Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe rudi huku huko kuna ubaguzi mkubwa mkuu. Hata ukiketi kwenye daldala za huko mzungu hatakuja kukaa nawe kiti kimoja ni heri wasimame LABDA WAZEE. ingia ndani ndani kama bedfordshire nk wakiona watu weusi wanadhani wanatkea carribean ambao waliletwa huko kufanya kazi chafuchafu. Ila wewe hujui weusi huwa wanawabonda hao wazungu wakiwadhrau na kuishia jela. ONDOKA HIYO HALI HAITABADILIKA HARAKA LEO AU KESHO KAMA HUWEZI KUVUMILIA. Nilisoma huko na baadhi ya Watz walibakia huko sijui wanaendeleaje ni zaidi ya miaka 30 iliyopita . Walijiunga na Jehova witness wakawa wanahubiri dini.Hii issue imekuwa ngumu kwangu kwa sababu hao Polisi ndio wahusika na organisations nyingine. Hii issue kama ingekuwa kwa watu
wengine wasingeweza kufika hapa nilipo. Kuna mambo kibao yamefanyika kujaribu kunidhalilisha na kuni discredit
Asante sana mkuu kwa maelezo ntakaribia. Yani hao wahindi wana uchungu na uingereza kuliko waingereza asili ni yule sajid na priti si ndo walirevoke citizenship ya shamima begun yule jihadi bride?Miaka 76 iliyopita watu wa carribeans walikubaliwa kuja kuishi Uingereza.
Wajamaica na visiwa kadhaa walibebwa kwenye meli wakiwa zaidi ya 1000
Na wengine zaidi waliletwa pia
Hao waliitwa Windrush generation
Ila kulikuwa hakuna kumbukumbu yoyote serikalini na ndipo aliekuwa Waziri wa mambo ya ndani Priti Patel kuwakamata na kuwasafirisha wengi
Ilikuwa ni kosa kubwa na la aibu
Wote walilipwa kwa kukosa ajira zao na wengine kufa masikini
Ila unakaaje miaka yote bila kudai haki ya kuishi
Wengi walizaliwa hapa ila walikuwa hawajaomba uraia
Kuhusu lugha ya malkia usijali mkuu naongea lugha 5 na sio moja ila naongea kama Charles yaani lafudhi ya wazungu wa kawaida na sio Slang kama unayoipenda 😄
Karibu sana nikuzungushe mitaa yangu hapa
Kweli mkuu wao ndio walitoa amriAsante sana mkuu kwa maelezo ntakaribia. Yani hao wahindi wana uchungu na uingereza kuliko waingereza asili ni yule sajid na priti si ndo walirevoke citizenship ya shamima begun yule jihadi bride?
Una matatizo ya afya ya akiliBaada ya muda mrefu kunyanyaswa, kubaguliwa, kudharauliwa na mengine mengi. Leo ndio nimedhibitisha kuwa wanaamini mimi DEVIL hapa UK.
Niliwahi kufungua huu uzi: Yanayonikuta London (UK)
Nilielezea kwa kifupi kwamba nimekuwa nina tumiwa waves ambazo nina hisi kama electrical shocks na sharp needle pain. Hii baadae imekuja kuwa worse. Zina sababisha fuvu la kichwa kinauma na inabidi nitumie dawa za maumivu.
They are enjoying torture me. Mapaka nimeishia kulala kıla sehemu.
Nina hasira sana na hii.
MOD naomba msifute huu uzi
Au ndio zile issues za 5G telecom towers emmited radiations ,Kuna jamaa niliona YouTube ni wa UK anaongelea Hilo , yawezekana ndio linalokupata na wewe ,kwamba uko hypersensitive na hizo 5G wavesKuna mambo mengi yamenikuta niki yaongelea kwa watu nitaoneka kichaa.
Anyways,
Issue ilianzisha kwenye nyumba ambayo nilikuwa nina ishi na jamaa wenyine. Nilipoanza kupata hızo electrical shocks nilikuwa nina hisi kuna kifaa special ambacho kına emit hizo waves. Baada ilipoamia kwa wanafunzi wa vyuo.Mmoja wao akafanya blunder au inawezekana alifanya makusudi ili kunifanya nionekane paranoid. Nilikuwa nipo station ya treni nimekaa kwenye bench halafu nimelalia begi. Nikaanza kupata hizo shocks.
