nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,678
Jibu maswali yangu kama una ubavu.
Dont be....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu maswali yangu kama una ubavu.
Bwa! ha! ha! ha! Si afadhali hata ningekosa hiyo admission ya kusoma sheria maana huenda hata ningekuwa admitted kusomea ualimu. Mwenzio hata form five sijafika.
Mi ni mbeba maboksi tu. Sina chuki na hao wasomi.
Tunarudi kule kule....
Hatuko hapa kwaajili ya kuonyeshana nani zaidi...
umetoa maswali yako nami nikatoa mawazo yangu.
Katika maswali yako, Kuna instruction zinaonyesha najibu line by line?
Who the hell are you nikujibu line by line?
Natoa michango na mawazo yangu pamoja na kujibu maswali ambayo nitakua intrested nayo kwa style nitakayotaka mimi.
Ukishindwa kuelewa go to hell.
Dont be....
Kule kule wapi? Kijijini kwenu?
Naam.
Sikuomba mawazo yako. Nimeuliza maswali. Mawazo yako si majibu ya maswali yangu, hata kidogo.
Hapana, hakukuwa na maelekezo ya hivyo. Lakini yalikuwa ni maswali dhahiri, yaliyo moja kwa moja. Badala ya kuyatolea majibu umeleta ngonjera na sindimba zako. Sijui Mmakonde wewe...?
I'm Ngabu baby. The baddest madhafakka on the planet:smile-big:. You better aks somebody.
I knew it. You are at your wit's end, that's why.
How about we go together? It'll be hella fun.
Aaaaw.....you mad? :hug:
Unaimba taarabu?
Kuna mtu ulimtaja jina kwenye maswali yako ya kipuuzi? Mwenyewe unajipa moyo ni maswali. Ukijibiwa kitoto unalalamika wakati umeuliza kitoto.
Sasa kama huo upuuzi mara kutaja makabila ya watu, what for???
lbuka hata na point ueleweke. Acha tabia za kiswahili.
sitapenda kukutukana...
Fair hearing includes the right to be represented by an advocate, further, the burden of proof lies on the prosecution, and the proof must be beyond doubt, therefore the duty of defence counsel is to look for those doubts and reveal the same to the court during cross examination, I should also state that the advocate should address the client's interest when it comes to legal technicalties when it comes to admission of evidence, trial within a trial. FINALY IT IS THE DUTY OF THE COURT TO ADMINISTER JUSTICE, THE ADVOCATE SHOULD NOT ASSUME THE MAGISTRATE'S ROLE. HUJUI KWAMBA KWENYE MURDER CASE SERIKALI HUMLIPIA GHARAMA ZA WAKILI MTUHUMIWA?This is a proffesion which has many technicalties and most lay people need assistance
Wee nitukane tu. Nshazoea.
So go ahead and knock yourself out.
l hate you sooo much but siwez kukutukana.
Umefuraaaaa....mipovu hiyo.
Hata Waswahili nao ni watu wee bibi. Wanajamba, wanakunya kama ujambavyo na ukunyavyo wewe.
Haya jibu maswali yangu kama una ubavu? Teh teh teh....
I loooove you so much. Mwaaaah mwaaaaah.
unaelewa tofauti kati ya uswahili na waswahili?
Uko mkoa gani? Dodoma?
Umefuraaaaa....mipovu hiyo.
Hata Waswahili nao ni watu wee bibi. Wanajamba, wanakunya kama ujambavyo na ukunyavyo wewe.
Haya jibu maswali yangu kama una ubavu? Teh teh teh....
We dogo hayo mabox uliyobeba leo yamekutoa akili?
Yeah nipo Dodoma. Kwa nini umeuliza?
Nasikia milembe pia iko huko huko sivo?
Jumapili leo ujue. So hakuna maboksi.