Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Ukweli ni mmoja tu kua Ccm na viongoz wenu nchi imeshawashinda toka muda mrefu sana ndo maana kila siku mnaleta visingizio.Magufulj alizurura na kuongea mwenyewe nchi nzima uku radio na vyombo vyote vya habari vikimpamba kwa miaka 5 bado nchi iko vile vile na shida zile zile alizoziacha kikwete ambaye wala hakuangaika kukimbizana na wapinzani.We mpuuzi Sana, unataka mkutano wa nje ueleze nini, mda wa kampeni umeisha , au unataka uandamane
Ni mambo ya hovyo kabisaNi mpuuzi si kidogo, yupo tayari akajazane uwanja wa taifa kumuona diamond Ila eti sio kumsikiliza mtu Kama Lissu
Mikutano ya hadhdara inamzuia vipi kutekeleza majukumu yake?Embu tummpe mda mama Samia si kasema tumpe mda tuwe wastaarabu tungojee tuone Magufuli alizuia kabisa mikutano hata ya ndan huyu karuhusu embu chadema na sisi tuonyeshe ustaarabu bas jmn vitu vingine mnatupa kazi kuwatetea msitake tuamini huenda lengo lenu Ni vurugu mbona mama anaenda vizuri tu,Ina maana cdm tukiomba kitu Basi tupewe mda huohuo jmn tukiambiwa tusubiri hatutaki ila kwa magu tulikaa kimya,mtu akionyesha uungwana na sisi tuwe waungwana jmn
Mikutano inaamsha awareness kwa wanaanchi na usiichukulie poa kabisa , sauti za wanasiasa zinatoa angalizo kwa serikali na kukosoa pale viongozi wanavyoenda tofauti, pia pitia mikutano wanachama wapya wanapatikana, mkitaka kuua vyama vya upinzani basi mzuie mikutano ya hadharaSpecifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.
Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?
Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?
Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.
Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.
Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.
Specifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.
Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?
Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?
Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.
Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.
Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.
Shida ya wanasiasa wengi wa upinzani Tanzania ni wa uchwara! na wachumia tumbo, wanaoifanya siasa kama ajira ya kuwapatia kipato, wakati katika nchi zilizoendelea kiuchumi na kubobea katika demokrasia, siasa ni platform ya kujitolea kutumikia umma.Specifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.
Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?
Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?
Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.
Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.
Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.
Specifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.
Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?
Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?
Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.
Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.
Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.
Ndugu WAMAREKANI wako huru kabisa kufanya mikutano ya siasa na hata maandamano wanapohitaji, HATA kama uchaguzi ulikuwa usiku wa jana yake. Hebu pitia katiba yao.Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?
Ndugu ya aina hiyo sheria hiyo haipo kabisa hapa kwetumaana kama sheria inataka waafanyie kwenye majimbo yao huoni huo ni upuzi,
Mpumbavu flani hivi ameandika! Sluggish!Specifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.
Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?
Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?
Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.
Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.
Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.