professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Hahahaha kilicho fanyika kutofautisha hapo ni niniNakupa aya moja wapo ambayo zimetofautiana kati ya King James Version na New King James Version
View attachment 2380793
Niletee uo ushahidi wa aliendika manuscript ya Birmingham ni nani nikupopoe nikupe ushahidi mimiLete ushahidi.
Nilikuwa ninamfundisha huyo anayebisha version inabadilisha lugha wakati hadi maandishi. Mfano mzuri King James Version na New King James Version kuna vitu vinatofautiana. Moja wapo ya verse ni hii hapa.Kwanza nashukuru kua sasa umekubali kua bibilia ina version pili hapo ndipo umeweka sawa kua maneno yenu ya kwenye biblia sio ya mungu maana mengine yanapunguzwa yana wekwa anavyotaka mtu muda wowote asante kwa hilo kulifahamu
We kwelikweli juha kamili tunaendelea kuihifadhi quran mpaka leo je unataka kutuambia kwamba tuache kuandika kwa sababu tuna ihifadhi una maswali hayana elimu kabisaKwahiyo waliachana na mambo ya kukariri wakawa wanaandika?
Nimekuuliza swali, hamjui nani aliyeandika?Nitajie wewe mwandishi ya hiyo manuscript nikupopoe hapa
Shukran mkuu hao wenda wazimu wanahisi hatujui kuhusu bibilia lao mkitabu wa Mungu alie laaniwa alafu wanasema mara version ndio translation wanajogonga gonga waanaamua sasa kutafuta vipande vya quran ili wabishane bado wasome kwanza ndio waje tuwafundishe tena wao wana kurupukaNilikuwa ninamfundisha huyo anayebisha version inabadilisha lugha wakati hadi maandishi. Mfano mzuri King James Version na New King James Version kuna vitu vinatofautiana. Moja wapo ya verse ni hii hapa.
View attachment 2380799
not increased na increased. We hauoni tofauti ya maneno hapo. Nikisema haijaongezeka na nikisema imeongezeka.Hahahaha kilicho fanyika kutofautisha hapo ni nini
Nakujibu hivi Kiutu uzima tu maana unataka kuwapinga maprofesa hapoNimekuuliza swali, hamjui nani aliyeandika?
Alafu hawa jamaa wana fosi ujinga uliomo kwenye biblia yao uhamie kwenye quran tukufu na washafeli tena tunasubiri version mpya itakayo toka watwambie yesu alikufa kwa njaa na sio msalabani ili walikimbie neno la laana waliloo nalo sasanot increased na increased. We hauoni tofauti ya maneno hapo. Nikisema haijaongezeka na nikisema imeongezeka.
Ni maneno ambayo yanapingana.
Uku Allah akiwa bize kufufua kwa kupiga kwa pande la nyama ya ng'ombe (nimekumbuka supu ya pande)Na kwa kukupa faida tafuta namna nyingine iliyo sahihi ya ufufuaji alafu weka hiki kipande cha neno la Allahu iliupate tafsiri kuhusu hilo
So This is how ΛΉeasilyΛΊ Allah brings the dead to life,
Nampa pole yesu kuwaita walio makaburini mpaka kuwa maliza siku ya ufufuo kazi anayoUku Allah akiwa bize kufufua kwa kupiga kwa pande la nyama ya ng'ombe (nimekumbuka supu ya pande)
Yesu anaita tu dah , biblia tamu Sana
Mark 14: 25 Yesu akamwambia, βMimi ndiye ufufuo na uzima; mtu akiniamini mimi, hata akifa ataishi;
43 Baada ya kusema haya akapaaza sauti akaita, βLazaro, toka nje!β 44 Yule aliyekuwa amekufa akatoka, mikono yake na miguu yake ikiwa imeviringishiwa vitambaa. Yesu akawaambia, βMfungueni awe huru!β
Ni translation kwani haujui original matini zipo na ndipo wanapo toa ?Shukran mkuu hao wenda wazimu wanahisi hatujui kuhusu bibilia lao mkitabu wa Mungu alie laaniwa alafu wanasema mara version ndio translation wanajogonga gonga waanaamua sasa kutafuta vipande vya quran ili wabishane bado wasome kwanza ndio waje tuwafundishe tena wao wana kurupuka
Translation iliyo kosewa kabisa kila kitu na ni lugha hiyo hiyo huo ni udanganyifu wa hali ya juu na mnajua ukweliNi translation kwani haujui original matini zipo na ndipo wanapo toa ?
