Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona tokea mwanzo tunaambiwa kwenye mkataba wa feisal na yanga una kipengele cha feisal kununua sehemu iliyobak ya mkataba?au niaje?
Unakipaji cha ujingaHata hao TFF wenyewe na Kamati zao sio wa kuwaamini, wanatumiwa na wanasiasa, mfano lile suala la Manara na Hersi mpaka leo bado halijatolewa maamuzi na TFF, nani atawaamini hawa kwenye kutenda haki kwa mchezaji?
Binafsi, nimekuwa nikiamini haki iko upande wa mchezaji toka siku ya kwanza, kwani siku zote mikataba hutakiwa kujieleza kama ilivyo, haitakiwi kuleta habari nyingine nje ya hapo za utaratibu au vyovyote, kwani hayo ni mazoea tu yasiyokuwa na maana yoyote kisheria.
Kama umejibana mwenyewe kwenye vipengele vya mkataba ulioingia na mchezaji wako, usitegemee kutokea kwenye "utaratibu" au utatokea kwenye huo "utaratibu" kama upo kwenye vipengele vya mkataba husika, lakini kama haupo, jilaumu mwenyewe, wala hapa usitegemee ukubwa wa jina la timu yako.
Kimsingi Yanga walikuwa wanalazimisha utaratibu ufuatwe ili wapate nafasi ya kumtongoza mchezaji, tena kwa kuwatumia hao wanasiasa wanaoingilia maamuzi ya TFF hivi sasa, huu ni ukweli halisi, na mashabiki wao nao wakauvaa huu usanii wa viongozi wao, utopolo msinune mkiambiwa ukweli huu, Feisal hawataki, wala haki haipo upande wenu, kubalini tu hii habari iishe.
Achana na hao VILAZA,..mashabiki maandazi.Punguza hisia mdogo wangu. Tumia akili kwanza bado unasafari ndefu ukipenda kuendekeza hisia zikuongoze utapoteana nakuhakikishia.
Wewe unaelalama kila siku Feisal yuko sawa umeshikilia tu kipengele kimoja cha mkataba mkiambiwa mlete mkataba wote mnakimbia. Hili swala lipo kimkakati hasa kwa mtu kama wewe unaeongozwa na hisia ukisikia jambo unakuja huku kupotosha ukiwa hujui upotoshaji huo unawanufaisha kina nani.
Haya kamati imetoa majibu bado tu unaendelea kubisha?
Unataka uaminiwe wewe kwa fake id?![emoji848][emoji848]Duh! Salehe Jembe ndo unasema ana network na habari zake!!!. Mambo mengine yametuzidi uwezo ni bora tuache muda uamue
Ulikuwa ukiamini ujinga mkuu. Mpira ni mchezo wenye kanuni zake katika kutawala kwake, haiwezekani wachezaji waamue kuvunja mikataba bila sababu za msingi.Hata hao TFF wenyewe na Kamati zao sio wa kuwaamini, wanatumiwa na wanasiasa, mfano lile suala la Manara na Hersi mpaka leo bado halijatolewa maamuzi na TFF, nani atawaamini hawa kwenye kutenda haki kwa mchezaji?
Binafsi, nimekuwa nikiamini haki iko upande wa mchezaji toka siku ya kwanza, kwani siku zote mikataba hutakiwa kujieleza kama ilivyo, haitakiwi kuleta habari nyingine nje ya hapo za utaratibu au vyovyote, kwani hayo ni mazoea tu yasiyokuwa na maana yoyote kisheria.
Kama umejibana mwenyewe kwenye vipengele vya mkataba ulioingia na mchezaji wako, usitegemee kutokea kwenye "utaratibu" au utatokea kwenye huo "utaratibu" kama upo kwenye vipengele vya mkataba husika, lakini kama haupo, jilaumu mwenyewe, wala hapa usitegemee ukubwa wa jina la timu yako.
Kimsingi Yanga walikuwa wanalazimisha utaratibu ufuatwe ili wapate nafasi ya kumtongoza mchezaji, tena kwa kuwatumia hao wanasiasa wanaoingilia maamuzi ya TFF hivi sasa, huu ni ukweli halisi, na mashabiki wao nao wakauvaa huu usanii wa viongozi wao, utopolo msinune mkiambiwa ukweli huu, Feisal hawataki, wala haki haipo upande wenu, kubalini tu hii habari iishe.
Gud, unakiri mimi nina kipengele kimoja cha huo mkataba, ajabu unaandika nina hisia, sasa wewe unaejiona una vipengele vingine ambavyo huvijui sijui utakuwa na nini kama sio zaidi ya hisia.Punguza hisia mdogo wangu. Tumia akili kwanza bado unasafari ndefu ukipenda kuendekeza hisia zikuongoze utapoteana nakuhakikishia.
Wewe unaelalama kila siku Feisal yuko sawa umeshikilia tu kipengele kimoja cha mkataba mkiambiwa mlete mkataba wote mnakimbia. Hili swala lipo kimkakati hasa kwa mtu kama wewe unaeongozwa na hisia ukisikia jambo unakuja huku kupotosha ukiwa hujui upotoshaji huo unawanufaisha kina nani.
Haya kamati imetoa majibu bado tu unaendelea kubisha?
Yani anavyoongea unaweza dhani ana mzigo wa vithibitisho na ushahidi, unaweza dhani alikuwapo kwenye kusikiliza mashauri na akaona kila nyaraka za kila upande, kumbe ameyatoa maneno kwa Kazumari.Yani binti Kazumari ndio mwenye network? Hii nchi imejaa wajinga wengi sana, ni dhahiri Ccm itatawala milele.
