Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Kwahiyo kwa akili zako za madrasa unaona watu wakifanya utafiti na kurekebisha walipokosea ni tatizo?

Hata hivyo bible translation ipo open, yeyote anaweza kufanya. Hata waislam zipo zenu mmeandaa tunazifahamu.
 
Hujielewi hakuna muarabu anayetambua yesu
Na sio waarabu tu hata waisraeli Hakuna anae mtambua YESU hawa sumbuki na kumfikiria kiumbe alie laaniwa
Wewe ni mpuuzi. Wayahudi wanathibitisha kwamba Yeshua (Yesu Kristo) aliwahi kuishi Israel lakini hawamtambui mtu wa kufikirika anayeitwa issa.
 
Kwahiyo kwa akili zako za madrasa unaona watu wakifanya utafiti na kurekebisha walipokosea ni tatizo?

Hata hivyo bible translation ipo open, yeyote anaweza kufanya. Hata waislam zipo zenu mmeandaa tunazifahamu.
Sio bible translation ni Bible version usichanganye mambo
 
Unapayuka kama illiterate Muhammad, full of ignorance.
Hiyo juu yako ukweli lazima nikupe sina muda wa kumfikiria alie laaniwa
Alafu kuhusu Mohammedi muangalie mkristo msomi huyu anavyo sema

MICHAEL H. HART
Professor of astronomy physcs and the story of science

My choice of Muhammad to lead the list of the world's most influential persons may surprise some readers and may be questioned by others, but he was the only man in history who was supremely successful on both the religious and secular level." [The 100: A Ranking Of The Most Influential Persons In History, New York, 1978, p. 33]

Na ninao wengi wasomi utaniambia nini kuhusu Mohammedi
Ajaalaniwa yule kama Yesu wako
Huna elimu hata ya kutunga kitabu cha kusoma na kuandika nikusikilize kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…