Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Sikubase kwenye mifano ya oral contract kama unavyodhani.
Tukiongelea wananchi, asilimia kubwa sana ya watanzania hawapendi kusoma. Achilia mbali vitabu vya hadithi, hivyo vya sheria wanaviogopa kama ukoma. Unadhani mwananchi huyo atakaa akijisumbua kujua sheria ilhali kuna wanasheria waliosomea hayo?

Ahaaa! Sasa unaanza kuja kwenye hoja yangu ya msingi.

Na kwa nini hivyo vitabu vya sheria watu wanaviogopa? Kuna nini ndani yake kinachotisha?

Unadhani watu wakiweka bidii katika kujisomea hivyo vitabu vya sheria watashindwa kuelewa kwa vile tu wao hawana shahada ya sheria?
 
Hakuna tofauti kubwa kati ya mtu aliyesomea sheria na yule ambaye hakusomea sheria. In fact, the law says that everyone is presumed to know the law and that ignorance of the law is not a defense.

Wote wako sawa sema tuu kuna baadhi ya wanasheria ambao wanapenda ku-complicate mambo ili waonekane tofauti na wengine.

The only difference seems to be that lawyers know where to find the law, japokuwa maendeleleo ya teknologia yamewezesha hata wale ambao hawajasoma sheria kujua sehemu ya kuipata sheria.

Social worker ambaye hajui children law, family law, community care law, ata-struggle kufanya kazi yake ya kulinda watoto ipasavyo.

Kwa nchi za wenzetu, legal firms wanapenda kuajiri zaidi graduates ambao their first degree was not in law: All degrees welcome: why non-law graduates are in demand for solicitors' jobs : TARGETjobs

Unaweza kukuta issue ndogo tuu ya ku-solve kwa kutumia common sense lakini baadhi ya wanasheria wanai-complicate ili ionekane ni ngumu whilst in fact is not. Badala ya kutumia common sense, logical mind, etc, baadhi yao wana-complicate mambo.

Ndiyo maana Prof Shivji alikuwa analalamika kuwa alikuwa akiwapa wanafunzi wa sheria maswali simple, badala ya kujibu hayo maswali walikuwa wanajitengenezea maswali yao halafu wanashindwa kuyajibu.

Kwa mfano, nimemsoma nameless girl hapo juu akijaribu ku-complicate maana ya "contract" kuwa ni zaidi ya makubaliano.

Yea, there must be an offer and acceptance, consideration, intention to create legal relations, etc, lakini kama yeye ni mwanasheria ni lini mara ya mwisho alienda mahakamani kumtetea au kum-defend mteja ambaye kesi yake ilihusiana na issues za offer and acceptance au consideration?
Maswala ya kuingia kwangu mahakamani ama kutokuingia yanahusiana vipi na hii mada?
By the way, what is contract?
 
Kwani huyu ni mwanasheria sasa.
Sijui katokea wapi kwanza....

Hahahaaaa humjui EMT wewe eeeh?

That's like our go to guy for all things legal, if you didn't know.

Unachekesha sana wewe.

But at least you haven't said anything as preposterous as saying teaching is not a profession.
 
Last edited by a moderator:
another thing ni kwamba bongo hatuna utaratibu kwa kuresearch kwenye mambo hata ya binafsi tu, iwe library based research ama yyte ile............ingekuwa tunapedna basi watu wengi sana wangekuwa wanajua tu kwa kawaida utaratibu wa mtu kuish kwa nidhamu ukoje na kwamba achukue hatua gani kudai haki yake basi.

Ndiyo maana yule Prof alisema Watanzania wengi ni wavivu wa kusoma.

Hakuna kitu ambacho ni powerful kama kujua haki zako.

Pia ukishajua haki zako utajua duties zako.

Na ikitokea uki-breach duties zako, you will always try to solve the dispute informally and amicably bila gharama.

Lakini kama hujui haki na majukumu yako, kila kitu utakachofanyiwa utaona kama vile unaonewa tuu.
 
Sikubase kwenye mifano ya oral contract kama unavyodhani.Tukiongelea wananchi, asilimia kubwa sana ya watanzania hawapendi kusoma. Achilia mbali vitabu vya hadithi, hivyo vya sheria wanaviogopa kama ukoma. Unadhani mwananchi huyo atakaa akijisumbua kujua sheria ilhali kuna wanasheria waliosomea hayo?

Sidhani kama wote wanaviogopa vitabu vya sheria kama ukoma. Nadhani tatizo ni lugha.

Vitabu vingi vya sheria vimeandikwa kwa Kiingereza wakati ni wananchi wachache sana wanaongea hiyo lugha.

Nimeshaona wazee huko vijijini wanaamua kesi kwa kutumia customary law ambapo walikuwa wanatoa mpaka precedents under customary law ku-justify maamuzi yao.

Kwa system ya sasa ambapo kesi zinaendeshwa kwa Kiswahili, halafu hukumu inaandikwa kwa Kiingereza hapo mtu ataenda kutafuta mwanasheria kwa sababu tuu hajui lugha iliyotumika kwenye hiyo hukumu. Sometimes, mwanasheria anaishia kuwa translator.

Of course, wapo watu wengi tuu ambao hawasomi whether is law or chemistry books, lakini lugha inayotumika zaidi kwenye fani ya sheria inawafanya baadhi ya watu kutojua haki zao kwa urahisi hasa wale wanaotaka kuzijua hizo haki.
 
Kwani huyu ni mwanasheria sasa.
Sijui katokea wapi kwanza....

Ooh God!! Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. Hili jukwaa la sheria huwa unalipitia??

Btw nini kimekufanya umuone si mwanasheria? Hajaandika kisomi au hajajiita msomi?
 
Hahahaaaa humjui EMT wewe eeeh?

That's like our go to guy for all things legal, if you didn't know.

Unachekesha sana wewe.

But at least you haven't said anything as preposterous as saying teaching is not a profession.

Sasa nimjue ili iweje?
Siko intrested kumjua nimemcomment kama alivyonicomment yeye.
 
Last edited by a moderator:
Ooh God!! Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. Hili jukwaa la sheria huwa unalipitia??

Btw nini kimekufanya umuone si mwanasheria? Hajaandika kisomi au hajajiita msomi?

Anamiliki hili jukwaa ama?
 
Ahaaa! Sasa unaanza kuja kwenye hoja yangu ya msingi.

Na kwa nini hivyo vitabu vya sheria watu wanaviogopa? Kuna nini ndani yake kinachotisha?

Unadhani watu wakiweka bidii katika kujisomea hivyo vitabu vya sheriaa watashindwa kuelewa kwa vile tu wao hawana shahada ya sheria?

Sasa kitabu aogope mwingine swali uniulize mie, kwanini usiwaulize wenyewe?
Si ndo mpaka wakavipitie ivo vitabu.
 
Halafu kuna mtu humu bila hata chembe ya haya akaja kudai eti ualimu siyo profession na kwamba hapa duniani profession ni tatu tu: sheria, udaktari, na uchungaji.

Kama mchungaji anaweza kuwa a "noble person", then kwa nini shehe nae asiwe a "noble person"?

Halafu kwa argument hii ina maana kuwa yule mkuu wa ma-atheists hapa JF atakuwa ha-qualify kabisa kama a "noble person" maana atakuwa hana "high qualities of moral character"!
 
Back
Top Bottom