Tetesi: Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kumburuza mahakamani Tundu Lissu kwa defamation case ya kumuita na kumtangaza muuaji.

itapendeza sana akienda huko Mahakamani ILA ni vizuri ANGEJIUZULU ili kuruhusu Mh Rais kuteua RC mwingine asiye na TUHUMA...akisafishika huko Mahakamani,Mh Rais atajua wapi amteue
 
Hao wanasheria wasisahahu na kuwaunganisha na yale majeshi ya kusambaza propaganda za Uongo, walio hapa JF.


....Kama hii tetesi ina mashiko.
 
Makonda, Makonda, Makonda nimekuita mara kadha..........kimbia haraka sana na wanasheria wako kamfungulie Lissu kesi maana umechelewaβœˆβœˆβœˆπŸ›«πŸ›«πŸ›«paa chap.
 
Hapo ndio ata jichafua kuliko maelezo. Yaani kuku kategwa na mahindi kaingia bandani mwenyewe. Siri zote zita kuwa wazi kirahisi zaidi.
Makonda ni nani asie jua matendo yake akiwa Rc Dar?
Kwanza asubiri ripoti ya tivo lazima jina lake lipo.
 
Toka usingizin usje ukajikojolea na ndoto zako,, Nan ampite marekani na uingereza? Kwa majizi ya mali za umma ya hapa tz,Lin tutawapita ,,bashite anaenda the Hague naona mnahaha
 

Acheni kumuingiza chaka Bashite.

Hii siyo mara ya kwanza Lissu kumtaja Bashite kama mhusika. Kama alikuwa na hizo guts angeshakwenda mahakamani siku nyingi. Tena that time haukuwa na ushahidi mkubwa kama sasa.

Yaani Bashite hata kutoa press conference kukanusha hataweza kufanya.
 
Vipi ikiwa Lissu kadanganywa?,je kulala hiyo hotel kunauhusiano gani na shambulizi lake?,tumieni elimu yenu ndogo kutafakari Sheria badala kudhaniadhania hovyo
Ww ndo uandike Kwa taadhari ,hii ngoma nzito dogo nna dogo nna hakika hawez kukubali kufungua hii kesi hata iweje ,,, waza out of box
 
Kwa akili zako fupi unaona kuna mtu anasingiziwa hapo?Acha ukarunguyeye.
 
Jamaa n mropokaji lakn mkuu hyo kes makonda atakimbia na wao wanasheria wake aiseee watasumbuana ukute wanasheria n hawa wamaromboso
 
Subutu! Muhalifu anapata wapi hiyo nguvu ya kwenda mahakamani?
 
we ni nyumbu
 
Vipi ikiwa Lissu kadanganywa?,je kulala hiyo hotel kunauhusiano gani na shambulizi lake?,tumieni elimu yenu ndogo kutafakari Sheria badala kudhaniadhania hovyo
tumia ya kwako we nyumbu.
lisu hakuanza kumtaja leo makonda.
mbona hata alipoulizwa na wandishi kuhusu kutuhumiwa alijibu ujinga ETI KAMUULIZE MAMA YAKO.
WE NA YEYE IKO SIKU MTAJIBU IWE DUNIANI IWE MBINGUNI
 
TAL mjanja sana, anamtoa PCM kwenye uga wa kisiasa anamleta kwenye uga wa kisheria...!
 
nakupa ofa mbili kwenye jambo moja,bashite aka kilaza akimfungulia kesi lissu juu ya hilo nakupa laki1,na hiyo kesi ikitoka bashite kilaza kashinda kesi dhidi ya lissu ktk hiyo kesi nakuongeza laki2 kwenye hiyo laki1 zinakuwa laki 3+1=laki 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…