Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,255
Ndani ya tumbo hakuna mifupa.Katika hiyo diagram unayoonyesha ilipo Seminal vesicle Kuna swali nilimuuliza Championship hajalijibu akanikinikimbia Sasa inaonekana wewe ulielewa zaidi inabidi umjibie hili swali
Ukitoka katika Seminal vesicle kuelekea juu unakutana na mfupa gani? na ukielekea kulia au kushoto unakutana na mfupa gani?
Pamoja sana.🤝Mkuu shukrani sana. Asante kwa kufuatilia. Glory to God.
Mimi hapa naongezea kuwakopi wengine pia wasome:
magombe junior Mbabani adriz Atufigwegwe god Moneytwister Dan Zwangendaba The Infinity ki29 Mchokolo silent lion @callis Baljurashi Maria Nyedetse Howt Lady ToniXrated makaveli10 CARDLESS Boutafrica ETUGRUL BEY Beemind Komeo Lachuma Nahonyo
Hawa wote kama wamesoma humu ndani wanatakiwa kukimbilia kwa Yesu Kristo mara moja kwa ajili ya msamaha wa dhambi na uzima wa milele.
Kwasasa hawana excuse kwasababu neno la uzima limewafikia.
Niwashukuru wachangiaji wengine kama Mokiti FRESHMAN Retired Che mittoga edwayne betty marandu na wengine wengi. Mungu mwaminifu awabariki katika jina la Yesu Kristo.
Hahahah ndio maana wewe nakwambia mpuuzi na hunaa akili aya nipe neno linalosema ni kitabu cha wazungu nipe na aya ukikosa wewe ni Chizi na unaongelea ushindaniKitabu cha wazungu hicho, walikiandika na kukitunza.
Hayo ni maneno yako usie na akili yani wewe unajifunga mwenyewe Yesu mwenye we kafufuliwa na AllahuWapi hapo kasema anafufua? Pande la nyama silioni hapo wakati ndio nyenzo ya Allah kwa ajili ya ufufuaji.
Miaka hamsini ya kwako wewe na machiz wenzioKwahiyo aboubakar ndio aliandika miaka hamsini kabla ya muhammad?
Waandishi wengine ni kina nani?
NdiyoSwali ni rahisi, hiyo aya ilishuka toka kwa allah?
NdiyoSwali ni rahisi, hiyo aya ilishuka toka kwa allah?
Kwa upumbavu wenu AuPamoja sana.[emoji1666]
Ulivyo pewa ukaanza vitangula kuonesha ni jinsi gani ulivyo juhaLete aya zilizosema muandike quran badala ya kukariri. Acha porojo.
Huu ni uongo, labda ujipange upya.Hapo anamzungumzia mwanamke ambae yuko katika kipindi cha Ovulation
Ambapo yai Allah ameliita pande la damu
Hapo ukumbukwe kua yai la binadamu sio sawa na yai la ndege
Yai hili la mwanamke wa kibinadamu hua Ni kidonge cha damu.
Hiyo ni akili yako wewe ulie duni wa fikra na akiliWapi hapo kasema anafufua? Pande la nyama silioni hapo wakati ndio nyenzo ya Allah kwa ajili ya ufufuaji.
Kwahiyo sasa hivi unakubali kwamba Yesu alikufa na kufufuka? Basi ni heri umpokee na upate msamaha wa dhambi na uzima wa milele.YESU anafufuliwa kwa amri ya kua hai na akawa hai
We chizi unapingana mpaka na wanasayansi ulio wategemea umeamia manuscript nayo imekuangusha huna hojaHuu ni uongo, labda ujipange upya.
Wazungu wametoa manuscripts original pale birmingham ambazo waliziandika kabla muhammad hajazaliwa.Hahahah ndio maana wewe nakwambia mpuuzi na hunaa akili aya nipe neno linalosema ni kitabu cha wazungu nipe na aya ukikosa wewe ni Chizi na unaongelea ushindani
Yesu wenu alikufa na akalaaniwa na kupopolewa vilevile kama wewe umabisha haya yesu alie kufa huyo Allahu ndio akaja kumfufuaKwahiyo sasa hivi unakubali kwamba Yesu alikufa na kufufuka? Basi ni heri umpokee na upate msamaha wa dhambi na uzima wa milele.
Naona unaruka ruka hapoMiaka hamsini ya kwako wewe na machiz wenzio
Unapingana na akina Thomas wewe si chizi kama umewapinga wanasayansi huna akili na huna wakumtegemea tenaWazungu wametoa manuscripts original pale birmingham ambazo waliziandika kabla muhammad hajazaliwa.
Kwahiyo Allah ndio alisema anafufua kwa pande la nyama ya ng'ombe? Si aya imeshuka toka kwake?Ndiyo
Nakataa tena tena kwa kujiamini bwege wewe lete ushahidi wako hapa wa kutunga tunga nikupopoeNaona unaruka ruka hapo
Lete aya iliyowaambia muandike badala ya kukariri.Ulivyo pewa ukaanza vitangula kuonesha ni jinsi gani ulivyo juha