Tetesi: Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga kumburuza mahakamani Tundu Lissu kwa defamation case ya kumuita na kumtangaza muuaji.

Je hao wanasheria wa Makonda ni lini wataufungulia ubalozi wa Marekani kesi?
huyo bashite ni muuwaji alitengeneza kikosi kazi cha kuteka hadi kuua walioenda tofauti za kifikra na magu, alizani magu angeishi milele.......tutaona
 
Kwanza tuna natural resources nyingi sana kuwapita hao waingereza. Hivyo it is just a matter of time tutawapita kwa mbali hao Waingereza. Masikini wa leo ndiye tajiri wa kesho na tajiri wa leo ndiye masikini wa kesho.
Kwa maneno haya unaonekana ulivyomtupu kichwani

Nikwambie tu hakuna ujualo
 
Vizuri sana hii itasafisha jina lako kwa vile ushahidi anao Amsterdam au Rotterdam basi autoe mahakamano sio kwenye anga za mitandao
 
Dua la kuku hilo!
 
Waendetu wakamshitaki ila wajue lisu haropokagi tu.hiyo kesi ndo itazidi kutufumbua macho vizuri maana itabidi lisu athibitishie mahakama na uma
 
Vipi ikiwa Lissu kadanganywa?,je kulala hiyo hotel kunauhusiano gani na shambulizi lake?,tumieni elimu yenu ndogo kutafakari Sheria badala kudhaniadhania hovyo
Peleka 'hayo maswali' mahakamami and you'll get the answers.
 
Lazima Lisu ashitakiwe. Huwezi kumchafua mtu hivi hivi halafu ukaachwa bila kupelekwa mahakani
 
Wanasheria wanataka kula hela zake wanamshauri aende Mahakamani ila akikumbuka mziki wa Kibatala,Kambole na Lissu wanarudi nyuma..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…