Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe

Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe

Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaddest , next time ukijibu hoja kwa bandiko jipya, weka na link ya bandiko la mtoa hoja.

Ni kwenye kabisa, hata sisi Wakatoliki siku zote tunasisitizwa kusamehe, Mungu wetu ni Mungu Mwema, Mwenye upendo, mwenye huruma na kusamehe dhambi na makosa yote, ila dhambi ya umwagwaji damu ya watu wasio na hatia, hainaga msamaha, ni lazima ifidiwe kwa damu!. Kuna majitu majinga yamemzunguka, yanamwaga damu zisizo na hatia, na kumdanganya kuwa walitaka kufanya uhaini ndio tumewafanya vile!. Akiukubali uongo huo, hizo damu zinakuja kuwa juu yake na mwisho wa siku anayekuja kuhukumiwa, sio wale wamwaga damu, bali yeye aliyeruhusu damu hizo kumwagika!.
sisi watu wa ushauri wa bure tuneshauri

Hili nimelisemea vizuri kabisa, kuna watu kuua kwao ni duty ya kutimiza wajibu wao, hivyo wanaua na kumwaga damu za wenye hatia kwa kutekeleza wajibu wao, ila pia zipo damu za wasio na hatia, zinamwagwa kwa makosa bila hatia, damu hizi zisizo hatia zinazomwagika, sio juu yao hao wamwagaji bali ni juu ya mamlaka yao ya aliyewatuma!. Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

sijasema anayeua ni Mkuu wa Nchi, kumaanisha ni yeye na pull the trigger nimesema damu za wasio na hatia zinazomwagika, ni upon mamlaka ya juu yenye wajibu wa kuzuia but it does nothing!.

No one knows for sure kwanini yule Blaza aliitwa mapema vile!, ila sisi waumini wa karma tunajua ni karma!, hivyo tunapoona vitendo viovu vya kumsabishia a bad karma tuna wajibu wa kumsaidia. Tumeisha shauri sana

Sio Pilato aliyemuua Yesu Kristo, ameuliwa na wauaji waliokuwa wanatimiza tuu wajibu wao, hivyo wauaji wale hawana hatia ya kifo cha Yesu, ila ni Pilato ndie aliyemhukumu kifo cha msalabani, japo Pilato alinawa kuondoa hatia ya hukumu hiyo, kunawa kule ni kujikosha tuu lakini hatia ya kifo cha Bwana wetu Yesu Kristo ii juu ya Ponsio Pilato, ila justification yake ni tumemuua sisi kwa dhambi zetu na ni kwa kupigwa kwake sisi tumeponywa.
P
Nitarejea
 
Wakati "PII" ama "PASCO" mi namwita "MWANANZALA" anadadavua kuhusu VICARIOUS LIABILITY ni wakati muafaka na sahihi achimbe kidogo kuhusu "FALSE FLAG"

FALSE FLAG
FALSE FLAG
FALSE FLAG

Nikumbuke visa vichache nilipokuwa mdogo..... ambavyo visa vyote muhusika mkuu ni mdogo wangu....!

1. KISA CHA KWANZA
Bwana mdogo siku ya sherehe alikunywa soda tatu...... (miaka ya kati ya 80) DOUBLE COLA, MIRINDA na AKARUDIA DOUBLE COLA....! tukiwa tumelala usiku akakojoa, akanisogeza pale alipokojoa ..... alipohamia akakojoa tena..... akahamia miguuni, nako akakojoa tena......! akabadilisha shuka la kujifunika..... lake lenye mikojo akanifunika akachukua lililo safi langu.....
Hakika asubuhi NILIKIONA CHA MTEMA KUNI.....! Wakati huo mimi nilikuwa nimeshaacha kukojoa kitandani.....! niliumia sana , sikuwa na namna nyepesi ya kujitetea bali kuadhibiwa na kuimbiwa "KINDUMBWENDUMBWE"
NILIUMIA SANA.......

2. KISA CHA PILI
Kama kawaida nyakati hizo kulikuwa na kabati la vyombo ambapo kunakuwa na VYOMBO VYA WAGENI......
Bwana mdogo siku hiyo akaona anywe maji kwa kutumia glasi ya wageni...... akasogeza stuli kwenye kabati, akachukua glasi .... akanywa maji .... wakati anairejesha glasi lkabatini ikamponyoka na kuvunjika......
jioni wakati mama anarudi kutoka kazini .... dogo alikuwa wa kwanza kumpokea mama na kusema KAKA AMEVUNJA GLASS YA WAGENI....... "UUUUWIIIIIIIIIIII" sitaki kukumbuka kichapo nilichopokea....!

