Tetesi: Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kumburuza mahakamani Tundu Lissu kwa defamation case ya kumuita na kumtangaza muuaji.

Tetesi: Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kumburuza mahakamani Tundu Lissu kwa defamation case ya kumuita na kumtangaza muuaji.

Uropokaji una gharama zake. Tulishudia miaka siyo mingi jinsi Musiba uropokaji wake ulivyomgharimu TZS 9 billion kwa kumukashifu Bernard Membe.

Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kuushughulikia kisheria uropokaji wa Tundu Lissu dhidi ya Paul Makonda. Hizo pesa za TIGO kama atazipata huko mahakama ya London zitaishia kumlipa Paul Makonda na hazitatosha. Hivyo ndege zetu hatazikamata.

Kweli ndege mtundu hunaswa na tundu bovu. Tundu Lissu kawa ndege mtundu na sasa kanasika sawa sawa kwenye tundu. Au mnasemaje wanajamii ya Jf?
Similarly to, character assassination
 
Bashite a killer... He will never be there...
Hilo utaenda kulithibitisha mahakamani. Sidhani kama una ushahidi wa kuthibitisha hilo beyond reasonable doubt.

Kama mnamtakia mema mzuieni, hilo ni kosa la kiufundi. Maana wenzake wana ushahidi wa kuthibitisha.

Ova
Huo ushahidi wa kuthibitisha beyond reasonable doubt tutauona huko mahakamani. Hata Musiba alisema hivo hivyo akaishia kupigwa TZS 9 billion. Huyu atapigwa TZS 300 billion ambazo chama chake sidhani kama kitakuwa na uwezo wa kumchangia. Stay tuned. Utawala wa sheria ni raha na burudani ya kutosha.
Wanasheria gani hao..sheria zenyewe zinamjua lisu ni nani?
Alafu
Wamkumbushe kesi haifunguliwi bongo ipo kwa mfalme huko England yaani akikutwa na hatia hujue itatolewa hati ya kukamatwa kwake akatumikie kifungo chake nchi zote za jumuia za madola hatokanyaga yaani inshort ukijiusisha nae maana yake na wewe ni kama yeye..unalo.
Tuombee tu awe safi haya mambo msichukulie poa.
Tutaona huko mahakamani kama kweli sheria zinamjua. Lakini kwa akili ya kawaida, mtu kama unajua fulani ni muuaji na una ushahidi wa kutosha si unampeleka kwa vyombo vya sheria na si kwenye majukwaa ya siasa.

For your information nchi yetu haitawaliwi na sheria za uingereza wala za jumuia ya madola. We are a sovereign state sawa na Uingereza au Marekani. Umasikini wetu wa kipato hautuondolei sovereignty yetu. Kwanza tuna natural resources nyingi sana kuwapita hao waingereza. Hivyo it is just a matter of time tutawapita kwa mbali hao Waingereza. Masikini wa leo ndiye tajiri wa kesho na tajiri wa leo ndiye masikini wa kesho. Hii ndiyo formula ya dunia
Naunga mkono, Haiwezekani Lissu amchafue Katibu Mwenezi Mstaafu wa CCM
Kwa mara ya kwanza, leo umenifurahisha sana.
 
Hilo utaenda kulithibitisha mahakamani. Sidhani kama una ushahidi wa kuthibitisha hilo beyond reasonable doubt.


Huo ushahidi wa kuthibitisha beyond reasonable doubt tutauona huko mahakamani. Hata Musiba alisema hivo hivyo akaishia kupigwa TZS 9 billion. Huyu atapigwa TZS 300 billion ambazo chama chake sidhani kama kitakuwa na uwezo wa kumchangia. Stay tuned. Utawala wa sheria ni raha na burudani ya kutosha.

Tutaona huko mahakamani kama kweli sheria zinamjua. Lakini kwa akili ya kawaida, mtu kama unajua fulani ni muuaji na una ushahidi wa kutosha si unampeleka kwa vyombo vya sheria na si kwenye majukwaa ya siasa.

For your information nchi yetu haitawaliwi na sheria za uingereza wala za jumuia ya madola. We are a sovereign state sawa na Uingereza au Marekani. Umasikini wetu wa kipato hautuondolei sovereignty yetu. Kwanza tuna natural resources nyingi sana kuwapita hao waingereza. Hivyo it is just a matter of time tutawapita kwa mbali hao Waingereza. Masikini wa leo ndiye tajiri wa kesho na tajiri wa leo ndiye masikini wa kesho. Hii ndiyo formula ya dunia

Kwa mara ya kwanza, leo umenifurahisha sana.
Let us cross our fingers
 
Hilo utaenda kulithibitisha mahakamani. Sidhani kama una ushahidi wa kuthibitisha hilo beyond reasonable doubt.


