Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Wakuu Mgunduziforeva na nameless girl,

Kama kweli nyie ni wanasheria ambao napaswa kuwahitaji kunitetea, inakuwaje form four mbeba maboksi Nyani Ngabu anawashinda kwa hoja ndogo namna hii? Nitawaaminije kwenye cases zinazohitaji hoja kubwa kama hii ndogo mnashindwa kujibu na mapovu yanawatoka.

Wakati nawaacheni mmalizane na Ngabu mi nina kaswali ka kizushi.... Kwanini nyie lawyers mnapenda kujiita "wasomi"??? Taaluma yenu pekee ndo ina watu walioqualify kuitwa wasomi?

Tahadhari, tofauti na Ngabu aliyeishia kidato cha nne, mi baada ya kidato cha nne nlifanikiwa kusomea ufundi umeme, namiliki cheti cha VETA.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Mgunduziforeva na nameless girl,

Kama kweli nyie ni wanasheria ambao napaswa kuwahitaji kunitetea, inakuwaje form four mbeba maboksi Nyani Ngabu anawashinda kwa hoja ndogo namna hii? Nitawaaminije kwenye cases zinazohitaji hoja kubwa kama hii ndogo mnashindwa kujibu na mapovu yanawatoka.

Wakati nawaacheni mmalizane na Ngabu mi nina kaswali ka kizushi.... Kwanini nyie lawyers mnapenda kujiita "wasomi"??? Taaluma yenu pekee ndo ina watu walioqualify kuitwa wasomi?

Tahadhari, tofauti na Ngabu aliyeishia kidato cha nne, mi baada ya kidato cha nne nlifanikiwa kusomea ufundi umeme, namiliki cheti cha VETA.

Heheheheeee Komredi mchokozi wewe.

Ebana nina kakibanda kangu hapa Mwenge kanahitaji wayaring. Vipi, waweza hiyo kazi?
 
pole sana, kumbe uko na stress, ndo maana uko ivo. Si kosa lako.

Haya, sawa si kosa langu. Yajibu basi yale maswali yangu. Kama umeyasahau haya hapa chini:

Hivi mtu atashindwaje kuitafsiri sheria?

Na mwanasheria yeye ana uwezo gani zaidi ambao watu wengine wasio wanasheria hawana, ambao unamwezesha yeye kuweza kutafsiri sheria?

Na hapa unazungumzia tafsiri. Tafsiri mara nyingi huwa si objective bali huwa subjective. Kwa hiyo, je, inawezekana ukapata wanasheria tofauti na kila mmoja wao akawa na tafsiri yake?

Kama ni hivyo (kila mwanasheria akawa na tafsiri yake), iweje sasa kwa mtu asiye mwanasheria naye akawa na tafsiri yake lakini tafsiri yake hiyo ikaonekana kana kwamba si sahihi (kama kuna usahihi kwenye tafsiri) bali ile ya mwanasheria tu ndiyo sahihi ilhali tafsiri huwa ziko subjective?
 
Heheheheeee Komredi mchokozi wewe.

Ebana nina kakibanda kangu hapa Mwenge kanahitaji wayaring. Vipi, waweza hiyo kazi?

Hahaha kama learned nameless girl anaweza kututengenezea ka "contract" kwa maana ya tafsiri ya wasomi wa sheria.... Why not?

Usisahau ualimu sio proffesion, usije ukataka nikufundishe kufunga socket ya three switches lol
 
Last edited by a moderator:
Hii thread ifungwe tu. Wanasheria wasomi wameshindwa kujibu hoja ndogo za laymen.
 
Haya, sawa si kosa langu. Yajibu basi yale maswali yangu. Kama umeyasahau haya hapa chini:

Hivi mtu atashindwaje kuitafsiri sheria?

Na mwanasheria yeye ana uwezo gani zaidi ambao watu wengine wasio wanasheria hawana, ambao unamwezesha yeye kuweza kutafsiri sheria?

