyau mbona anaonekana kama anataka kukimbia yaani kakaa kiuoga uoga hakumkimbia kweli mwenzake? Wafia dini niacheni na comment yangu.
 
Kwenye hiyo picha ya chini Huyo netanyau mbona anaonekana kama anataka kukimbia yaani kakaa kiuoga uoga hakumkimbia mwenzake kweli? Wafia dini niacheni na comment yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…