Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Tuambie wewe kua nani kakuambia kua ni neno lililo anzishwa na moor

Alafu ili nisikuone chizi na wakristo wenzio nitajie mlima mrefu kuliko yote duniani ukisimama unaweza ona falme zote za Dunia kwa mujibu wa bibilia
Lete ushahidi kama hilo neno lilikuwepo kabla Moore hajawapatia.

Nilikuambia unitajie falme zilizokuwepo kipindi kile na location zake hujaweza.

Utajuaje kama hakuziona kama hata hujui zilipokuwepo?
 
Lete ushahidi kama hilo neno lilikuwepo kabla Moore hajawapatia.

Nilikuambia unitajie falme zilizokuwepo kipindi kile na location zake hujaweza.

Utajuaje kama hakuziona kama hata hujui zilipokuwepo?
Ulivyo kua huna akili wewe ndiye unae sema kua kalileta moor
Alafu ushawahi di nikupe mimi we huoni kua huo ni utaahira

Ilitakiwa wewe ungekuwa unajitambua unaleta ushahidi kuwa neno kalileta moor kwa ushahidi huu kama unaongea na huna ushahidi ni sawa na kuitwa chizi


Kumbe unajiropokea
Pili umeshindwa. Kuutaja mlima ulio mrefu kwa mujibu wa bibilia

Nahukum rasmi kua ukristo ni chama cha machizi.


Umapo sema kama hajaziona unapingana na bibilia yako mwenyewe

Location ulipaswa kuijua wewe unae kiamini kitabu cha alie laaniwa ili uliulizwa uwe na jibu
Nime maliza
 
Ulivyo kua huna akili wewe ndiye unae sema kua kalileta moor
Alafu ushawahi di nikupe mimi we huoni kua huo ni utaahira

Ilitakiwa wewe ungekuwa unajitambua unaleta ushahidi kuwa neno kalileta moor kwa ushahidi huu kama unaongea na huna ushahidi ni sawa na kuitwa chizi


Kumbe unajiropokea
Pili umeshindwa. Kuutaja mlima ulio mrefu kwa mujibu wa bibilia

Nahukum rasmi kua ukristo ni chama cha machizi.

Nime maliza
Matamko ya Moore yameshawekwa humu mara nyingi, acha kujizima data. Au jibril anakukaba kama alivyomkaba muhammad ndio maana huelewi?

Wewe unayepinga ndio ulete ushahidi kwamba hilo neno mlikuwa mnalitumia kabla mecca haijamlipa Moore.
 
Matamko ya Moore yameshawekwa humu mara nyingi, acha kujizima data. Au jibril anakukaba kama alivyomkaba muhammad ndio maana huelewi?

Wewe unayepinga ndio ulete ushahidi kwamba hilo neno mlikuwa mnalitumia kabla mecca haijamlipa Moore.
Alivyo tamka moor ndio akamwambia ili neno nimeweka mimi.
Au huna hata iyo elim pia
 
Vatican waliandika hiyo dini wakampa waraqua akawa anamkaririsha muhamad.
Waraqa Bin Naufari ndiye aliyempa utume Muhammadi.
Maana yeye Muhammadi alisema wazi kabisa nahisi nimetokewa na mashetani kule pangoni.

Waraqa akasema no no no.

("Huyo aliye kutokea pangoni ni malaika jibliri. Kuanzia sasa nakubashiria kuwa mtume nami nitakuwa upande wako wa kulia wakati ukiutengeneza umma wako")

Yaani Malaika amtokee mtume bila kujitambulisha.
Ni 100% kalikuwa kajini tu hako.
Kajini kaislamu.
 
XX
Chige ameshindwa kuonesha kwamba Issa aliwahi kuwa raia aliyeishi Israel. Hakuna ushahidi wowote uliotolewa. Hata wakristo ambao ni waarabu wanamuita Yesu Kristo Yasu.
Nimeshindwa kuonesha au HAMUELEWI?!

Hata huyo Championship niliamua kuachana nae kwa sababu nimegundua uelewa wake ni mdogo mno.... pekee anachokiweza ni malumbano ya kidini kitu ambacho sio staili!!

Ni kutokana na uelewa wake finyu ndo maana maswali YOTE niliyomuuliza, AMESHINDWA kujibu!

