Wanasema mimi ni Shetani na pia ninahofia maisha yangu yapo hatarini hapa UK

Wanasema mimi ni Shetani na pia ninahofia maisha yangu yapo hatarini hapa UK

Tanzania ipi ya amani na furaha?
Amesema au ametumia neno "Waweza...." nayo inamaanisha " Kuna uwezekano mkubwa " ni conditional term. i.e. Usipojibidisha maana yake bado hutaishi kwa amani na furaha ni majanga yataendelea.
 
Hamna !tus
Lakini hata kwenye scientific research kunakuwa na kundi la "Sample" na sample size huwa na units wengi sio mmoja. Mbona hatujasikia mlalamikaji mwingine yeyote? au tuseme yeye ndo weak sample unit?
Hamna!ila tuseme yeye ndio amekuwa wa kwanza kushtuka(coz ana ufahamu mkubwa) ,pili labda wengine wamejua ila siyo wa TZ ,na hawana acc jf, so wanalalamika huko kwingine ,ie Nigeria nk,. Honestly sipendi kudhalau matatizo ya watu,napenda nisikie mpaka mwisho, japo siyo justification ya kuamini harakaharaka
 
Hamna !tus
Hamna!ila tuseme yeye ndio amekuwa wa kwanza kushtuka(coz ana ufahamu mkubwa) ,pili labda wengine wamejua ila siyo wa TZ ,na hawana acc jf, so wanalalamika huko kwingine ,ie Nigeria nk,. Honestly sipendi kudhalau matatizo ya watu,napenda nisikie mpaka mwisho, japo siyo justification ya kuamini harakaharaka
Tusubiri akifanikiwa kurudi kwa emergency travel kama alivyosema, ataeleza vizuri zaidi na ikiwezekana achunguzwe kama ni kweli na kuna athari zitokanazo na hizo waves zilizokuwa inflicted kwake.
 
Schizophrenia

Mara matatizo yalianza kwenye nyumba unayoishi

Post chache baadae unatuambia itakuwa kazini huko kwenye mambo ya afya (sector ambayo imejaza waafrika luluki, kwanini iwe wewe).

Kule mada nyingine umesema ilianza kwenye kituo cha train usiku.

Una sharp pain kwenye kichwa, huyo GP badala ya kuku-refer kufanya MRI scan kataka ukapimwe damu. Halafu baada ya kupata vipimo vya damu baada ya kuona clear akakuacha wakati bado una shida without referring you to get ‘360 health assessment’. Au hata kuku refer kwa wataalamu wa mifupa, nervous system kuchunguza zaidi.

Unadhani unafanyiwa testing, halafu hiyo sample yenyewe inadhurura (non-controlled na researchers) kupata hizo results ina maana inabidi wa bug unapoishi, wakufuatilie (24/7) hizo gharama zote sijui nani ana fund hiyo research.

Bado wa hack NHS system kupata medical records (kosa ambalo ni kinyume na data protection law) na lina adhabu kali.

Polisi washirikiane na research organisation hiko kitu hakipo, ikibainika kesho commissioner hana kazi, bunge litataka inquiry nani wengine wanahusika wachukuliwe hatua, na waziri hana kazi.

Bado moto wa IOPC police watchdog, jeshi la polisi awawezi shiriki ujinga kama huo, wala hakuna mwenye akili timamu anaeweza washurukisha. Research kama hiyo itakuwa siri polisi wote awawezi jua.

Kwanza sidhani kama, kuna taasisi inaweza fanya research kama hiyo U.K. zaidi ya MoD tena ata humo ndani kwao itakuwa siri ya watu wachache bearing the unethical practice involved mambo kama hayo lazima wafanyie kwenye control environment tena kwa siri kubwa sana.

Hao ‘guinea pigs’ wenyewe kuwatumia kwenye research hiyo kuna masharti luluki, seuse binadamu.

Hata research centre yao ‘Porton Down’ ambapo ukiingia tu kwenye radius kabla hata ujafika getini polisi hao. Wanaofanya kazi kuingia na kutoka huko checks zake sio za kitoto.

Bado hujui waves zinavyotembea, kama ungejua waves zinavyosambaa inatanuka in circle so aziwezi mpata mtu mmoja, labda ungesema laser.

Kwa sababu unarudia hivi vitu sana na unaamini kuna watu nyuma yake (watu ambao wapo kichwani) it’s time kuomba psychological help.
 
Mkuu that's not normal. Bila shaka upweke na hali ya kuwa tofauti na wanaokuzunguka imepelekea depression na matokeo yake hallucinations na delusions. Au simply wanaita Schizophrenia.

Nenda kwa psychology uanze matibabu ya akili. Otherwise soon utaanza kukimbia hovyo na kupiga kelele.
 
Mkuu samahani...nipo nje ya mada unae MPENZI....? mara Yako ya mwisho kufanya mapenzi ilikuwa lini...?