Huo ushahidi wa kuthibitisha beyond reasonable doubt tutauona huko mahakamani. Hata Musiba alisema hivo hivyo akaishia kupigwa TZS 9 billion. Huyu atapigwa TZS 300 billion ambazo chama chake sidhani kama kitakuwa na uwezo wa kumchangia. Stay tuned. Utawala wa sheria ni raha na burudani ya kutosha.

Tutaona huko mahakamani kama kweli sheria zinamjua. Lakini kwa akili ya kawaida, mtu kama unajua fulani ni muuaji na una ushahidi wa kutosha si unampeleka kwa vyombo vya sheria na si kwenye majukwaa ya siasa.

For your information nchi yetu haitawaliwi na sheria za uingereza wala za jumuia ya madola. We are a sovereign state sawa na Uingereza au Marekani. Umasikini wetu wa kipato hautuondolei sovereignty yetu. Kwanza tuna natural resources nyingi sana kuwapita hao waingereza. Hivyo it is just a matter of time tutawapita kwa mbali hao Waingereza. Masikini wa leo ndiye tajiri wa kesho na tajiri wa leo ndiye masikini wa kesho. Hii ndiyo formula ya dunia

Kwa mara ya kwanza, leo umenifurahisha sana.
Unaleta ya Musiba hapa? Mtu alitoa habari isiyokidhi hata taaluma ya habari. Usiwe unamtaja taja huyo jamaa kwa mifano ya kwenye mazungumzo ya maana.

Mbona mi nimesema tu kuna ushahidi wa kutosha? Hayo mambo ya sheria. za Uingereza na Marekani umepata wapi?

Ova
 
Mbona mi nimesema tu kuna ushahidi wa kutosha? Hayo mambo ya sheria. za Uingereza na Marekani umepata wapi?
Kwani si ni wewe umeandika hivi:
"Wamkumbushe kesi haifunguliwi bongo ipo kwa mfalme huko England yaani akikutwa na hatia hujue itatolewa hati ya kukamatwa kwake akatumikie kifungo chake nchi zote za jumuia za madola hatokanyaga yaani inshort ukijiusisha nae maana yake na wewe ni kama yeye..unalo.
Tuombee tu awe safi haya mambo msichukulie poa.
 
Kwani si ni wewe umeandika hivi:
"Wamkumbushe kesi haifunguliwi bongo ipo kwa mfalme huko England yaani akikutwa na hatia hujue itatolewa hati ya kukamatwa kwake akatumikie kifungo chake nchi zote za jumuia za madola hatokanyaga yaani inshort ukijiusisha nae maana yake na wewe ni kama yeye..unalo.
Tuombee tu awe safi haya mambo msichukulie poa.
Hayo maneno umenilisha wewe, mimi sihusiki nayo. Nimezungumzia kuwepo kwa ushahidi tu.

Ova
 
Hilo utaenda kulithibitisha mahakamani. Sidhani kama una ushahidi wa kuthibitisha hilo beyond reasonable doubt.


Huo ushahidi wa kuthibitisha beyond reasonable doubt tutauona huko mahakamani. Hata Musiba alisema hivo hivyo akaishia kupigwa TZS 9 billion. Huyu atapigwa TZS 300 billion ambazo chama chake sidhani kama kitakuwa na uwezo wa kumchangia. Stay tuned. Utawala wa sheria ni raha na burudani ya kutosha.

Tutaona huko mahakamani kama kweli sheria zinamjua. Lakini kwa akili ya kawaida, mtu kama unajua fulani ni muuaji na una ushahidi wa kutosha si unampeleka kwa vyombo vya sheria na si kwenye majukwaa ya siasa.

For your information nchi yetu haitawaliwi na sheria za uingereza wala za jumuia ya madola. We are a sovereign state sawa na Uingereza au Marekani. Umasikini wetu wa kipato hautuondolei sovereignty yetu. Kwanza tuna natural resources nyingi sana kuwapita hao waingereza. Hivyo it is just a matter of time tutawapita kwa mbali hao Waingereza. Masikini wa leo ndiye tajiri wa kesho na tajiri wa leo ndiye masikini wa kesho. Hii ndiyo formula ya dunia

Kwa mara ya kwanza, leo umenifurahisha sana.
Umesema nchi yetu haitawaliwi na sheria za Uingereza. Vipi kuhusu mkataba wa DP WORLD unasemaje?
 
Hilo utaenda kulithibitisha mahakamani. Sidhani kama una ushahidi wa kuthibitisha hilo beyond reasonable doubt.


Huo ushahidi wa kuthibitisha beyond reasonable doubt tutauona huko mahakamani. Hata Musiba alisema hivo hivyo akaishia kupigwa TZS 9 billion. Huyu atapigwa TZS 300 billion ambazo chama chake sidhani kama kitakuwa na uwezo wa kumchangia. Stay tuned. Utawala wa sheria ni raha na burudani ya kutosha.

Tutaona huko mahakamani kama kweli sheria zinamjua. Lakini kwa akili ya kawaida, mtu kama unajua fulani ni muuaji na una ushahidi wa kutosha si unampeleka kwa vyombo vya sheria na si kwenye majukwaa ya siasa.