MATOKEO:
kwenye kisa cha kwanza K cha kukojoa kitandani, baada ya siku kadhaa ikaanza kusikika harufu ya uvundo wa mikojo chumbani, usafi wa kina ulipofanyika ilipatikana BUKTA ya bwana mdogo yenye mikojo chapa chapa, ndipo ilidhihirika KOJO lile alilimwaga nani........
wakubwa huwa hawaombi msamaha...... Basi akaagizwa mjomba ikifika jumamosi anipeleke SENEMA , tukaangalia kwenye gazeti kutakuwa na senema gani, NEW CHOX, AVALON, ODEON, EMPIRE, EMPRESS ........ nikachagua EMPIRE na EMPRESS , ambapo kulikuwa na senema ya SEVEN STEPS OF KUNGFU (kama bado nakumbuka) na nyingine niyoweza kuikumbuka kwa sasa ( nikanunuliwa na BAZOKA) nilifurahi sana kwa zawadi zile
Kwenye kisa cha pili : napo ilikuja kudhihirika baada ya jioni mama kumwangalia dogo vizuri, kumbe ile glass ilipovunjika, wakati anaokota vipande vya chupa vilimkata kidogo.......
mama aliishia kusema MTAKUJA KUNIUMIZIA MWANANGU KWA MAKOSA WANAYOFANYA WENGINE


Tukirejea kwenye VICARIOUS LIABILITY....... BASI TUSIACHE KUTAZAMA "FALSE FLAG"
 
Ni kweli kabisa sisi Wakatoliki tuna tubu kabisa dhambi ya kutotumiza wajibu.

Nimekosea mimi, nimekosa mimi nimekosa sana.
 
Sijui SSH kapatwa na nini. Mambo yanayofanyika wakati huu hayaingii akilini kabisa.

Hii miaka minne aliyopewa na Mungu kuliongoza taifa hili angeweza kuacha legacy ya uhuru kamili! Vizazi na vizazi vingemshukuru na kumkumbuka daima.

Lakini yeye ameamua kuitumia kusaka mitano tena kwa njia yoyote ile. What a waste!
Huko kuacha legacy ya kukumbukwa vizazi na vizazi je, wenzake watakubali?
 
Wanabodi
Nimejitolea kuwa mwalimu wa kujitolea wa somo la katiba, sheria na haki, ili kuwaelimisha Watanzania kuhusu haki zao na wajibu wao.

Kujitolea kuwa mwalimu somo la katiba, na sheria, nimehamasishwa na yeye mwenyewe Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au? hebu msikilize mwenyewe akizungumza
View: https://youtu.be/PZ_8JFw_5LM?si=LqdibxLmRJXzlhQY ni kufuatia hoja hii, ndipo mimi nikajitolea Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=LdYf8WVJTIKw8KCu

Somo la leo ni somo la kitu kinachoitwa vicarious liability. Haya ni mahusiano ya uwajibikaji wa kisheria yanayoitwa fiduciary relationship, yaani uhusiano wa uwajibikaji Kama mke na mume, mzazi na mtoto, daktari na mgonjwa, mwalimu na mwanafunzi, wakili na mteja wake.

Hii fiduciary relationship inampa uwajibikaji wa kisheria wahusika hao, ikiwemo mzazi kuhukumiwa kwa makosa ya mtoto wake wa umri wa chini ya miaka 14.

Kinga hii pia inahusu kutotoa ushahidi dhidi ya mtu huyo, mfano mke akijua mumewe ni jambazi, na ni muuaji, anaweza kusema kuwa anajua mumewe ni jambazi na muuaji ila ana kinga ya fiduciary kutowajibika kutoa ushahidi dhidi ya mumewe. Vivyo hivyo kwa sisi mawakili, unaweza ukawa ni wakili wa muuaji, akakiri ameua kwa 1st degree murder, wewe japo ukweli unaujua, utamshauri akanushe na utamtetea hadi hiyo murder case inageuka manslaughter.