Nyie tu pande la damu mfu limewatoa jasho mpaka mkasema kila moja ni sawa na hamjui Allah alimaanisha ruba au damu mfu
Hiyo ya Yesu ndio kuwa ikawa , Allah hana chochote alishawahi kusema kuwa kikawa Koran nzima , yupo bize anapiga na nyama ,Nampa pole yesu kuwaita walio makaburini mpaka kuwa maliza siku ya ufufuo kazi anayo
Hapo kitendo kimefanywa na yesu
Alafu rudia kuisoma aya ya quran niambie kile kitendo kimefanywa na Allahu mwenyewe
Yani yesu ana kazi mpaka awamalize kuwaita nyote domo lisha jaa mate
Alafu wewe endelea na maana yako ya ajabu ajabu hiyo sisi huku sasa Allahu mwenyewe anasema hivi kwenye ufufuaji wa mwisho
Lazima mnyooke tu mtake msitake [emoji847]
Eti aiteee weee kudadeki
View attachment 2380822
Tuliza akili Abdool, biblia Ina translation mpaka za waislamu wenzenu, wanaweka manufaa Yao ila uzuro lugha za matini za mwanzo zipo na siku izi zipo online unaenda Ina transalate neno kwa nenoTranslation iliyo kosewa kabisa kila kitu na ni lugha hiyo hiyo huo ni udanganyifu wa hali ya juu na mnajua ukweli
Kwanza kabisa pole tena hata unacho soma ukielewi nambie Mungu anasema nampiga mtu anafufuka na maana ushatolewa teyar we msubirie yesu awaite mpaka akome na mlivyo wengi hivyo namuonea huruma na ule mdomo alio nao ya Mungu wetu ni hii nyinyi ya kwenu mshaitoa tuachieni ya kwetu basi yake Mungu yeye ni hii ya ufufuaji wa mwisho.Hiyo ya Yesu ndio kuwa ikawa , Allah hana chochote alishawahi kusema kuwa kikawa Koran nzima , yupo bize anapiga na nyama ,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha eti waislamu wayatumie maneno ya alie laaniwa kwa lipi bro tulia usubirie kuitwa na akikusahau imekula kwakoTuliza akili Abdool, biblia Ina translation mpaka za waislamu wenzenu, wanaweka manufaa Yao ila uzuro lugha za matini za mwanzo zipo na siku izi zipo online unaenda Ina transalate neno kwa neno
Bora kuita tu unasema neno linakuwaNampa pole yesu kuwaita walio makaburini mpaka kuwa maliza siku ya ufufuo kazi anayo
Dah ndio kwa kiwango hiki mnaamin programu zilizotengenezwa kuliko asili yake ona contradiction hii tena ya kuipanga kabisa hiiTuliza akili Abdool, biblia Ina translation mpaka za waislamu wenzenu, wanaweka manufaa Yao ila uzuro lugha za matini za mwanzo zipo na siku izi zipo online unaenda Ina transalate neno kwa neno
Hahahahaha sindano imepita mahala pake wewe unatutafsiria quran unavyo taka weweBora kuita tu unasema neno linakuwa
Kuliko kuchinja ng'ombe ma trillion ya ng'ombe aunze kazi ya kuchapa maiti na pande la nyama ya ng'ombe [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]