Nikaangalia kama kuna mtu mwenye kifaa chochote vile cha electronic karibu yangu na kama amekielekezea kwangu. Lakini sikuona zaidi ya demu mmoja alikuwa amekaa bench linalofuatia na alikuwa anaongelea kwenye mobile. Hii ilikuwa ni usiku sana kwa hiyo abiria walikuwa ni wachache sana. Nikarudi kuinamisha kichwa kwenye begi tena, nikawa nina hisi labda hakuna kitu. Baada ya muda nikapata nyingine kubwa sana hii ilikuwa kama umekuswa na sindano kidogo. Nikasimama kabisa kuangalia tena hakuna mtu alikuwa na kifaa chochote na wengi walikuwa kama vile wana dose off zaidi ya yule dada alikuwa kwenye simu. Nikatembea hatua chache kwenda kujiegemeza kwenye ukuta kuangalia zaidi. Yule dada akasimama na kuondoka haraka haraka akatoka nje ya station niposema ngoja nikamwangalie anaenda wapi. Alikuwa ameshatokomea. Hapo ndio ikaja possibility ya kuwa inawezekana wanatumia app na mobile rear camera ku emit waves. Natokea kuna matukio mengi ya camera. Lakini pia inawezekana, kama nilivyosema hapo nyuma labda ni kunifanya nionekane paranoia. Na hizo waves zinatoka sehemu nyingine tofauti.
Nyingine ni cctv. Na hizi sio shocks
sensation bali zinakupa maumivu fulani haşa kichwani juzi nilipigwa moja nikiwa station kama sindano vile. Maumivu ni mpaka leo.
Nyingine nadhani zinatoka kwenye mobile tower kupitia mobile signals. Hii ni observation yangu vile vile watu waliopo behind wanaoneka wanajua kazı yao kisawa sawa
Kuna mambo mengine lakini wacha niachie hapo
Au ndio zile issues za 5G telecom towers emmited radiations ,Kuna jamaa niliona YouTube ni wa UK anaongelea Hilo , yawezekana ndio linalokupata na wewe ,kwamba uko hypersensitive na hizo 5G wavesKuna mambo mengi yamenikuta niki yaongelea kwa watu nitaoneka kichaa.
Anyways,
Issue ilianzisha kwenye nyumba ambayo nilikuwa nina ishi na jamaa wenyine. Nilipoanza kupata hızo electrical shocks nilikuwa nina hisi kuna kifaa special ambacho kına emit hizo waves. Baada ilipoamia kwa wanafunzi wa vyuo.Mmoja wao akafanya blunder au inawezekana alifanya makusudi ili kunifanya nionekane paranoid. Nilikuwa nipo station ya treni nimekaa kwenye bench halafu nimelalia begi. Nikaanza kupata hizo shocks.
Nikaangalia kama kuna mtu mwenye kifaa chochote vile cha electronic karibu yangu na kama amekielekezea kwangu. Lakini sikuona zaidi ya demu mmoja alikuwa amekaa bench linalofuatia na alikuwa anaongelea kwenye mobile. Hii ilikuwa ni usiku sana kwa hiyo abiria walikuwa ni wachache sana. Nikarudi kuinamisha kichwa kwenye begi tena, nikawa nina hisi labda hakuna kitu. Baada ya muda nikapata nyingine kubwa sana hii ilikuwa kama umekuswa na sindano kidogo. Nikasimama kabisa kuangalia tena hakuna mtu alikuwa na kifaa chochote na wengi walikuwa kama vile wana dose off zaidi ya yule dada alikuwa kwenye simu. Nikatembea hatua chache kwenda kujiegemeza kwenye ukuta kuangalia zaidi. Yule dada akasimama na kuondoka haraka haraka akatoka nje ya station niposema ngoja nikamwangalie anaenda wapi. Alikuwa ameshatokomea. Hapo ndio ikaja possibility ya kuwa inawezekana wanatumia app na mobile rear camera ku emit waves. Natokea kuna matukio mengi ya camera. Lakini pia inawezekana, kama nilivyosema hapo nyuma labda ni kunifanya nionekane paranoia. Na hizo waves zinatoka sehemu nyingine tofauti.
Nyingine ni cctv. Na hizi sio shocks
sensation bali zinakupa maumivu fulani haşa kichwani juzi nilipigwa moja nikiwa station kama sindano vile. Maumivu ni mpaka leo.