Sasa kuna mauaji mengi yanayotokea na kuwahusisha watu wasiojulikana, kiukweli sio wasiojulikana wote ni wasiojulikana kweli, kuna baadhi ya mauaji yanafanywa na watu "wasiojulikana" kumbe kiukweli watu hao sio "wasiojulikana" bali ni 'wasiojulikana'.

Ili kuwatambua "wasiojulikana" na 'wasiojulikana' tembelea Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Hivyo vitendo vyovyote vinavyofanywa na 'wasiojulikana' kwa kujifanya ni "wasiojulikana", then anayewatuma ana wajibika nao vicariously.

Hoja hii ni kufuatia hoja hii humu jf Naunga mkono hoja, mtu mwenye wajihi kama huu, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” hawezi hata kuua panya!, kama ni kuua labda mbu, mende na sisimizi.

Ila kwa vile yuko serikalini na yeye ndie mkuu wa serikali, na anajua kuna mazingira fulani, serikali zote duniani huwa zina waua watu hatarishi kwa usalama wa nchi, dissidents, na kabla hawa dissidents hawajauliwa lazima CinC asaini ile death warrant, then death warrant yoyote ikisainiwa, aliyeua ni aliyesaini death warrant na sio wale watekelezaji.

Ikitokea makosa ya watu wake kumuua kwa makosa mtu safi kwa kudhaniwa ni dissident, then the blood of that person is upon aliyetoa hiyo order kwa niaba yake.

Na kunapotokea vifo ambavyo vingezuilika kwa kufanya kitu lakini hakikufanyika, then damu iliyomwagika is upon yule ambaye angezuia lakini hakuzuia.

Hivyo tumeshauri Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Hata yale matukio ya utekaji, utesaji na mauaji enzi za kipindi kilee... watu humu tulishauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! hao majamaa wali mute kimya, wakijua hawawezi kufanywa lolote, lakini mwisho wa siku aliyewajibishwa na top boss wao!.

Hivyo ni muhimu sana kwa viongozi wetu kuijua hii vicarious liability kwa vifo vyovyote vya kizembe vinavyotokea chini ya mamlaka yao hata kama hawatashitakiwa popote, lakini hukumu ya haki hapa duniani ya karma ii juu yao!. The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako! tena tumewashauri watu waache kupiga ramli chonganishi Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Kanuni yenyewe ya vicarious liability ni hii
"Vicarious liability exists due to the legal doctrine of respondeat superior, which essentially means “let the master answer.” Employers, parents or others with a superior legal relationship to someone who does harm are expected to answer for those who are under their control.

Vicarious liability rules also exist in order to provide protection to victims of injury. Often, an individual employee or a child will not have the resources to provide compensation to those they harm through their negligence or wrongful actions. But companies and parents generally do.

Through the doctrine of vicarious liability, those who have resources (including the ability to buy insurance) and who were in a position to prevent harm but who failed to do so can be held accountable so victims do not go uncompensated"

Tanzania tuna bahati nzuri sana hatuna wanasheria aggressive wa kutetea watu, vinginevyo tungetumia private investigations kuwabaini hawa 'wasiojulikana' na kuwatundika msalabani, hii ingewafanya viongozi wetu kuwa more responsible for the life of its citizens.

Paskali

Vicarious liability,hii ni shule muhimu,Mungu awafungue macho Viongozi wetu watambue Kuna karma
 
Sawa

Mkapa: Najutia madhara yaliyowakuta Wanachama wa CUF wengine wakakimbilia Shimoni Mombasa

Magufuli: Sijawahi kusaini Hati ya Hukumu ya Kifo hata Moja, Uhai tumepewa na Mungu

Mh Rais Samia: Sijawahi kuua labda sisimizi

Prof Kindiki: Mimi natimiza majukumu yaliyomo kwenye Katiba kama Polisi wameuwa kila Mtu atabeba Msalaba wake mwenyewe

Kiroho haya mambo ni mapana sana
wanatumwa na nani kwenda kuua watu?
 
Wanabodi
Nimejitolea kuwa mwalimu wa kujitolea wa somo la katiba, sheria na haki, ili kuwaelimisha Watanzania kuhusu haki zao na wajibu wao.