For your information nchi yetu haitawaliwi na sheria za uingereza wala za jumuia ya madola. We are a sovereign state sawa na Uingereza au Marekani. Umasikini wetu wa kipato hautuondolei sovereignty yetu. Kwanza tuna natural resources nyingi sana kuwapita hao waingereza. Hivyo it is just a matter of time tutawapita kwa mbali hao Waingereza. Masikini wa leo ndiye tajiri wa kesho na tajiri wa leo ndiye masikini wa kesho. Hii ndiyo formula ya dunia

Kwa mara ya kwanza, leo umenifurahisha sana.
Nimeandika ili nisitekwe
 
Uropokaji una gharama zake. Tulishudia miaka siyo mingi jinsi Musiba uropokaji wake ulivyomgharimu TZS 9 billion kwa kumukashifu Bernard Membe.

Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kuushughulikia kisheria uropokaji wa Tundu Lissu dhidi ya Paul Makonda. Hizo pesa za TIGO kama atazipata huko mahakama ya London zitaishia kumlipa Paul Makonda na hazitatosha. Hivyo ndege zetu hatazikamata.

Kweli ndege mtundu hunaswa na tundu bovu. Tundu Lissu kawa ndege mtundu na sasa kanasika sawa sawa kwenye tundu. Au mnasemaje wanajamii ya Jf?
Kojoa ulale mende wewe.
Unakula ugoro wa moto, mbege ya moto, pombe kali vitoko, mademu wazee, chakula ukoko, madeni, utakuja kupididiwa, komwe lako!
 
Uropokaji una gharama zake. Tulishudia miaka siyo mingi jinsi Musiba uropokaji wake ulivyomgharimu TZS 9 billion kwa kumukashifu Bernard Membe.

Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kuushughulikia kisheria uropokaji wa Tundu Lissu dhidi ya Paul Makonda. Hizo pesa za TIGO kama atazipata huko mahakama ya London zitaishia kumlipa Paul Makonda na hazitatosha. Hivyo ndege zetu hatazikamata.

Kweli ndege mtundu hunaswa na tundu bovu. Tundu Lissu kawa ndege mtundu na sasa kanasika sawa sawa kwenye tundu. Au mnasemaje wanajamii ya Jf?
Safi sana. Hiyo kesi ifanyike mfululizo kwenye mahakama ya wazi kwa maslahi ya Taifa!
Ni muda muafaka kuwafahamu wasiojulikana wanaoogopwa hadi na police 🚨 🚨
 
Uropokaji una gharama zak
Duh.
Ina maana wewe hapa umekwisha sikiliza kesi na kutoa hukumu tayari.
Halafu unajipachika jina kipuuzi kweli kweli, 'Dr Akili' huku ukiwa 'Dr Kilaza'!

Huyo Makonda atatoa wapi ujasiri wa kwenda kujitangaza uovu wake na wote alio shirikiana nao?
Awe mwangalifu wasije wakamuwahi yeye kabla hawajawahusisha waliojificha nyuma yake.
 
For your information nchi yetu haitawaliwi na sheria za uingereza wala za jumuia ya madola. We are a sovereign state sawa na Uingereza au Marekani. Umasikini wetu wa kipato hautuondolei sovereignty yetu. Kwanza tuna natural resources nyingi sana kuwapita hao waingereza. Hivyo it is just a matter of time tutawapita kwa mbali hao Waingereza. Masikini wa leo ndiye tajiri wa kesho na tajiri wa leo ndiye masikini wa kesho. Hii ndiyo formula ya dunia
Utajiri wa mali asili inaosemwa kuwa nao Tanzania hauwezi kamwe kuwa na manufaa yoyote kwa nchi wakati wananchi wake wana "umaskini" wa akili kama unaoonyeshwa na mfano huu hapa.

Tanzania itabaki kuwa nchi maskini milele wakati watu wa aina hii ndio wanapewa nafasi za uongozi. Na hawa ndio waliojaa ndani ya CCM wakati huu.
 
Uropokaji una gharama zake. Tulishudia miaka siyo mingi jinsi Musiba uropokaji wake ulivyomgharimu TZS 9 billion kwa kumukashifu Bernard Membe.

Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kuushughulikia kisheria uropokaji wa Tundu Lissu dhidi ya Paul Makonda. Hizo pesa za TIGO kama atazipata huko mahakama ya London zitaishia kumlipa Paul Makonda na hazitatosha. Hivyo ndege zetu hatazikamata.

Kweli ndege mtundu hunaswa na tundu bovu. Tundu Lissu kawa ndege mtundu na sasa kanasika sawa sawa kwenye tundu. Au mnasemaje wanajamii ya Jf?
Sasa huko London kwenye case ikilazimika kutaja waliokuwa behind itakuwaje
 
Back
Top Bottom