CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu aliye hai. Kumbuka Yesu Kristo sio Mwana kwasababu alizaliwa na Mariamu, hapana, ni Mwana tangu milele na yupo na Baba yake tangu milele. Mungu ni mmoja, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
Aliamua kuja duniani ndio akapitia kwa Mariamu kuchukua mwili.
Angalia hizi scenario 3 afu toa majibu kuhusu MWANA WA MUNGU NI YUPI HASA.
1. ADAM ALIZALIWA/KUUMBWA BILA KUTOKA KWA BABA WALA MAMA yaan yeye uumbaji wake haukuhusisha kiumbe kinachoitwa binadamu
2. EVA/HAWA ALIZALIWA/KUUMBWA KUTOKA UBAVUNI MWA ADAM. Huyu uumbwaji wake ulitokana na BABA TU, yeye pekee ndio alizaliwa kutoka kwa BABA tu dunia nzima hii.
3. YESU ALIZALIWA/KUUMBWA KUTOKA KWA MAMA. Huyu alitokana na UCHUNGU wa mama kama tulivyo sisi wote hapa Duniani. Huyu ndio binadamu wa mwisho kubalance scenario za uumbwaji usio na shaka.
Mungu alifanya hivi ili kuondoa upumbavu wa watu ambao wangeweza kumuita mmoja wapo wa hao kuwa ni MUNGU au MTOTO wa MUNGU. Maana kubwa ya Mungu ni kwamba kabla hujaamua kumuita kiumbe fulani kuwa ni MUNGU fikiria hao wengine namna walivyoumbwa. Ukijua namna walivyoumbwa utaacha kabisa kumuita Binadamu yeyote yule kuwa ni MUNGU.
SWALI LA MSINGI KWAKO, NI KIPI KIKO SO SPECIAL KWA YESU KUMUITA MUNGU/MWANA WA MUNGU UKILINGANISHA NA ADAM na EVA??