Kujitolea kuwa mwalimu somo la katiba, na sheria, nimehamasishwa na yeye mwenyewe Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au? hebu msikilize mwenyewe akizungumza
View: https://youtu.be/PZ_8JFw_5LM?si=LqdibxLmRJXzlhQY ni kufuatia hoja hii, ndipo mimi nikajitolea Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=LdYf8WVJTIKw8KCu

Somo la leo ni somo la kitu kinachoitwa vicarious liability. Haya ni mahusiano ya uwajibikaji wa kisheria yanayoitwa fiduciary relationship, yaani uhusiano wa uwajibikaji Kama mke na mume, mzazi na mtoto, daktari na mgonjwa, mwalimu na mwanafunzi, wakili na mteja wake.

Hii fiduciary relationship inampa uwajibikaji wa kisheria wahusika hao, ikiwemo mzazi kuhukumiwa kwa makosa ya mtoto wake wa umri wa chini ya miaka 14.

Kinga hii pia inahusu kutotoa ushahidi dhidi ya mtu huyo, mfano mke akijua mumewe ni jambazi, na ni muuaji, anaweza kusema kuwa anajua mumewe ni jambazi na muuaji ila ana kinga ya fiduciary kutowajibika kutoa ushahidi dhidi ya mumewe. Vivyo hivyo kwa sisi mawakili, unaweza ukawa ni wakili wa muuaji, akakiri ameua kwa 1st degree murder, wewe japo ukweli unaujua, utamshauri akanushe na utamtetea hadi hiyo murder case inageuka manslaughter.

Sasa kuna mauaji mengi yanayotokea na kuwahusisha watu wasiojulikana, kiukweli sio wasiojulikana wote ni wasiojulikana kweli, kuna baadhi ya mauaji yanafanywa na watu "wasiojulikana" kumbe kiukweli watu hao sio "wasiojulikana" bali ni 'wasiojulikana'.

Ili kuwatambua "wasiojulikana" na 'wasiojulikana' tembelea Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Hivyo vitendo vyovyote vinavyofanywa na 'wasiojulikana' kwa kujifanya ni "wasiojulikana", then anayewatuma ana wajibika nao vicariously.

Hoja hii ni kufuatia hoja hii humu jf Naunga mkono hoja, mtu mwenye wajihi kama huu, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” hawezi hata kuua panya!, kama ni kuua labda mbu, mende na sisimizi.

Ila kwa vile yuko serikalini na yeye ndie mkuu wa serikali, na anajua kuna mazingira fulani, serikali zote duniani huwa zina waua watu hatarishi kwa usalama wa nchi, dissidents, na kabla hawa dissidents hawajauliwa lazima CinC asaini ile death warrant, then death warrant yoyote ikisainiwa, aliyeua ni aliyesaini death warrant na sio wale watekelezaji.

Ikitokea makosa ya watu wake kumuua kwa makosa mtu safi kwa kudhaniwa ni dissident, then the blood of that person is upon aliyetoa hiyo order kwa niaba yake.

Na kunapotokea vifo ambavyo vingezuilika kwa kufanya kitu lakini hakikufanyika, then damu iliyomwagika is upon yule ambaye angezuia lakini hakuzuia.

Hivyo tumeshauri Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Hata yale matukio ya utekaji, utesaji na mauaji enzi za kipindi kilee... watu humu tulishauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! hao majamaa wali mute kimya, wakijua hawawezi kufanywa lolote, lakini mwisho wa siku aliyewajibishwa na top boss wao!.

Hivyo ni muhimu sana kwa viongozi wetu kuijua hii vicarious liability kwa vifo vyovyote vya kizembe vinavyotokea chini ya mamlaka yao hata kama hawatashitakiwa popote, lakini hukumu ya haki hapa duniani ya karma ii juu yao!. The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako! tena tumewashauri watu waache kupiga ramli chonganishi Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Kanuni yenyewe ya vicarious liability ni hii
"Vicarious liability exists due to the legal doctrine of respondeat superior, which essentially means “let the master answer.” Employers, parents or others with a superior legal relationship to someone who does harm are expected to answer for those who are under their control.

Vicarious liability rules also exist in order to provide protection to victims of injury. Often, an individual employee or a child will not have the resources to provide compensation to those they harm through their negligence or wrongful actions. But companies and parents generally do.

