Tetesi: Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kumburuza mahakamani Tundu Lissu kwa defamation case ya kumuita na kumtangaza muuaji.

bashite hana uwezo wala wanasheria wake, wa kumshinda Tundu Lisu.
 
bashite hana uwezo wala wanasheria wake, wa kumshinda Tundu Lisu.
Kwenye hii kesi tutawafahamu wanaojulikana ambao walikuwa hawatakiwi kujulikana wakaendelea kuishi kama wasiojulikana, (wana dundazi wenginezi wamechomokazi), wametanguliazi kulezi ambakoz kila mtuzi akichomokazi hapa dunia ata kwendazi
 
twende mahakamani ukisikia sasa mtu ka jaa kwenye mfumo ndo hapo ni mwendo wa kujipigia tu mpaka achakae
 
Mmmmmh kama ni ndugu Yako au ni ww uskubali utaumbuka !!!
 
Unataka ajipalie makaa mwenyewe yamkute ya yule masaai...

 
Yaani uropokaji uwe na gharama Uuaji usiwe na gharama?
 
Hawezi,the guilty are afraid jombaa
 
Nna hakika Makonda sio mjinga ivyo na hatakaa aende Lissu anajua sana anachokifanya , na hawez ropoka huyo sio Musiba anaye arishaga maneno kutoka mdomoni kwake
 
Tuwapite kwa uchawa labda,kwa staili hii ya kumwona rais ni mmungu mtu!?,thubutuu!.
 
Inasemekana hadi ratiba ya mazishi walishaiandaa jamaa kwenda kuzikwa Singida eti ? 😭😭

Risasi zote zile kama kuua tembo jamani πŸ™†β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­
 
Ni kwa bahati mbaya mtu anapoamua kufanya uovu huwa akili ya kupima kwa mbele matokeo yatakavyoweza kuwa na gharama zake huwa hawakumbuki.

Maana kwanza Duniani hamnaga siri.
Pia Kumbuka kwenye mchakato mzima wale unaoshirikiana nao sio wote mko na nia moja , wengine hawapendezwi na uamuzi wa jambo hilo.
Kwa hiyo Mungu lazima awatahayarishe na kuwashughulikia.
Ni swala la muda utakapowadia.
Jinai haifi.
 
Je hao wanasheria wa Makonda ni lini wataufungulia ubalozi wa Marekani kesi?
Mkuu ni hivi. Makonda ni suala la muda tu. Atakuja kulipia ubaya wake wote aliofanya na anaoufanya sasa hivi. Mark my words! Unajua huu jamaa ni zero brain na anatumika na wajanja ili kufikia malengo yao bila bila kutambua kuwa kuna kesho. Achana na Lissu au wapinzani, huko huko CCM ndiko wabaya wapo. Wako kimya kwa sababu tu kwa sasa analindwa na Samia. Lakini ukweli ni kwamba Samia hatakuwa rais milele na siku akitoka tu basi Makonda atakuwa kwenye hali mbaya mno.
 
Sijui ndio maana Mungu akaamua kupiga pale juu kwanza?
Imagine hata gharama za matibabu alinyimwa eti?
Je hiyo ilikuwa ni delaying technique ili yamkini jamaa afe kwa kukosa matibabu au kwa kucheleweshewa matibabu ili lengo litimie?
 
Mbona mmeanza kuaogopa kwa kusikia tetesi tu kuwa anamfungulia kesi Lissu? By the way, si ndio mngefurahi ili na Sie wengine tujue mbivu na mbichi?
 
Upo uwezekano majasusi wa ndani wakamzuwia wakijuwa Lisu ana secret information kutoka mashirika yakijasusi ikumbukwe Lissu alipelekwa belijium ambapo ni heaven of agency πŸ˜‘
 
-Kesi za madai hazithibitishwi beyond all reasonable doubt, ni kwa Balance of probability
-Kuhusu nchi yetu kutawaliwa/ kutawaliwa na Sheria za uingereza, iko hivi sisi tumekopi baadhi ya misingi ya Kisheria kutoka uingereza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…