Nyingine nadhani zinatoka kwenye mobile tower kupitia mobile signals. Hii ni observation yangu vile vile watu waliopo behind wanaoneka wanajua kazı yao kisawa sawa
Kuna mambo mengine lakini wacha niachie hapo
Au unaweza kuwa unatumika kama Guinea pig bila kujijua na projects za MI6Mkuu hii kurudi Bongo mbona nimeshasema nina chukua emergency travel document jumatatu au jumanne halafu wiki hiyo hiyo ninakwea pipa. Haya mambo yata kuwa sio tatizo langu tena.
Mambo ya wrong beliefs. Hayana huusiano wowote na cheo. Bali inahuhusiano na vulnerability, ni bullying. Ukweli ni mchungu kwangu lakini ndio ukweli.
Udhaifu ulionao ndio kivutio kwa watu fulani.
Hapa UK watu wameshafungwa kwa kuua watoto kutokana na kuamini ni devil. Kwanini asimwue mume au mke kwa sababu watoto ni rahisi kuwa blame kwenye mambo fulani.
Kwa kuwa victim ili haina huhusiano kama una cheo kikubwa au una endesha garı züri bali opposite of those
Yawezekana , kutokana na story yake na mimi nimeanza kuhisi hicho kituKwa nilivomuelewa yeye Sasa anatumika kama panya wa maabara, Kuna utafiti unafanyika na yeye ndio Yuko monitored kuhakikisha majibu ya utafiti yanafanyika yeye akiwa kama panya. So he has nothing special than being a human !
Maana amesema aliwahi kufanya kazi kwenye health institution hapo UK so kuna probability wamemfanya kama Guinea pig katika clandestine research bila yeye kujuaKwa nilivomuelewa yeye Sasa anatumika kama panya wa maabara, Kuna utafiti unafanyika na yeye ndio Yuko monitored kuhakikisha majibu ya utafiti yanafanyika yeye akiwa kama panya. So he has nothing special than being a human !
CIA au intelligence agencies nyingi na projects zao hawafuati sheriaSchizophrenia
Mara matatizo yalianza kwenye nyumba unayoishi
Post chache baadae unatuambia itakuwa kazini huko kwenye mambo ya afya (sector ambayo imejaza waafrika luluki, kwanini iwe wewe).
Kule mada nyingine umesema ilianza kwenye kituo cha train usiku.
Una sharp pain kwenye kichwa, huyo GP badala ya kuku-refer kufanya MRI scan kataka ukapimwe damu. Halafu baada ya kupata vipimo vya damu baada ya kuona clear akakuacha wakati bado una shida without referring you to get ‘360 health assessment’. Au hata kuku refer kwa wataalamu wa mifupa, nervous system kuchunguza zaidi.
Unadhani unafanyiwa testing, halafu hiyo sample yenyewe inadhurura (non-controlled na researchers) kupata hizo results ina maana inabidi wa bug unapoishi, wakufuatilie (24/7) hizo gharama zote sijui nani ana fund hiyo research.
Bado wa hack NHS system kupata medical records (kosa ambalo ni kinyume na data protection law) na lina adhabu kali.
Polisi washirikiane na research organisation hiko kitu hakipo, ikibainika kesho commissioner hana kazi, bunge litataka inquiry nani wengine wanahusika wachukuliwe hatua, na waziri hana kazi.
Bado moto wa IOPC police watchdog, jeshi la polisi awawezi shiriki ujinga kama huo, wala hakuna mwenye akili timamu anaeweza washurukisha. Research kama hiyo itakuwa siri polisi wote awawezi jua.
Kwanza sidhani kama, kuna taasisi inaweza fanya research kama hiyo U.K. zaidi ya MoD tena ata humo ndani kwao itakuwa siri ya watu wachache bearing the unethical practice involved mambo kama hayo lazima wafanyie kwenye control environment tena kwa siri kubwa sana.
Hao ‘guinea pigs’ wenyewe kuwatumia kwenye research hiyo kuna masharti luluki, seuse binadamu.
Hata research centre yao ‘Porton Down’ ambapo ukiingia tu kwenye radius kabla hata ujafika getini polisi hao. Wanaofanya kazi kuingia na kutoka huko checks zake sio za kitoto.
Bado hujui waves zinavyotembea, kama ungejua waves zinavyosambaa inatanuka in circle so aziwezi mpata mtu mmoja, labda ungesema laser.