Hapa NARUDIA--

Huwezi kumwelezea Yesu kwa uraia wake kwa sababu kuna MAMILIONI YA WAYAHUDI ambao huwezi kuwaweka chungu kimoja na Yesu kwa sababu ya Uyahudi wao. Yesu ana sifa zake za kipekee zinazomtofautisha sio tu Wayahudi WOTE bali na wanadamu wengine WOTE!

Nikawapa mfano, jambo la kwanza unalotakiwa kumwangalia Yesu ni vile alivyozaliwa! Pamoja na dunia kuletewa Mitume kadhaa, lakini ni YESU pekee ndie alizaliwa kwa staili ya kivyake vyake... kwamba alizaliwa bila baba!

Akina Daud, Mussa, Seleman, Ibrahim na wengine WOTE, normal bilogy ilifanya kazi! Hata Isaka ambae alizaliwa wakati wazazi wake wamepita ile normal reproduction phase bado huwezi kusema alizaliwa bila baba!!

Hiyo ndo hoja unayotakiwa kuitumia na sio uraia!!

Kwamba eti nimeshindwa kuoneshwa Isa aliwahi kuwa raia wa Israel, hiyo ni hoja nyepesi mno kwa sababu ISSA is JUST A NAME kama ilivyo Musa huku Wayahudi wakimuita Moses!!

Ni kiroja au kukosa maarifa ukimtaka mtu athibitishe eti Musa alikuwa raia wa Israel huku ukikubali kwamba Moses alikuwa raia wa Israel! Sijawahi kusikia watu wakisema Moses na Mussa ni watu wawili tofauti!

Should one prove ikiwa Mussa nae alikuwa raia wa Israel?!

Kama nilivyosema, huyo jamaa yako ameshindwa kujibu maswali YOTE niliyomuuliza... sasa naomba msaidie kumjibia:-

1. Tofauti ya MSINGI ya Yesu na Issa ni ipi?!

2. Watu aina yenu hoja yenu kubwa ni kwamba, Yesu na Issa ni watu wawili tofauti kwa sababu Yesu alisurubiwa, kufa, na kufufuka siku ya tatu wakati Issa, according to Quran Hakufa wala hakukufuka!

Ikumbukwe kwamba Wayahudi wanamuita Yesu kwa jina la Yeshua. Hawa walimuona Yesu kwa macho yao, na walishuhudia mafundisho yake lakini pamoja na yote hayo bado HAWAAMINI kama Yeshua alikufa na kufufuka siku ya tatu!

SWALI: Je, kutoamini kwao kunafanya Yesu na Yeshua kuwa WATU WAWILI TOFAUTI?!

Nisadia hayo maswali mawili ambayo mwenzako amepuyanga tu manake mwenzako nilipomuuliza ikiwa hiyo inafanya Yesu na Yeshua kuwa watu wawili tofauti, akaishia kujibu
Wayahudi hawamuamini Yesu kama Messiah lakini historia yao wanamtaja vizuri kabisa. Msome Josephus ambaye ni major historian wa first century anaelezea mpaka crucifixion ya Yesu.

Hakuna taarifa zozote kuhusu huyo jamaa anayeitwa issa ndani ya Israel. Waislamu wanatakiwa kueleza ni nani huyu jamaa.

Yeshua ndio exactly imetoholewa na kuitwa kwa kiswahili Yesu. Ni jina lililotengenezwa kwa kiswahili kama tunavyoiita England uingereza au France Ufaransa au USA marekani.
Sasa ukisoma hapo unaona wazi kwamba kumbe hoja ya Issa kwamba hakufa na kufufuka wala sio hoja ya msingi kwa sababu hapo anakiri Yeshua ndie Yesu lakini bado Wayahudi hawaamini ikiwa Yesu alikuwa na kufufuka siku ya tatu!!
 
Alipotamka Moore mkaanzisha tafsiri mpya na kuboresha references za quran.
Inaonesha huku kamilika katika tumbo la mama yako kama Yesu mwenyewe

Swali umeulizwa rahisi tu

Moor wakati anatamka ndio akasema nimeanzisha yeye ilo neno


Ndio narudia tena ukristo ni chama cha machizi duniani

Kama unabisha ona kama utajibu swali hilo
 
Waraqa Bin Naufari ndiye aliyempa utume Muhammadi.
Maana yeye Muhammadi alisema wazi kabisa nahisi nimetokewa na mashetani kule pangoni.

