Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Attachment zako hazifunguki
Hiyo
Screenshot_20221008-193143.jpg
 
Yesu alishafanya advertisement ya siku ya ufufuo. Watakatifu wengi sana aliwafufua wakawa wanaonekana mjini.

Mathayo 27:52-53

52 Makaburi yakafunguka na miili ya watakatifu waliofariki ili fufuka.

53 Walitoka makaburini na Yesu alipofufuka walikwenda Mji Mtakatifu wakawatokea watu wengi.
Hapo nayeye ni miongoni mwa walio fufuliwa so alie wafufua hao sasa ni Allahu soma hii
Screenshot_20221008-162103.jpg
 
Acha kujiongelesha bila ushahidi.

Manuscripts zimekusanywa kutoka maeneo mbalimbali kwa miaka mingi na nyingine zimekuja kupatikana baada ya excavation. Wakristo walipitia persecution kwa miaka kadhaa na hivyo walilazimika kuwa wanaficha nyaraka walizokuwa nazo.

Kwahiyo over the years zilipokuwa zinapatikana ziliongezewa mpaka Jerome alipofanya compilation. Baadhi ya manuscripts bado scholars wanafanya argument kwasababu unaweza kukuta kuna verse zimepatikana kwenye baadhi ya manuscripts lakini kwingine hazikupatikana. Hii ndio sababu ya baadhi ya translation kukosa kuweka hizo verse.
Hayo ndio madhara ya kuandika kitu mwenyewe hayupo lazima utumbo utokee na bado na bibilia ya Mungu wenu alie laaniwa
 
Mi ngoja nirudi kwenye msingi wa Mada yenyewe
Mungu kafanya tone kua damu ilioganda( pande la damu)
Hapo anamzungumzia mwanamke ambae yuko katika kipindi cha Ovulation
Ambapo yai Allah ameliita pande la damu
Hapo ukumbukwe kua yai la binadamu sio sawa na yai la ndege
Yai hili la mwanamke wa kibinadamu hua Ni kidonge cha damu.
Hapo ndio Allah aliposema na tukafanya tone kua damu ilioganda.
Mpaka hapo itambulike anaezungumziwa Ni mwanamketuu.
2 Allah anasema tukalifanya pande la damu ( yai) kua pande la nyama.
Hatua hii ya pili ya hili yai ikumbukwe kua Ni damu,
Sasa katika Hatua hii ya. Pili anahusishwa mwanaume,
Ambapo amekutana na mwanamke huyu ambae amebeba hili
Kisha na kumuachia shahawa, na ikumbukwe kwamba ndani ya shahawa kumekua contained na vitu vinne, ambavyo Ni
Acid
Protein
Virus (non patheginic)
Chromosome
Kupatikana vitu hivi vinne kwenye shahawa ndio tunaita sperm
Na kila kimoja kina kazi yake pindi kinapoingia katika mwili wa mwanamke.
Na kutokana na content hizo kwa kuwezeshwa na altimet intelligence (Allah)(Mungu)
Ndio yanatokea mabadiriko hayo kwenye lile pande la damu, kuanza kua pande la nyama kisha mifupa nk.
Kwa hiyo Qur aan haijatofautiana sana na sayansi
Ila Shida Ni moja wengi qur aan wanaisoma kama gazeti pasipo kuitosheleza tafsiri yake
Hapo ndipo unakuta mkanyiko
Mungu anasema Na Quraan tumeiteremsha kwa kuitawanya ili uwasomee watu kwa kituo
Sasa Leo inasomwa kama gazeti ndio Shida inaanzia hapo.
Mleta Mada usihangaike kujiuliza maswali yote hayo wakati swali lenyewe Ni moja na jibu lake Ni moja na liko humu katika haya nilioandika.
Mengine siingilii.
 
1. Baadhi ya manuscripts zilozopo birmingham england zinaonesha kuwa ziliandikwa 568-645 AD. Hii inaonesha Quran ilianza kuandikwa kabla ya kipindi cha Muhammad.
2. Kama malaika hawana freewill wasingeweza kufanya argument na Allah.
3. Muhammad alikuwa hajui kusoma lakini jibril alikuwa anamlazimisha asome. Ilitegemewa malaika awe anajua kwamba asingeweza kusoma au malaika angempa uwezo wa kusoma kimiujiza.
4. Mtiririko wa sperm kuwa damu iliyoganda halafu kuwa nyama kisha iwe mifupa na baadae ndio kiumbe mwingine atokee hauko sahihi.
5. Suala kwamba kiumbe kinachokuwa tumboni kinapewa pumzi baada ya miezi minne ni madai ya hatari sana
Bado majibu hakuna.
 
Back
Top Bottom