Vituo vya msaada wa kisheria vilianzishwa ili kumsaidia asiye na uwezo wa kuajili gharama za wakili wa kujitegemea!
Wizara na serikali kwa ujumla!
Tazameni upya vituo vya misaada ya kisheria!
Wanasheria waliopo kwenye vituo hivyo Wanafanya kazi kwa visirani kama wamelazimishwa!
Wako too aggressive sana kwa wateja! Msaada wao wa kisheria umejaa masimango ya kisaikolojia!
Na wanalipwa kama hawataki wangeachaNikisema tafuta pesa nitasimangwa ila hii yote sababu kubwa ni kutokua na kipande.
Kipande hakuna, umoja hakuna, sheria hazifuatwi. Mlala hoi ana tabu sana hii nchi.
Sijui watu tunataka nn! Tukipewa nafasi hatutoi huduma boraWengi wakiona kesi haiwapi milage huwa wanapotezea.
Wako too aggressive hawana good customer careKwani imekuaje?
Ilikuaje yani!Wako too aggressive hawana good customer care
Siyo mteja mmoja! Uchunguzi wa ndani umebainisha wateja wao hawafurahishwi na namna wanavyosikilizwa na kupewa misaada! Wanafanya bora liendeIlikuaje yani!
Msaada kumbe una rushwa?Wanasheria huwa watu wa kula rushwa sana
Basi serikali ifute hivyo vyqma ni unyqma huo!Msaada kumbe una rushwa
Wanajiita misaada wa kisheria lakini hawatoi kwa moyo na kujali watejaBasi serikali ifute hivyo vyqma ni unyqma huo!