Kwa sababu unarudia hivi vitu sana na unaamini kuna watu nyuma yake (watu ambao wapo kichwani) it’s time kuomba psychological help.
Blaza rudi home usije ukaanza kuokota makopo nchi za watu.Kuna mambo mengi yamenikuta niki yaongelea kwa watu nitaoneka kichaa.
Anyways,
Issue ilianzisha kwenye nyumba ambayo nilikuwa nina ishi na jamaa wenyine. Nilipoanza kupata hızo electrical shocks nilikuwa nina hisi kuna kifaa special ambacho kına emit hizo waves. Baada ilipoamia kwa wanafunzi wa vyuo.Mmoja wao akafanya blunder au inawezekana alifanya makusudi ili kunifanya nionekane paranoid. Nilikuwa nipo station ya treni nimekaa kwenye bench halafu nimelalia begi. Nikaanza kupata hizo shocks.
Nikaangalia kama kuna mtu mwenye kifaa chochote vile cha electronic karibu yangu na kama amekielekezea kwangu. Lakini sikuona zaidi ya demu mmoja alikuwa amekaa bench linalofuatia na alikuwa anaongelea kwenye mobile. Hii ilikuwa ni usiku sana kwa hiyo abiria walikuwa ni wachache sana. Nikarudi kuinamisha kichwa kwenye begi tena, nikawa nina hisi labda hakuna kitu. Baada ya muda nikapata nyingine kubwa sana hii ilikuwa kama umekuswa na sindano kidogo. Nikasimama kabisa kuangalia tena hakuna mtu alikuwa na kifaa chochote na wengi walikuwa kama vile wana dose off zaidi ya yule dada alikuwa kwenye simu. Nikatembea hatua chache kwenda kujiegemeza kwenye ukuta kuangalia zaidi. Yule dada akasimama na kuondoka haraka haraka akatoka nje ya station niposema ngoja nikamwangalie anaenda wapi. Alikuwa ameshatokomea. Hapo ndio ikaja possibility ya kuwa inawezekana wanatumia app na mobile rear camera ku emit waves. Natokea kuna matukio mengi ya camera. Lakini pia inawezekana, kama nilivyosema hapo nyuma labda ni kunifanya nionekane paranoia. Na hizo waves zinatoka sehemu nyingine tofauti.
Nyingine ni cctv. Na hizi sio shocks
sensation bali zinakupa maumivu fulani haşa kichwani juzi nilipigwa moja nikiwa station kama sindano vile. Maumivu ni mpaka leo.
Nyingine nadhani zinatoka kwenye mobile tower kupitia mobile signals. Hii ni observation yangu vile vile watu waliopo behind wanaoneka wanajua kazı yao kisawa sawa
Kuna mambo mengine lakini wacha niachie hapo
Uwezi kufanya hizo experiments leo, research za 60’s kurudi nyumba mambo waliyokuwa wanafanya watu kama hakina Pavlov, Skinner, Watson na ‘behaviour psychologists’ wengine, including CIA ‘conditioning’ programmes dunia ya leo yana tafsiriwa kama inhumane, barbaric and unethical.CIA au intelligence agencies nyingi na projects zao hawafuati sheria
Mfano CIA wamewahi kufanya programu ya MK ultra ( mind control ) program , Kuna ushenzi mwingi waliufanya humo hamna mfano
Na watu kibao walitumika bila consent zao
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Ondoka huko Ukerewe. Una msongo wa mawazo unaota au unaona vitu havipo. Upo Ukerewe ila wewe unajiona hapo ni London. Ukiendelea kukaa hapo watakubaka.Baada ya muda mrefu kunyanyaswa, kubaguliwa, kudharauliwa na mengine mengi. Leo ndio nimedhibitisha kuwa wanaamini mimi DEVIL hapa UK.
Niliwahi kufungua huu uzi: Yanayonikuta London (UK)
Nilielezea kwa kifupi kwamba nimekuwa nina tumiwa waves ambazo nina hisi kama electrical shocks na sharp needle pain. Hii baadae imekuja kuwa worse. Zina sababisha fuvu la kichwa kinauma na inabidi nitumie dawa za maumivu.
They are enjoying torture me. Mapaka nimeishia kulala kıla sehemu.
Nina hasira sana na hii.
MOD naomba msifute huu uzi