Una mfahamu KISANDU...alisema anakuja huko🤣🤣🤣​
 
Miaka 76 iliyopita watu wa carribeans walikubaliwa kuja kuishi Uingereza.
Wajamaica na visiwa kadhaa walibebwa kwenye meli wakiwa zaidi ya 1000
Na wengine zaidi waliletwa pia

Hao waliitwa Windrush generation
Ila kulikuwa hakuna kumbukumbu yoyote serikalini na ndipo aliekuwa Waziri wa mambo ya ndani Priti Patel kuwakamata na kuwasafirisha wengi
Ilikuwa ni kosa kubwa na la aibu
Wote walilipwa kwa kukosa ajira zao na wengine kufa masikini

Ila unakaaje miaka yote bila kudai haki ya kuishi
Wengi walizaliwa hapa ila walikuwa hawajaomba uraia

Kuhusu lugha ya malkia usijali mkuu naongea lugha 5 na sio moja ila naongea kama Charles yaani lafudhi ya wazungu wa kawaida na sio Slang kama unayoipenda 😄

Karibu sana nikuzungushe mitaa yangu hapa

Mkuu, naomba kukuuliza.... wewe ni ME au KE? Nilishajaribu sana kuling'amua hili swali kupitia comments/mwandiko na michango yako hapa jf lakini huwa naishia dilemma. 😎

-Kaveli-
 
Kwa nilivomuelewa yeye Sasa anatumika kama panya wa maabara, Kuna utafiti unafanyika na yeye ndio Yuko monitored kuhakikisha majibu ya utafiti yanafanyika yeye akiwa kama panya. So he has nothing special than being a human !

Yep, Mimi pia nimemuelewa mleta mada ktk taswira hiyo... kwamba yeye ana hisia na anaamini kuwa amefanywa 'guinea pig' wa utafiti wa technology fulani by kikundi cha watu hapo London.

-Kaveli-
 
Lakini hata kwenye scientific research kunakuwa na kundi la "Sample" na sample size huwa na units wengi sio mmoja. Mbona hatujasikia mlalamikaji mwingine yeyote? au tuseme yeye ndo weak sample unit?
Mkuu,
Kwenye ili nita ku tag baadae kama nita bahatika kuandika zaidi miezi ijayo.
 
Unaishi London sehemu Gani je ulishafika ubalozini kwenu TZ je ulienda kuripoti Polisi shida yako
 
Mkuu Kaveli
Kuna mambo ambayo nimejifunza kwenye ili swala langu;
1)Wakati sisi priority yetu ni kujiboresha sisi na familia zetu. Wenzetu PIA wanaangalia kuboresha mazingira ya vizazi vyao vijavyo. Mfano, sisi tunaweza kupewa pesa ambazo zitasaidia kununua gari zuri au nyumba tukafanya maamuzi ambayo yataleta matatizo katika vizazi vyetu vijavyo.
2)Nimejifunza watu fulani kama swala fulani linaweza kuwafaisha wao, vizazi vyao, nchi yao au bara lao. Kutoka kwa vizazi fulani. They can join forces, turn a blind eye, breaking some their laws etc
3)Watanzania wengi hasa waliopo London hawajichanganyi sana watu wengine. la sivyo ili swala lingekuwa limeshafika uku.
4)Tamaa ya pesa ndio inatuangusha sana sisi weusi
5) Kama unataka kumwumiza mtu kwenye mambo ambayo yatakuwa hayana ushahidi wa moja kwa moja. Fanya kampeni kwanza mfano kumwita PARANOIA. Chochote hatakacho kuja kusema hapo baadae kitakuwa dismiss kirahisi
 
Mkuu Kaveli
Kuna mambo ambayo nimejifunza kwenye ili swala langu;
1)Wakati sisi priority yetu ni kujiboresha sisi na familia zetu. Wenzetu PIA wanaangalia kuboresha mazingira ya vizazi vyao vijavyo. Mfano, sisi tunaweza kupewa pesa ambazo zitasaidia kununua gari zuri au nyumba tukafanya maamuzi ambayo yataleta matatizo katika vizazi vyetu vijavyo.
2)Nimejifunza watu fulani kama swala fulani linaweza kuwafaisha wao, vizazi vyao, nchi yao au bara lao. Kutoka kwa vizazi fulani. They can join forces, turn a blind eye, breaking some their laws etc
3)Watanzania wengi hasa waliopo London hawajichanganyi sana watu wengine. la sivyo ili swala lingekuwa limeshafika uku.
4)Tamaa ya pesa ndio inatuangusha sana sisi weusi
5) Kama unataka kumwumiza mtu kwenye mambo ambayo yatakuwa hayana ushahidi wa moja kwa moja. Fanya kampeni kwanza mfano kumwita PARANOIA. Chochote hatakacho kuja kusema hapo baadae kitakuwa dismiss kirahisi

Mkuu, nimekuelewa vyema sana, hasa hasa hiyo para 5.

Suala lako linafikirisha, zaidi linaumiza sana endapo lipo hivyo kweli kama jinsi fikra zako zinavyokuaminisha.

-Kaveli-
 
Mkuu Nunua Toka UK , nimesoma uzi wako ule wa mwanzo. Kwamba issue yako hii ilianzaga by 'BULLYING' uloiexperience mahala pako pa kazi, na pia ulikuwa unaishi na west Africans kwenye shared accommodation.

Naomba kuuliza...

1. Umeshajaribu kubadili/kuhama makazi?

2. Umeshajaribu kubadili/ku-abandon all electronic devices unazotumia? (companion & in-house)

3. Umeshajaribu kufanyiwa 'Microchip detection' kwenye mwili wako?

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom