Wanasiasa msitufanye wajinga kuhusu mikutano ya kisiasa

Wanasiasa msitufanye wajinga kuhusu mikutano ya kisiasa

Embu tummpe mda mama Samia si kasema tumpe mda tuwe wastaarabu tungojee tuone Magufuli alizuia kabisa mikutano hata ya ndan huyu karuhusu embu chadema na sisi tuonyeshe ustaarabu bas jmn vitu vingine mnatupa kazi kuwatetea msitake tuamini huenda lengo lenu Ni vurugu mbona mama anaenda vizuri tu,Ina maana cdm tukiomba kitu Basi tupewe mda huohuo jmn tukiambiwa tusubiri hatutaki ila kwa magu tulikaa kimya,mtu akionyesha uungwana na sisi tuwe waungwana jmn
 
We mpuuzi Sana, unataka mkutano wa nje ueleze nini, mda wa kampeni umeisha , au unataka uandamane
Ukweli ni mmoja tu kua Ccm na viongoz wenu nchi imeshawashinda toka muda mrefu sana ndo maana kila siku mnaleta visingizio.Magufulj alizurura na kuongea mwenyewe nchi nzima uku radio na vyombo vyote vya habari vikimpamba kwa miaka 5 bado nchi iko vile vile na shida zile zile alizoziacha kikwete ambaye wala hakuangaika kukimbizana na wapinzani.
 
Embu tummpe mda mama Samia si kasema tumpe mda tuwe wastaarabu tungojee tuone Magufuli alizuia kabisa mikutano hata ya ndan huyu karuhusu embu chadema na sisi tuonyeshe ustaarabu bas jmn vitu vingine mnatupa kazi kuwatetea msitake tuamini huenda lengo lenu Ni vurugu mbona mama anaenda vizuri tu,Ina maana cdm tukiomba kitu Basi tupewe mda huohuo jmn tukiambiwa tusubiri hatutaki ila kwa magu tulikaa kimya,mtu akionyesha uungwana na sisi tuwe waungwana jmn
Mikutano ya hadhdara inamzuia vipi kutekeleza majukumu yake?
 
Specifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.

Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?

Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?

Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.

Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.

Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.
Mikutano inaamsha awareness kwa wanaanchi na usiichukulie poa kabisa , sauti za wanasiasa zinatoa angalizo kwa serikali na kukosoa pale viongozi wanavyoenda tofauti, pia pitia mikutano wanachama wapya wanapatikana, mkitaka kuua vyama vya upinzani basi mzuie mikutano ya hadhara
 
Specifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.

Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?

Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?

Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.

Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.

Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.

Kumbuka vyama vya upinzani wengi kwasasa hawana majimbo ulitaka wakafanye wapi mikutano yao ya hadhara, maana kama sheria inataka waafanyie kwenye majimbo yao huoni huo ni upuzi, sasa chukuli kwa hali ilivyo sasa, nimekuona bonge la kiazi
 
Specifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.

Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?

Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?

Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.

Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.

Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.
Shida ya wanasiasa wengi wa upinzani Tanzania ni wa uchwara! na wachumia tumbo, wanaoifanya siasa kama ajira ya kuwapatia kipato, wakati katika nchi zilizoendelea kiuchumi na kubobea katika demokrasia, siasa ni platform ya kujitolea kutumikia umma.

Ndio maana kuna kipindi cha kupiga siasa kutafuta uungwaji mkono wakati maalum wa uchaguzi. Lakini baada ya uchaguzi kila raia ana kuwa bize kuangalia kama chama tawala kilichoshinda uchaguzi kinawatumikia wananchi kama ilivyoahidi kwenye ilani yake, ili waweze kukihukumu kwa kukinyima kura kwenye uchaguzi unaofuata ama kukipa kura kiendelee kuongoza nchi.

Na kosa kubwa na la kujutia ni ile tabia kuvidekeza vyama vya siasa kwa kuvipa ruzuku! ilhali kwa nchi zilizobobea kwa demokrasia, jukumu la kukihudumia chama cha siasa na wanasiasa ni la wanachama wenyewe kwa kupitia harambee mbalimbali.

Mwachani mama Samia achape kazi ya kuwatumikia wananchi.
 
Specifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.

Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?

Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?

Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.

Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.

Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.

Marekani kwani wamezuiwa? Si kuwa wakiitisha hakuna tu atakayekwenda?

Kwani hapa kabla ya kuzuiwa ilikuwaje?

Ikumbukwe mikutano ya siasa haikuwahi kuzuiwa kabla ya jiwe tangia kuwa kuhalishwa kisheria.

Kwani ilipokuwapo kulikuwa na lipi la kumfanya awaye yote kuizuia?

Mbona imekuwapo wakati wa Mwinyi, Mkapa na hata Kikwette bila shida?
 
Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?
Ndugu WAMAREKANI wako huru kabisa kufanya mikutano ya siasa na hata maandamano wanapohitaji, HATA kama uchaguzi ulikuwa usiku wa jana yake. Hebu pitia katiba yao.
Yaonekana Mama ana nia ya kuendeleza UKANDAMIZAJI kama ilivyokuwa kwa Mwendakuzimu kutokana uoga wa ki CCM.
Haki kamwe haitakiwi kutolewa kama HISANI, ni kutaka kuturudisha kwenye udhalimu na kuvunja hata hii katiba hii ya sasa hivi.
 
Specifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.

Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?

Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?

Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.

Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.

Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.
Mpumbavu flani hivi ameandika! Sluggish!
 
Back
Top Bottom