Wanasiasa wanashinikiza suala la FEI TOTO na kuleta VITISHO

Wanasiasa wanashinikiza suala la FEI TOTO na kuleta VITISHO

Hata hao TFF wenyewe na Kamati zao sio wa kuwaamini, wanatumiwa na wanasiasa, mfano lile suala la Manara na Hersi mpaka leo bado halijatolewa maamuzi na TFF, nani atawaamini hawa kwenye kutenda haki kwa mchezaji?

Binafsi, nimekuwa nikiamini haki iko upande wa mchezaji toka siku ya kwanza, kwani siku zote mikataba hutakiwa kujieleza kama ilivyo, haitakiwi kuleta habari nyingine nje ya hapo za utaratibu au vyovyote, kwani hayo ni mazoea tu yasiyokuwa na maana yoyote kisheria.

Kama umejibana mwenyewe kwenye vipengele vya mkataba ulioingia na mchezaji wako, usitegemee kutokea kwenye "utaratibu" au utatokea kwenye huo "utaratibu" kama upo kwenye vipengele vya mkataba husika, lakini kama haupo, jilaumu mwenyewe, wala hapa usitegemee ukubwa wa jina la timu yako.

Kimsingi Yanga walikuwa wanalazimisha utaratibu ufuatwe ili wapate nafasi ya kumtongoza mchezaji, tena kwa kuwatumia hao wanasiasa wanaoingilia maamuzi ya TFF hivi sasa, huu ni ukweli halisi, na mashabiki wao nao wakauvaa huu usanii wa viongozi wao, utopolo msinune mkiambiwa ukweli huu, Feisal hawataki, wala haki haipo upande wenu, kubalini tu hii habari iishe.
Hivi Feisal angepata wapi ujanja wa kuizidi Yanga? Mtoto katika kwao akiwa bado kinda,apate wapi bargaining power ya kuiingiza Yanga mkenge?
 
Suala la fei toto liko wazi sana wala alihitaji mtu yeyote kuingilia kati msianzishe ujinga ujinga wenu hapa kuwasingizia wanasiasa, leteni huo ushahidi kuonyesha wanasiasa wanavyoingilia, Vitu viko wazi na sheria ziko wazi alafu mnaleta habari za kwenye vijiwe vya kahawa hapa
Majitu ya Simba ni mapumbavu Sana.Rage alisema Simba wote ni mbumbumbu.Yanamtamani Fei baada ya kutengenezwa na Nabi na kunawili kwa pesa za Yanga.Wao si walimsajiri Marcel Kaheza ,mbona wasimtengeneze Kisha wampe mshahara mkubwa? Ni Mahoho,narudia ni Mahoho.
 
Yanga acheni mambo ya kizamani kung'ang'ania mtu asiekutaka ni upumbavu.

Mwacheni aende zake maisha yake Yako mkononi mwake.ishu za mapenzi ya timu wekeni.

Akina fei wamejifunza kutoka kwa akina ngassa na akina chuji.

"Kama mtu hakutaki muache aende zake USIMBAKE" - afande sele
 
Kwenye hili swala watu wengi wanaongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia. Hata ukisoma comments utaona mwenyewe na mpaka hapa tulipofika hakuna kitu unaweza badilisha juu ya fikra za wengi wanaoendelea kupotosha watu ambao hawaelewi chochote katika hili.

Mfano mleta mada anasema kwemye kikao Feisal katamka hataki kucheza Yanga tena yupo radhi hata afungiwe lakini hajaleta ushahidi kama hayo maneno ni ya kweli au la. Sasa ukikutana na wakurupukaji akili fupi anayachukua hayo maneno kama yalivyo ndio zinakuja zile comments Feisal hawataki, mwingine anaanza kuamini Feisal yupo sahihi. Nakubali anaweza kuwa haitaki Yanga kweli lakini kwa nini tumlishe maneno na kuanza kupotosha wengine.

Tuache kamati ifanye kazi yake tusijaribu kutengeneza chuki kati Feisal na mashabiki kwa kutumia hili ndio maana niliwahi kusema hili swala la Feisal lipo kimkakati kuna watu wanalitumia kwa manufaa yao binafsi. Usipotoshe usikubali kupotoshwa hata Feisal kapotoshwa na wanataka waendelee kuwapotosha wengine. Noo
Hata Feisal akisema hataki kucheza Yanga siyo tatizo.Tatizo ni matakwa ya kisheria na kimkataba basi Hutaki kucheza Yanga ,ndiyo ,je,mkataba wako na sheria zingine zinasemaje? Timiza taratibu uondoke basi,haya siyo mambo ya mipasho na taarabu.
 
Majitu ya Simba ni mapumbavu Sana.Rage alisema Simba wote ni mbumbumbu.Yanamtamani Fei baada ya kutengenezwa na Nabi na kunawili kwa pesa za Yanga.Wao si walimsajiri Marcel Kaheza ,mbona wasimtengeneze Kisha wampe mshahara mkubwa? Ni Mahoho,narudia ni Mahoho.
Tokea lini wale mbumbumbu wakawa sawa vichwani, wakishavuta unga wao wanabaki kuweweseka tu suala la feisal wamekomaa nalo wamesahau na wao yule mtumishi hewa bwana Nelsoni Okwa kawagomea kuvunja mkataba wake anataka apewe 800mil. kama wanataka kuvunja mkataba wake, wamebaki kukomaa na mambo ya jirani
 
Yanga mwenzangu una ubwege mkubwa sana. Yaani unafurahia hili? Yaani mke hakutaki anaondoka na anaenda kutiwa na mwanaume mwingine. Mahakama inamrudisha kwako kuwa hakuondoka na talaka unafurahia? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] WE SI BWEGE SANA? UTAKUWA NA AKILI KWELI? USITUAIBISHE SISI WENYE AKILI.
Kwa hiyo Feisal alienda kutiwa!
 
Back
Top Bottom