Through the doctrine of vicarious liability, those who have resources (including the ability to buy insurance) and who were in a position to prevent harm but who failed to do so can be held accountable so victims do not go uncompensated"

Tanzania tuna bahati nzuri sana hatuna wanasheria aggressive wa kutetea watu, vinginevyo tungetumia private investigations kuwabaini hawa 'wasiojulikana' na kuwatundika msalabani, hii ingewafanya viongozi wetu kuwa more responsible for the life of its citizens.

Paskali

Kaz Kweli Kweli, Mwingine tena!
 
Wanabodi
Nimejitolea kuwa mwalimu wa kujitolea wa somo la katiba, sheria na haki, ili kuwaelimisha Watanzania kuhusu haki zao na wajibu wao.

Kujitolea kuwa mwalimu somo la katiba, na sheria, nimehamasishwa na yeye mwenyewe Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au? hebu msikilize mwenyewe akizungumza
View: https://youtu.be/PZ_8JFw_5LM?si=LqdibxLmRJXzlhQY ni kufuatia hoja hii, ndipo mimi nikajitolea Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=LdYf8WVJTIKw8KCu

Somo la leo ni somo la kitu kinachoitwa vicarious liability. Haya ni mahusiano ya uwajibikaji wa kisheria yanayoitwa fiduciary relationship, yaani uhusiano wa uwajibikaji Kama mke na mume, mzazi na mtoto, daktari na mgonjwa, mwalimu na mwanafunzi, wakili na mteja wake.

Hii fiduciary relationship inampa uwajibikaji wa kisheria wahusika hao, ikiwemo mzazi kuhukumiwa kwa makosa ya mtoto wake wa umri wa chini ya miaka 14.

Kinga hii pia inahusu kutotoa ushahidi dhidi ya mtu huyo, mfano mke akijua mumewe ni jambazi, na ni muuaji, anaweza kusema kuwa anajua mumewe ni jambazi na muuaji ila ana kinga ya fiduciary kutowajibika kutoa ushahidi dhidi ya mumewe. Vivyo hivyo kwa sisi mawakili, unaweza ukawa ni wakili wa muuaji, akakiri ameua kwa 1st degree murder, wewe japo ukweli unaujua, utamshauri akanushe na utamtetea hadi hiyo murder case inageuka manslaughter.

Sasa kuna mauaji mengi yanayotokea na kuwahusisha watu wasiojulikana, kiukweli sio wasiojulikana wote ni wasiojulikana kweli, kuna baadhi ya mauaji yanafanywa na watu "wasiojulikana" kumbe kiukweli watu hao sio "wasiojulikana" bali ni 'wasiojulikana'.

Ili kuwatambua "wasiojulikana" na 'wasiojulikana' tembelea Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Hivyo vitendo vyovyote vinavyofanywa na 'wasiojulikana' kwa kujifanya ni "wasiojulikana", then anayewatuma ana wajibika nao vicariously.

Hoja hii ni kufuatia hoja hii humu jf Naunga mkono hoja, mtu mwenye wajihi kama huu, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” hawezi hata kuua panya!, kama ni kuua labda mbu, mende na sisimizi.

Ila kwa vile yuko serikalini na yeye ndie mkuu wa serikali, na anajua kuna mazingira fulani, serikali zote duniani huwa zina waua watu hatarishi kwa usalama wa nchi, dissidents, na kabla hawa dissidents hawajauliwa lazima CinC asaini ile death warrant, then death warrant yoyote ikisainiwa, aliyeua ni aliyesaini death warrant na sio wale watekelezaji.

Ikitokea makosa ya watu wake kumuua kwa makosa mtu safi kwa kudhaniwa ni dissident, then the blood of that person is upon aliyetoa hiyo order kwa niaba yake.

Na kunapotokea vifo ambavyo vingezuilika kwa kufanya kitu lakini hakikufanyika, then damu iliyomwagika is upon yule ambaye angezuia lakini hakuzuia.

Hivyo tumeshauri Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Hata yale matukio ya utekaji, utesaji na mauaji enzi za kipindi kilee... watu humu tulishauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! hao majamaa wali mute kimya, wakijua hawawezi kufanywa lolote, lakini mwisho wa siku aliyewajibishwa na top boss wao!.