Waandishi wa Habari kama kweli wanaongea ukweli waweke wazi hao wanasiasa wanaoingilia maamuzi.Ukiangalia Hawa wachambuzi jinsi wanavyoandika Haina tofauti na stori za vijiweni tuWewe unaetaka uoneshwe mkataba kama wewe unao tuwekee hapa tuuone, vinginevyo unahangaika tu; nakuona unapingana na taarifa za waandishi wa habari wenye network ya taarifa kwa ajili ya mahaba niue tu kwa timu yako.
Na unaposema suala la Feisal lipo kimkakati nawe tuwekee ushahidi hapa, usituokotee maneno ya kujiliwaza ili kuuridhisha moyo wako ukataka nasi tuyaamini.
Ajabu wewe ndie unajiona una akili! Kuwa na adabu dogo, haya mambo ya mikataba ni zaidi ya mahaba niue kwa klabu yako.
Akina nani hao?Wameshinda kuongoza kwenye siasa wanakuja kutafuta kick kwenye mpira ndio maana wao bila kujua ndio chanzo Cha mpira kudumaa
Kukaa benchi huku unalipwa ni sawa. Ila kucheza na kuipeleka timu mbele huku unalipwa kiasi kisicholingana na mchango wako si sawa....Na Fei atasugua benchi hadi makalio yaote sugu dadadeeki zake, anajikuta nani sijui.!
Jifunzeni kusoma mikataba nyie ngumbalu, mchezaji unajiona mkubwa huna mwanasheria?
Sasa si bora mumuachee aendee, ko mnataka kuua kipaji chake? Kwan ni lazima achezee yanga milelee?? KhaaaaahNa Fei atasugua benchi hadi makalio yaote sugu dadadeeki zake, anajikuta nani sijui.!
Jifunzeni kusoma mikataba nyie ngumbalu, mchezaji unajiona mkubwa huna mwanasheria?
Boraaa umemuambia ukweli. Alete naye vipengele vingine vya mkatabaa tuone hapa.Gud, unakiri mimi nina kipengele kimoja cha huo mkataba, ajabu unaandika nina hisia, sasa wewe unaejiona una vipengele vingine ambavyo huvijui sijui utakuwa na nini kama sio zaidi ya hisia.
Ajabu siku zote huuoni huu ujinga wako!.
Usiandike kwa unyenyekevu wakati umejaa hisia tu, SIKU ZOTE NAKWAMBIA HAUNA HOJA, wadanganye hao mashabiki maandazi wenzio, huna chochote chakunifundisha.
Ww ni kajinga sana, yaani ww ni kapumbavu ka kutupaHata hao TFF wenyewe na Kamati zao sio wa kuwaamini, wanatumiwa na wanasiasa, mfano lile suala la Manara na Hersi mpaka leo bado halijatolewa maamuzi na TFF, nani atawaamini hawa kwenye kutenda haki kwa mchezaji?
Binafsi, nimekuwa nikiamini haki iko upande wa mchezaji toka siku ya kwanza, kwani siku zote mikataba hutakiwa kujieleza kama ilivyo, haitakiwi kuleta habari nyingine nje ya hapo za utaratibu au vyovyote, kwani hayo ni mazoea tu yasiyokuwa na maana yoyote kisheria.
Kama umejibana mwenyewe kwenye vipengele vya mkataba ulioingia na mchezaji wako, usitegemee kutokea kwenye "utaratibu" au utatokea kwenye huo "utaratibu" kama upo kwenye vipengele vya mkataba husika, lakini kama haupo, jilaumu mwenyewe, wala hapa usitegemee ukubwa wa jina la timu yako.
Kimsingi Yanga walikuwa wanalazimisha utaratibu ufuatwe ili wapate nafasi ya kumtongoza mchezaji, tena kwa kuwatumia hao wanasiasa wanaoingilia maamuzi ya TFF hivi sasa, huu ni ukweli halisi, na mashabiki wao nao wakauvaa huu usanii wa viongozi wao, utopolo msinune mkiambiwa ukweli huu, Feisal hawataki, wala haki haipo upande wenu, kubalini tu hii habari iishe.
Wakati ana sign mkataba alikua anajua anacheza timu gani?Sasa si bora mumuachee aendee, ko mnataka kuua kipaji chake? Kwan ni lazima achezee yanga milelee?? Khaaaaah
Ninachoshukuru unaonyesha kunielewa ila kinachoendelea hapa ni kujaribu kuonesha ubishi wa kitoto kitu ambacho siwezi kukulaumu kwa sababu ya immature. Kaa chini jitafakari usikubali mtu mwingine abebe fikra na maono yako. Ukisoma au kusikia jambo litafakari kwanza hisia za chuki juu ya Yanga zinakufanya uwe mpofu usiweze kutafakari mambo kwa umakini.Gud, unakiri mimi nina kipengele kimoja cha huo mkataba, ajabu unaandika nina hisia, sasa wewe unaejiona una vipengele vingine ambavyo huvijui sijui utakuwa na nini kama sio zaidi ya hisia.
Ajabu siku zote huuoni huu ujinga wako!.
Usiandike kwa unyenyekevu wakati umejaa hisia tu, SIKU ZOTE NAKWAMBIA HAUNA HOJA, wadanganye hao mashabiki maandazi wenzio, huna chochote chakunifundisha.
Mdogo wangu Yanga ni taasisi sio choo kile watu waingie na kutoka kwa kadri wanavyojisikia wao. Anataka kuondoka afuate utaratibu hakuna anayemzuia. Hata ikitokea leo hii amerudi sidhani kama anaweza kuaminika tena kurudi kikosini kutokana na hili lilotokea.Sasa si bora mumuachee aendee, ko mnataka kuua kipaji chake? Kwan ni lazima achezee yanga milelee?? Khaaaaah