Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Hawaweki bali humimina, hata hivyo vitunguu swaumu vina kazi gani juu ya gesi, maharage yenyewe si sukari asilia mbali na proteins?Sio matatizo
Maharage ukiweka sukari -huzuia ges
Tambi huongeza ladha
MapishiHawaweki bali humimina, hata hivyo vitunguu swaumu vina kazi gani juu ya gesi, maharage yenyewe si sukari asilia mbali na proteins?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mimi maharage na chapati ndio inanishangaza nikiona watu wanaweka sukari ila tambi napenda zenye sukariKwa nini mtu anaweka sukari kwenye maharage, tambi na chapati?
Sijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Wapo wanaoweka sukari nyingi sababu ya miili yao huhitaji sukari nyingi, washamba, mkumbo na wasio na elimu.Kuna mmoja huyo anaweka sukari kwenye chai, aisee nashindwa kumuelewa
Kumbe kuna walaji wa "nonino: huwa wanapenda kuuingiwa nonino kwa viungo mbalimbali, nilifikiri wote ni walaji raw! Sasa wakilamba wanameza au inakuaje??Yoda unashangaa kwenye tambi?
Bado hujakutana na wapishi wa usiku wanaweka asali mpk kwenye ‘’nonino” 😜
Mkuu hizo YAMBI Ni niniMimi hapa natoa kote huko;
Kwenye maharage inatoa gesi na ukitupia na cubes za sotojo San Francisco hii hapa
Kwenye chapati na yambi ni kuongeza taste tu
Afu jamaa anakuwa anailamba 🥰 wanawake mnafaidi sana aiseeYoda unashangaa kwenye tambi?
Bado hujakutana na wapishi wa usiku wanaweka asali mpk kwenye ‘’nonino” 😜
Hizo businesses za ku mind kwani tunazo?Wewe si hauweki mkuu? Sasa kwanini unakosa raha kwa watu wanaoweka na wanakula wenyewe? Au wakishaweka wanakulazimisha ule?
Watanzania sijui Lini tutajifunza ku mind our own businesses
TambiMkuu hizo YAMBI Ni nini
Kwamba zama za hizo walikuwa hawajui kupika kuliko kizazi chetu hiki cha akina Juniors? Uwongo...😆Mapishi
Ongeza Makande Watu wanatia sukari wakikosa sukari wanaweka asali wakikosa asali wanaweka Soda km sio Fanta orange basi Mirinda OrangeSijawahi kuweza kuelewa watu wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula huwa na matatizo gani.
Tambi ya sukari ilipaswa iwe inaliwa kama snack sio mlo (mlo mkubwa)Chapati sawa lakini tambi na maharage that too much
Ni recipe nzuri, tatizo huku kila kitu kinaliwa na wali/ugali ndio maana hiyo recipe inakataa.Wazungu wanajaza Asali kwenye nyama, kuku, turkey, kitimoto nk