Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Embu tummpe mda mama Samia si kasema tumpe mda tuwe wastaarabu tungojee tuone Magufuli alizuia kabisa mikutano hata ya ndan huyu karuhusu embu chadema na sisi tuonyeshe ustaarabu bas jmn vitu vingine mnatupa kazi kuwatetea msitake tuamini huenda lengo lenu Ni vurugu mbona mama anaenda vizuri tu,Ina maana cdm tukiomba kitu Basi tupewe mda huohuo jmn tukiambiwa tusubiri hatutaki ila kwa magu tulikaa kimya,mtu akionyesha uungwana na sisi tuwe waungwana jmn