Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Katika hiyo diagram unayoonyesha ilipo Seminal vesicle Kuna swali nilimuuliza Championship hajalijibu akanikinikimbia Sasa inaonekana wewe ulielewa zaidi inabidi umjibie hili swali

Ukitoka katika Seminal vesicle kuelekea juu unakutana na mfupa gani? na ukielekea kulia au kushoto unakutana na mfupa gani?
Ndani ya tumbo hakuna mifupa.
 
Mkuu shukrani sana. Asante kwa kufuatilia. Glory to God.

Mimi hapa naongezea kuwakopi wengine pia wasome:

magombe junior Mbabani adriz Atufigwegwe god Moneytwister Dan Zwangendaba The Infinity ki29 Mchokolo silent lion @callis Baljurashi Maria Nyedetse Howt Lady ToniXrated makaveli10 CARDLESS Boutafrica ETUGRUL BEY Beemind Komeo Lachuma Nahonyo

Hawa wote kama wamesoma humu ndani wanatakiwa kukimbilia kwa Yesu Kristo mara moja kwa ajili ya msamaha wa dhambi na uzima wa milele.

Kwasasa hawana excuse kwasababu neno la uzima limewafikia.

Niwashukuru wachangiaji wengine kama Mokiti FRESHMAN Retired Che mittoga edwayne betty marandu na wengine wengi. Mungu mwaminifu awabariki katika jina la Yesu Kristo.
Pamoja sana.🤝
 
Hapo anamzungumzia mwanamke ambae yuko katika kipindi cha Ovulation
Ambapo yai Allah ameliita pande la damu
Hapo ukumbukwe kua yai la binadamu sio sawa na yai la ndege
Yai hili la mwanamke wa kibinadamu hua Ni kidonge cha damu.
Huu ni uongo, labda ujipange upya.
 
Hahahah ndio maana wewe nakwambia mpuuzi na hunaa akili aya nipe neno linalosema ni kitabu cha wazungu nipe na aya ukikosa wewe ni Chizi na unaongelea ushindani
Wazungu wametoa manuscripts original pale birmingham ambazo waliziandika kabla muhammad hajazaliwa.
 
Kwahiyo sasa hivi unakubali kwamba Yesu alikufa na kufufuka? Basi ni heri umpokee na upate msamaha wa dhambi na uzima wa milele.
Yesu wenu alikufa na akalaaniwa na kupopolewa vilevile kama wewe umabisha haya yesu alie kufa huyo Allahu ndio akaja kumfufua
 
Back
Top Bottom