Mudiiiiii njooo huku wanakubezaEmbryology ya Allah na Muhammad huwa inachekesha Sana
Damu inaganda (dead blood) alafu ipo ndani ya mwanamke
Damu iliyoganda inabadilika kuwa pande la nyama ! , Pande la nyama linabadilika linakuwa mifupa tupu alafu mifupa inakuja tena kuvalishwa nyama dah!
Ila sio makosa yake Muhammad, hakuwa na technology iliyokuwepo kipindi icho aweze kujua ukweli wa embriology kwa kuangalia stages
Bro nitajie basi uo mlima ukisimama juu yake unaweza ona dunia nzima na falme zakeYaani yule jamaa yetu wa msalabani ndio huyohuyo ambaye ni Mungu aliyehai, Mwanzo na Mwisho.
Step up and understand spiritual things. Majaribu yote ya Yesu yalikuwa kwa namna ya mawazo.Wakati unaendelea kuyakataa majibu uje utuambie ni mlima gani huo mrefu unao weza ona dunia nzima niko hapa nasubiri majibu
Haja bezwa kama alivyo bezwa huyu alie vaaa chupi msalabani tena hadharaniMudiiiiii njooo huku wanakubeza
Kupeana elimu sio jambo baya ikiwa ni kwa kuheshimiana.Mambo ya dini ni sensitive sana. Kila mmoja aamini anavyoamini bila kuzodoa dini na waaminicho wengine.
Unapingana na bibilia?Step up and understand spiritual things. Majaribu yote ya Yesu yalikuwa kwa namna ya mawazo.
Ondoka huko mapangoni kwa jamaa ambaye hajui kusoma na kuandika lakini akawa anakabwa na jibreel ili asome.
Bible translations ndio wanaita version, acha ushamba. King James version ni ile ile haijawahi kubadilika. New king James version imetumia lugha inayoeleweka kwa sasa lakini meaning ni ileile.Naona na ww NI jamaa WA mafundisho Ambue hukuiva,,kwanza hujui tofauti ya translation na version,,,work on that first,,
Pili being dead or alive it does not matter what matters NI ujumbe waliotumwa kufikisha NI umefika na utaendelea kuishi mpaka mbingu zitakapoondoka'' SASA it is up to NI kina Nani wanayofuata Neno waliyofundishwa na waanzilishi WA dini yao'' opsss nimesahau kumbe yesu hakuacha dini ya ukristo wala hafahamu kabisa NI nini!!
See how unamtukuza Paul na kumdogosha yesu Kwa kuyaita mafundisho yake simple na ya Paulo deep revelation,,Yani Paulo ndo yupo deep kuliko yesu,,,what a joke you will do good to keep on reading the teaching of the person who hated Jesus teachings the most,, umeona caves is the most disgusting place for Muhammad to receive revelation but Mungu mtoto wenu alizaliwa kwenye zizi la mavi,,,jokes on you,,
I wonder if ever Jesus wrote the Bible or even if he has seen it once in his life time'' najiuliza mshangao atakaoupata atakaporudi akakutan na mkitabu ambao hata waandishi wake hawajulikani.
Yai ndo damu iliyoganda, mbona simple?Verse inasema sperm inaingia kwenye damu iliyoganda. Yai la mwanamke halihusiki?
Allah ni physical being creatureWe huna roho au kuna mtu ana roho ?
Nenda kamsome mwanahistoria JosephusOya champion tuletee ushahidi kua yesu anajulikana huko na waisraeli ujue pia utuambie yesu alikaa Israel ya ya wapi alafu utuambie Mungu yupi alie ruhusu utohowaji wa maneno uwe kwa wazungu na waswahili ambao hata mtume yeyote hajatokea kwao na nchi nyingine hawaruhusiwi kutohoa lete andiko sio siasa
Paulo ndio alivyo kwambia kua Allahu ni physical we vipi Sifa za Allahu ni hiziAllah ni physical being creature
Je ana Roho?
Hapo mimi nimeona Joseph Na Jesus ila yesu sija muona hapo hebu angalia vizuriNenda kamsome mwanahistoria Josephus
View attachment 2374952
Ni wajinga Sana wafuasi wa child molesterBible translations ndio wanaita version, acha ushamba. King James version ni ile ile haijawahi kubadilika. New king James version imetumia lugha inayoeleweka kwa sasa lakini meaning ni ileile.
Original manuscripts zote zipo na zinatumika kama reference wakati wa translation.
Ambacho huelewi ni kwamba mafunuo ya Paulo ameyapata kwa Yesu mwenyewe kwahiyo hakuna paulo bila Yesu.
Nimeyaita mafundisho ya Yesu simple kwasababu asilimia kubwa alikuwa anaongea na makutano. Nyaraka za Paulo zimeandikwa kwa wakristo ambao ni viumbe wapya wenye uwezo wa kuelewa mambo deep ya rohoni.
Muhammad alilazimishwa na jibreel asome kitabu gani hadi akawa anamkaba ikiwa quran haikuwepo?π€£
Allah ni physical being creaturePaulo ndio alivyo kwambia kua Allahu ni physical we vipi Sifa za Allahu ni hizi
Sura ya 112 1. Sema Allahu ni mmoja
2. Allahu ndie mkusudiwa
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa.
4 Na wala Hakufanana na kitu chochote .
Aya niambie hapo physical ya mjomba ako
Allahu Hana RohoAllah ni physical being creature
Nimekuuliza swali rahisi sana je ana Roho?
Sifa ya kumuingia mtu ni ya mapepo soma biblia yako kabla sija kuaibisha kuhusu wale watu au hujuiKwa hiyo Allah hawezi [emoji23][emoji23][emoji23] na mnamuita muweza wa yote kumbe hakuna kitu
ππππ Unathibitisha mbele za watu jibril alikuwa Pepo πππSifa ya kumuingia mtu ni ya mapepo soma biblia yako kabla sija kuaibisha kuhusu wale watu au hujui
Jibril alimuingia mtu? Acha ubabaishaji wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unathibitisha mbele za watu jibril alikuwa Pepo [emoji23][emoji23][emoji23]
Inamaana na debate na watoto wasio Jua dini yao ?Jibril alimuingia mtu? Acha ubabaishaji wewe