Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nawafahamu watu hawa. Ndiyo ambao walimwita Fei Toto na kumchimba mkwara. Wakaharibu zaidi wakati sisi tunaenda kuongea na mama yake amkanye mwanawe wao wakaona wamwite yeye.
===
Alichoandika Saleh Jembe kwenye Ukurasa wa Instagram
WANASIASA ACHENI KAMATI ITENDE HAKI, MSISHADADIE DHULMA..
Taarifa zinasema kiungo @feisal194 ALIWEKA MSIMAMO kuwa hayuko tayari kurejea Yanga kwa kile alichoamini ni dharau au kutopewa thamani....akasisitiza yu tayari hata kutocheza mpira iwe kwa kufungiwa au vinginevyo lakini ASIRUDI.
Tusijikite kwenye kulaumu kokote (Yanga au Feisal), lakini tutambue Fei ni kijana na anajitambua kwa kuwa anapigania maisha yake. Yanga nao walimlea kwa muda waliyekuwanae lakini muhimu ni haki katika hili.
Kamati imekaa na majibu yalipatikana jana (SIJUI KWA NINI HAYAKUTANGAZWA)...vizuri sana ikawa haki na ushauri viongozi wa kisiasa ambao wanapenda mpira na klabu zao wakae kando na waiache kamati ifanye kazi yake sahihi ili mwisho kusiwe na hisia za KULAZIMISHWA, KUSHAWISHIWA AU VINGINEVYO....
Hakuna haja kwao kupiga simu wakihoji matokeo au kutaka yawe ya upande fulani...hili ni suala la kisheria lina njia zake sahihi...
HAKI ITENDEKE KWA MUJIBU WA MASWALI NA MAJIBU KIKAONI PIA KWA HESHIMA YA KAMATI, MPIRA NA HATA SHIRIKISHO LA SOKA KWAMBA HAKI IPO BILA SHINIKIZO LA MATAJIRI AU WANASIASA...
===
Alichoandika Saleh Jembe kwenye Ukurasa wa Instagram
WANASIASA ACHENI KAMATI ITENDE HAKI, MSISHADADIE DHULMA..
Taarifa zinasema kiungo @feisal194 ALIWEKA MSIMAMO kuwa hayuko tayari kurejea Yanga kwa kile alichoamini ni dharau au kutopewa thamani....akasisitiza yu tayari hata kutocheza mpira iwe kwa kufungiwa au vinginevyo lakini ASIRUDI.
Tusijikite kwenye kulaumu kokote (Yanga au Feisal), lakini tutambue Fei ni kijana na anajitambua kwa kuwa anapigania maisha yake. Yanga nao walimlea kwa muda waliyekuwanae lakini muhimu ni haki katika hili.
Kamati imekaa na majibu yalipatikana jana (SIJUI KWA NINI HAYAKUTANGAZWA)...vizuri sana ikawa haki na ushauri viongozi wa kisiasa ambao wanapenda mpira na klabu zao wakae kando na waiache kamati ifanye kazi yake sahihi ili mwisho kusiwe na hisia za KULAZIMISHWA, KUSHAWISHIWA AU VINGINEVYO....
Hakuna haja kwao kupiga simu wakihoji matokeo au kutaka yawe ya upande fulani...hili ni suala la kisheria lina njia zake sahihi...
HAKI ITENDEKE KWA MUJIBU WA MASWALI NA MAJIBU KIKAONI PIA KWA HESHIMA YA KAMATI, MPIRA NA HATA SHIRIKISHO LA SOKA KWAMBA HAKI IPO BILA SHINIKIZO LA MATAJIRI AU WANASIASA...