Hivyo ni muhimu sana kwa viongozi wetu kuijua hii vicarious liability kwa vifo vyovyote vya kizembe vinavyotokea chini ya mamlaka yao hata kama hawatashitakiwa popote, lakini hukumu ya haki hapa duniani ya karma ii juu yao!. The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako! tena tumewashauri watu waache kupiga ramli chonganishi Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Kanuni yenyewe ya vicarious liability ni hii
"Vicarious liability exists due to the legal doctrine of respondeat superior, which essentially means “let the master answer.” Employers, parents or others with a superior legal relationship to someone who does harm are expected to answer for those who are under their control.

Vicarious liability rules also exist in order to provide protection to victims of injury. Often, an individual employee or a child will not have the resources to provide compensation to those they harm through their negligence or wrongful actions. But companies and parents generally do.

Through the doctrine of vicarious liability, those who have resources (including the ability to buy insurance) and who were in a position to prevent harm but who failed to do so can be held accountable so victims do not go uncompensated"

Tanzania tuna bahati nzuri sana hatuna wanasheria aggressive wa kutetea watu, vinginevyo tungetumia private investigations kuwabaini hawa 'wasiojulikana' na kuwatundika msalabani, hii ingewafanya viongozi wetu kuwa more responsible for the life of its citizens.

Paskali

Mfani Iddi Amini wa Uganda alikuwa anauwa waganda mwenyewe au watu wake? Ukishindwa kuwapata wanaua na kiteka na wewe ndiyo umeaminiwa na wananchi kuwalinda sasa unafanya nini hapo kwenye nafasi hiyo? Mbona hii ni elimu ndogo sana ina maana Viongozi wetu hawajui juu ya huo uwajibikaji?
 
Msikilize Buddha anasema nini:
A monk commands a monk saying,"Tell so- and-so,let so-and-so tell so-and-so,let so-and-so deprive so-and-so of life," there is an offence of wrong-doing. The murderer accepts,there is an offence of wrong-doing. He deprives him of life, THERE IS NO OFFENCE FOR THE INSTIGATOR,there is an offence of wrong-doing for one who gives the order and for the murderer.

Lakini hapo awali Buddha ameweka mazingara kama haya lakini akasema instigator ana hatia.

I can only imagine kwamba instigator hana hatia akifanya mambo kwa siri.
Lakini kama akijitokeza hadharani basi lazima aunganishwe katika hiyo kesi.

Kwa hiyo kama watu wamenifuata mimi wananiuliza,"Tell us your honest opinion,yule mtu anapaswa kufanya nini?"
Mi nikisema yule mtu ni habithi siwezi kulaumiwa akiuawa.

Halafu pale anasema THERE IS NO OFFENCE FOR THE INSTIGATOR but there is an offence of wrong-doing for the one who gives the order and for the murderer.
An offence of wrong-doing is not a real offence. Ni kama kusema someone is "naughty".
Makosa makubwa yakifanyika Buddha has other ways of describing them.
 
Wanabodi
Nimejitolea kuwa mwalimu wa kujitolea wa somo la katiba, sheria na haki, ili kuwaelimisha Watanzania kuhusu haki zao na wajibu wao.

Kujitolea kuwa mwalimu somo la katiba, na sheria, nimehamasishwa na yeye mwenyewe Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au? hebu msikilize mwenyewe akizungumza
View: https://youtu.be/PZ_8JFw_5LM?si=LqdibxLmRJXzlhQY ni kufuatia hoja hii, ndipo mimi nikajitolea Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=LdYf8WVJTIKw8KCu

Somo la leo ni somo la kitu kinachoitwa vicarious liability. Haya ni mahusiano ya uwajibikaji wa kisheria yanayoitwa fiduciary relationship, yaani uhusiano wa uwajibikaji Kama mke na mume, mzazi na mtoto, daktari na mgonjwa, mwalimu na mwanafunzi, wakili na mteja wake.

Hii fiduciary relationship inampa uwajibikaji wa kisheria wahusika hao, ikiwemo mzazi kuhukumiwa kwa makosa ya mtoto wake wa umri wa chini ya miaka 14.

Kinga hii pia inahusu kutotoa ushahidi dhidi ya mtu huyo, mfano mke akijua mumewe ni jambazi, na ni muuaji, anaweza kusema kuwa anajua mumewe ni jambazi na muuaji ila ana kinga ya fiduciary kutowajibika kutoa ushahidi dhidi ya mumewe. Vivyo hivyo kwa sisi mawakili, unaweza ukawa ni wakili wa muuaji, akakiri ameua kwa 1st degree murder, wewe japo ukweli unaujua, utamshauri akanushe na utamtetea hadi hiyo murder case inageuka manslaughter.

