Wanasema mimi ni Shetani na pia ninahofia maisha yangu yapo hatarini hapa UK

Upweke tu and your dog life existence vinakusumbua.
 
Pole sana.. Ni mara ya kwanza kusikia kama kuna torture ya waves, hii kitu sijawahi kusikia kabla. Na bado nabaki na maswali kuwa, kama inakutokea ukiwa sehemu ya public ni kwanini hizo waves zinakuja tu specific kwako.

Usibase upande mmoja tu kuwa kuna waves unatumiwa, jaribu pia kufanya ufatiliaji hospitalini wa afya yako ya Akili. MImi hii kitu ya kutumiwa waves sijawahi kusikia hata kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Ndiyo kwanza naisikia kwako.
 
Mimi sileti tishio lolote lile. Hata criminal record sina. Nilipokuwa ninafanya kazı hospitali nadhani tatizo ndio lilianzia hapo. Kama blame culture flani hivi ya makosa madogo madogo. Baadae watu waka ikuza zaidi. Baadae ikaleta matatizo na hisi wengine wakaona ndio apportunity.
Kitu kikubwa ambacho nina pia kimechangia ni kutokuwa na marafiki
Hii issue ilikuwa inanıpa shida sana kwa sababu ukianza kumwelezea mtu ni moja kwa
moja anakuweka kwenye kundi la watu wenye matatizo ya afya ya akili.
Hata nilipokuwa lına yoksa hapo mwanzo nilishindwa kulala mika kwa sababu utaanzaje na husiishie kujiuma uma.
Nikipata ushahidi wowote wa wanapowasilina nitaweka hapa
 
Ujue kwanza CHANZO cha CHANZO ya matatizo yako, kama hujakijua utajikuta kila mahali unakimbizwa na changamoto hii au ile.
 
Una shughuli gani hapa London mpaka ufuatiliwe hivyo?
Ndio kwanza nausoma huu uzi ila wa mwanzo sijauona kabisa
Pole maana hata kukushauri siwezi maana mimi ni mbeba box tu sio mbobezi wa masuala ya technologies au hata uhaini
Wewe ni muongo si mbeba box hupo vizuri sana na umeishi uingereza miongo kadhaa. Acha kujishusha mkuu.
 
Kuna mambo mengine ya hizi waves ambayo yamenipata nikiweka hapa kwa sasa hivi. Nitaoneka na matatizo ya akili.
Kwangu kuwa Public ni kupitia mobile. Halafu kitu nilicho notice zikiwa ninatumia mobile nikishaanza kuzipa ninaendela hata nikizima mobile na ku block signal. Inawezeka pia temperature yako ya mwili inachangia. Kuna siku nilipata nikiwa Public baada ya kwenda chochoni nikasema ngoja nijaribu ku weak maji baridi kichwani zika stop. Pia
labda kunaweza kuwa na sababu nyingine nyingi
 


"They are enjoying torture me"
 
Hhmm.... Pole sana, nitafatilia hili.
 
Tufike mahali tukubaliane tu kwamba huyu Ndg. ana shida. Inafikirisha sana mtu kulalamika hivyo lakini wakati huo huo hajatuambia/hajajibu hoja za wadau kwamba Yeye ni mtu mwenye nafasi gani (Status) au Cheo au kazi gani nyeti (sensitive)hapo UK kiasi kwamba wapo watu wameamua "kumshughulikia" kivile? Halafu wadau wamemshauri arudi nyumbani lakini bado anang'ang'ania hapo UK. Inashangaza sana. Je, huyu jamaa ni tishio kiasi gani katika mustakabali mzima wa Jamii anayoishi nayo hapo UK? Ninadhani wadau hapo juu waliosema Tatizo lipo kichwani mwake wapo sahihi. Inakuwaje jamii ya hapo UK iache kushughulikia maswala nyeti ya Maendeleo ya nchi yao eti wakajishughulishe na mtu mmoja tena m-bongo wa Tz. Ingekuwa ni kweli kwamba yy ni tishio au ni mtu muhimu sana, wangekuwa weshamlamba kichwa. Mbona kazi rahisi sana hiyo? Eti wanatuma waves. Hahahaa. Broo, Nunua Toka UK fanya fasta urudi hapa Bongo na upate ushauri wa Wazee. Achana na UK. Hawana maslahi na wewe ila ww unadhani una maslahi kwao.
 
Mkuu,

Kwakuwa sio kitu chenye uhakika kuwa unafanyiwa, imekuwa kama nadharia tu, nadhani sio vibaya na sio dhambi ukaonana na wataalam wa afya ya akili pia. Wao wanawezabpia liangalia kwa upande ambao wewe huoni.

Linaweza kuwa hata ni swala la neurones lina shida. Huko kuna matibabu mazuri na wataalam zaidi, nashauri wakati unasubiria kurudi Tanzania, basi fanya na matibabu kabisa.

Utapata majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…