Waraqa akasema no no no.

("Huyo aliye kutokea pangoni ni malaika jibliri. Kuanzia sasa nakubashiria kuwa mtume nami nitakuwa upande wako wa kulia wakati ukiutengeneza umma wako")

Yaani Malaika amtokee mtume bila kujitambulisha.
Ni 100% kalikuwa kajini tu hako.
Kajini kaislamu.
Mambo ya aibu sana haya na watu wanashupaza shingo mpaka hata kujivisha mabomu.
 
Ikumbukwe kwamba Wayahudi wanamuita Yesu kwa jina la Yeshua. Hawa walimuona Yesu kwa macho yao, na walishuhudia mafundisho yake lakini pamoja na yote hayo bado HAWAAMINI kama Yeshua alikufa na kufufuka siku ya tatu!
Waandishi wote wa injili walikuwa wayahudi. Huyo Josephus alikuwa myahudi. Unawezaje kusema wayahudi hawakuamini kama aliuawa na kufufuka?

Kuna mzee anaitwa mohamed said humu ndani anaongelea kwamba historia ya Tanganyika iliacha kuandika mchango wa waislam.

Mimi sikubaliani naye kwasababu hao walipigania uhuru kama watanganyika na hivyo mambo ya dini tuyaweke pembeni.

Hata hivyo nimeandika hili ili kukuonesha kwamba wenye mamlaka wanaweza kupotosha historia kwasababu mbalimbali.

Ukisoma injili unaona kabisa namna mfumo rasmi wa dini uliamua kukataa kwa makusudi kwamba Yesu alifufuka mpaka wakatoa rushwa kwa askari wa kirumi.

Still wayahudi wengi sana waliamini na wengi walikuwa wanafunzi wa Yesu na kudumu katika imani.

Kwahiyo tafuta utetezi mwingine wa huyo issa wenu wa mchongo.
 
Hizi porojo umezitoa wapi?

Moore aliwafundisha waislam hilo neno halafu wao wakaliongeza kwenye quran na tafsiri zake.
Mpaka ujibu swali wewe na wakristo wenzio mpo kwenye chama cha machizi

Kama unabisha aya niambie moor alisema wapi nipe video moor akitamka maneno hayo kua hapa nawafundisha waislamu walitumie ili neno la leech kwenye tafsiri zao.
 
Mpaka ujibu swali wewe na wakristo wenzio mpo kwenye chama cha machizi

Kama unabisha aya niambie moor alisema wapi nipe video moor akitamka maneno hayo kua hapa nawafundisha waislamu walitumie ili neno la leech kwenye tafsiri zao.
Acha kuzunguka, rudi kurasa za mwanzoni tuliiweka.
 
Acha kuzunguka, rudi kurasa za mwanzoni tuliiweka.
Hakuna atakaye zunguka hapa iliyowekwa hakuna mahala alipo sema nawapa au nawafundisha hili neno waislamu walitumie

Sasa tupe video inayo onyesha anasema au yupo darasani na waislamu anatufundisha ilo neno

Ukishindwa kwa uongo uo ulio zusha

Hiki cheo kina wahusu

Ukristo ni chama cha machizi duniani.
 
Jibuni haya maswali:


1. Baadhi ya manuscripts zilozopo birmingham england zinaonesha kuwa ziliandikwa 568-645 AD. Hii inaonesha Quran ilianza kuandikwa kabla ya kipindi cha Muhammad.

2. Kama malaika hawana freewill wasingeweza kufanya argument na Allah.

3. Muhammad alikuwa hajui kusoma lakini jibril alikuwa anamlazimisha asome. Ilitegemewa malaika awe anajua kwamba asingeweza kusoma au malaika angempa uwezo wa kusoma kimiujiza.

4. Mtiririko wa sperm kuwa damu iliyoganda halafu kuwa nyama kisha iwe mifupa na baadae ndio kiumbe mwingine atokee hauko sahihi.

5. Suala kwamba kiumbe kinachokuwa tumboni kinapewa pumzi baada ya miezi minne ni madai ya hatari sana

6. Sperm kutokea sehemu iliyopo kati ya mbavu na uti wa mgongo.

7. Ushahidi kutoka Israel kuonesha kwamba issa aliwahi kuishi huko
Kazakh destroyer
 
Back
Top Bottom