Sasa kuna mauaji mengi yanayotokea na kuwahusisha watu wasiojulikana, kiukweli sio wasiojulikana wote ni wasiojulikana kweli, kuna baadhi ya mauaji yanafanywa na watu "wasiojulikana" kumbe kiukweli watu hao sio "wasiojulikana" bali ni 'wasiojulikana'.

Ili kuwatambua "wasiojulikana" na 'wasiojulikana' tembelea Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Hivyo vitendo vyovyote vinavyofanywa na 'wasiojulikana' kwa kujifanya ni "wasiojulikana", then anayewatuma ana wajibika nao vicariously.

Hoja hii ni kufuatia hoja hii humu jf Naunga mkono hoja, mtu mwenye wajihi kama huu, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” hawezi hata kuua panya!, kama ni kuua labda mbu, mende na sisimizi.

Ila kwa vile yuko serikalini na yeye ndie mkuu wa serikali, na anajua kuna mazingira fulani, serikali zote duniani huwa zina waua watu hatarishi kwa usalama wa nchi, dissidents, na kabla hawa dissidents hawajauliwa lazima CinC asaini ile death warrant, then death warrant yoyote ikisainiwa, aliyeua ni aliyesaini death warrant na sio wale watekelezaji.

Ikitokea makosa ya watu wake kumuua kwa makosa mtu safi kwa kudhaniwa ni dissident, then the blood of that person is upon aliyetoa hiyo order kwa niaba yake.

Na kunapotokea vifo ambavyo vingezuilika kwa kufanya kitu lakini hakikufanyika, then damu iliyomwagika is upon yule ambaye angezuia lakini hakuzuia.

Hivyo tumeshauri Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Hata yale matukio ya utekaji, utesaji na mauaji enzi za kipindi kilee... watu humu tulishauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! hao majamaa wali mute kimya, wakijua hawawezi kufanywa lolote, lakini mwisho wa siku aliyewajibishwa na top boss wao!.

Hivyo ni muhimu sana kwa viongozi wetu kuijua hii vicarious liability kwa vifo vyovyote vya kizembe vinavyotokea chini ya mamlaka yao hata kama hawatashitakiwa popote, lakini hukumu ya haki hapa duniani ya karma ii juu yao!. The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako! tena tumewashauri watu waache kupiga ramli chonganishi Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Kanuni yenyewe ya vicarious liability ni hii
"Vicarious liability exists due to the legal doctrine of respondeat superior, which essentially means “let the master answer.” Employers, parents or others with a superior legal relationship to someone who does harm are expected to answer for those who are under their control.

Vicarious liability rules also exist in order to provide protection to victims of injury. Often, an individual employee or a child will not have the resources to provide compensation to those they harm through their negligence or wrongful actions. But companies and parents generally do.

Through the doctrine of vicarious liability, those who have resources (including the ability to buy insurance) and who were in a position to prevent harm but who failed to do so can be held accountable so victims do not go uncompensated"

Tanzania tuna bahati nzuri sana hatuna wanasheria aggressive wa kutetea watu, vinginevyo tungetumia private investigations kuwabaini hawa 'wasiojulikana' na kuwatundika msalabani, hii ingewafanya viongozi wetu kuwa more responsible for the life of its citizens.

Paskali

Wanasheria aggresive si ni kama ww? Kwahiyo unaamini kwa mahakama hizi za simu moja hata uwe mwansheria aggresive kuna lolote utafanya?
 
Masuala ya uhai ni mazito sana, amri mojawapo inasema Usiue na kanisani tunakumbushwa mara nyingi wakati wa misa juu ya amri hiyo.

Samia akiwa mwanamama wa kiislam anaweza kuaminika kwa kauli yake. Lakini nafasi yake ya urais ni mamlaka makubwa na taasisi zote zipo chini yake.

Kama ameitenda hiyo dhambi ya mauaji na atubu kwa uwezo wake wote na nia itoke moyoni mwake. Bahati nzuri Uislam au Ukristo kwa ujumla unatambua nini maana ya kutubu pale unapokosea.
 
Back
Top Bottom