Na hapa unazungumzia tafsiri. Tafsiri mara nyingi huwa si objective bali huwa subjective. Kwa hiyo, je, inawezekana ukapata wanasheria tofauti na kila mmoja wao akawa na tafsiri yake?

Kama ni hivyo (kila mwanasheria akawa na tafsiri yake), iweje sasa kwa mtu asiye mwanasheria naye akawa na tafsiri yake lakini tafsiri yake hiyo ikaonekana kana kwamba si sahihi (kama kuna usahihi kwenye tafsiri) bali ile ya mwanasheria tu ndiyo sahihi ilhali tafsiri huwa ziko subjective?

Nyani Ngabu, labda inabidi tumlete DUI attorney from da hood aje Ku-justify why is it ok for him to bail out and defend my ass for only $12 an hour
 
Hahaha kama learned nameless girl anaweza kututengenezea ka "contract" kwa maana ya tafsiri ya wasomi wa sheria.... Why not?

Usisahau ualimu sio proffesion, usije ukataka nikufundishe kufunga socket ya three switches lol

we babu, aliyekwambia contract inatengenezwa kwa maana tu ya neno contract ni nani?
Ntarudi baadae.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Mgunduziforeva na nameless girl,

Kama kweli nyie ni wanasheria ambao napaswa kuwahitaji kunitetea, inakuwaje form four mbeba maboksi Nyani Ngabu anawashinda kwa hoja ndogo namna hii? Nitawaaminije kwenye cases zinazohitaji hoja kubwa kama hii ndogo mnashindwa kujibu na mapovu yanawatoka.

Wakati nawaacheni mmalizane na Ngabu mi nina kaswali ka kizushi.... Kwanini nyie lawyers mnapenda kujiita "wasomi"??? Taaluma yenu pekee ndo ina watu walioqualify kuitwa wasomi?

Tahadhari, tofauti na Ngabu aliyeishia kidato cha nne, mi baada ya kidato cha nne nlifanikiwa kusomea ufundi umeme, namiliki cheti cha VETA.

l guess uko so intrested na majibu yetu. Usijali, am here now
 
Last edited by a moderator:
i can not argue with a senior lay person in a point of law because the public will not notice the difference between them and he don't know the cab rank rule
 
l guess uko so intrested na majibu yetu. Usijali, am here now

Niko very interested. Mkimaliza kujibu maswali ya Nyani Ngabu, nami nina tu vijiswali twangu tuchache. Ila kwakuwa mie ni slow learner nawaomba mnijibu directly.
 
Last edited by a moderator:
i can not argue with a senior lay person in a point of law because the public will not notice the difference between them and he don't know the cab rank rule

You can't even synthesize your thoughts into proper lingo!
 
i can not argue with a senior lay person in a point of law because the public will not notice the difference between them and he don't know the cab rank rule

Here comes another learned brother. Nashauri utumie kiswahili ili sisi ambao si wasomi tukuelewe. Mathalani hapo ulipoandika "he don't know".... kwa umburula wangu ulonifanya nikaishia VETA na kumzidi kielimu comrade Nyani Ngabu, nlishakariri eti ulipaswa uandike "he doesn't know"

Wasomi mtuhurumie ambao hatujaenda shule. Tumieni lugha ya taifa tuwaelewe.

Ngoja nikazimue zangu mi fundi mchundo.
 
Last edited by a moderator:
Here comes another learned brother. Nashauri utumie kiswahili ili sisi ambao si wasomi tukuelewe. Mathalani hapo ulipoandika "he don't know".... kwa umburula wangu ulonifanya nikaishia VETA na kumzidi kielimu comrade Nyani Ngabu, nlishakariri eti ulipaswa uandike "he doesn't know"

Wasomi mtuhurumie ambao hatujaenda shule. Tumieni lugha ya taifa tuwaelewe.

Ngoja nikazimue zangu mi fundi mchundo.

Shikamoo babu Asprin, nimekumiss ujue!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom