Wanasiasa wanashinikiza suala la FEI TOTO na kuleta VITISHO

Wanasiasa wanashinikiza suala la FEI TOTO na kuleta VITISHO

Halafu hawa wanasiasa ni wajinga sana, hii mara ya pili nawaona wana intercept mpira kwa kuingiza siasa

Sijui wanajionaje yani?
Wameshinda kuongoza kwenye siasa wanakuja kutafuta kick kwenye mpira ndio maana wao bila kujua ndio chanzo Cha mpira kudumaa
 
Wewe unaetaka uoneshwe mkataba kama wewe unao tuwekee hapa tuuone, vinginevyo unahangaika tu; nakuona unapingana na taarifa za waandishi wa habari wenye network ya taarifa kwa ajili ya mahaba niue tu kwa timu yako.

Na unaposema suala la Feisal lipo kimkakati nawe tuwekee ushahidi hapa, usituokotee maneno ya kujiliwaza ili kuuridhisha moyo wako ukataka nasi tuyaamini.

Ajabu wewe ndie unajiona una akili! Kuwa na adabu dogo, haya mambo ya mikataba ni zaidi ya mahaba niue kwa klabu yako.
Yani binti Kazumari ndio mwenye network? Hii nchi imejaa wajinga wengi sana, ni dhahiri Ccm itatawala milele.
 
Nawafahamu watu hawa. Ndiyo ambao walimwita Fei Toto na kumchimba mkwara. Wakaharibu zaidi wakati sisi tunaenda kuongea na mama yake amkanye mwanawe wao wakaona wamwite yeye.
View attachment 2471775
===
Alichoandika Saleh Jembe kwenye Ukurasa wa Instagram

WANASIASA ACHENI KAMATI ITENDE HAKI, MSISHADADIE DHULMA..

Taarifa zinasema kiungo @feisal194 ALIWEKA MSIMAMO kuwa hayuko tayari kurejea Yanga kwa kile alichoamini ni dharau au kutopewa thamani....akasisitiza yu tayari hata kutocheza mpira iwe kwa kufungiwa au vinginevyo lakini ASIRUDI.

Tusijikite kwenye kulaumu kokote (Yanga au Feisal), lakini tutambue Fei ni kijana na anajitambua kwa kuwa anapigania maisha yake. Yanga nao walimlea kwa muda waliyekuwanae lakini muhimu ni haki katika hili.

Kamati imekaa na majibu yalipatikana jana (SIJUI KWA NINI HAYAKUTANGAZWA)...vizuri sana ikawa haki na ushauri viongozi wa kisiasa ambao wanapenda mpira na klabu zao wakae kando na waiache kamati ifanye kazi yake sahihi ili mwisho kusiwe na hisia za KULAZIMISHWA, KUSHAWISHIWA AU VINGINEVYO....

Hakuna haja kwao kupiga simu wakihoji matokeo au kutaka yawe ya upande fulani...hili ni suala la kisheria lina njia zake sahihi...

HAKI ITENDEKE KWA MUJIBU WA MASWALI NA MAJIBU KIKAONI PIA KWA HESHIMA YA KAMATI, MPIRA NA HATA SHIRIKISHO LA SOKA KWAMBA HAKI IPO BILA SHINIKIZO LA MATAJIRI AU WANASIASA...
Ifike kipindi muache ujinga basi. Ukute wewe ni Msomi unaandika upuuzi kama huu na unahudumia watu? Bora Nesi wa Uyui anayepima Kwa vifaa vilivyoexpire kuliko wewe.
 
Nawafahamu watu hawa. Ndiyo ambao walimwita Fei Toto na kumchimba mkwara. Wakaharibu zaidi wakati sisi tunaenda kuongea na mama yake amkanye mwanawe wao wakaona wamwite yeye.
View attachment 2471775
===
Alichoandika Saleh Jembe kwenye Ukurasa wa Instagram

WANASIASA ACHENI KAMATI ITENDE HAKI, MSISHADADIE DHULMA..

Taarifa zinasema kiungo @feisal194 ALIWEKA MSIMAMO kuwa hayuko tayari kurejea Yanga kwa kile alichoamini ni dharau au kutopewa thamani....akasisitiza yu tayari hata kutocheza mpira iwe kwa kufungiwa au vinginevyo lakini ASIRUDI.

Tusijikite kwenye kulaumu kokote (Yanga au Feisal), lakini tutambue Fei ni kijana na anajitambua kwa kuwa anapigania maisha yake. Yanga nao walimlea kwa muda waliyekuwanae lakini muhimu ni haki katika hili.

Kamati imekaa na majibu yalipatikana jana (SIJUI KWA NINI HAYAKUTANGAZWA)...vizuri sana ikawa haki na ushauri viongozi wa kisiasa ambao wanapenda mpira na klabu zao wakae kando na waiache kamati ifanye kazi yake sahihi ili mwisho kusiwe na hisia za KULAZIMISHWA, KUSHAWISHIWA AU VINGINEVYO....

Hakuna haja kwao kupiga simu wakihoji matokeo au kutaka yawe ya upande fulani...hili ni suala la kisheria lina njia zake sahihi...

HAKI ITENDEKE KWA MUJIBU WA MASWALI NA MAJIBU KIKAONI PIA KWA HESHIMA YA KAMATI, MPIRA NA HATA SHIRIKISHO LA SOKA KWAMBA HAKI IPO BILA SHINIKIZO LA MATAJIRI AU WANASIASA...
We mtoa mada na saleh ally hamnazo,mnalaumu vp wanasiasa kuingilia swala la fei na hamkuwahi kuwalaumu waliorubuni na kufanikiwa kuingilia mkataba wa dogo mpk mambo yamefikia hapa?

Maana hao ndo watu wa kwanza waliokosea,wameamua kutumia uwezo wao kipesa na wana yanga wanatumia wadhfa wao kiutawala kwanini tusiliache hili bato liendelee tu??kwani mwisho wa siku aidha hao wanasiasa au hao mabwanyenye mwenye kisu kikali atachinja tu huyu kuku asiyejielewa

Vilio km ivyo tuwaachie wanawake,sisi wanaume asili yetu kupambana,tuwaache wenye ubavu kwenye wapambane mwishowe yupo atakayeshinda na kushindwa
 
Wewe unaetaka uoneshwe mkataba kama wewe unao tuwekee hapa tuuone, vinginevyo unahangaika tu; nakuona unapingana na taarifa za waandishi wa habari wenye network ya taarifa kwa ajili ya mahaba niue tu kwa timu yako.

Na unaposema suala la Feisal lipo kimkakati nawe tuwekee ushahidi hapa, usituokotee maneno ya kujiliwaza ili kuuridhisha moyo wako ukataka nasi tuyaamini.

Ajabu wewe ndie unajiona una akili! Kuwa na adabu dogo, haya mambo ya mikataba ni zaidi ya mahaba niue kwa klabu yako.
Duh! Salehe Jembe ndo unasema ana network na habari zake!!!. Mambo mengine yametuzidi uwezo ni bora tuache muda uamue
 
Ifike kipindi muache ujinga basi. Ukute wewe ni Msomi unaandika upuuzi kama huu na unahudumia watu? Bora Nesi wa Uyui anayepima Kwa vifaa vilivyoexpire kuliko wewe.
Hata mi nimemshangaa sana
 
Ifike kipindi muache ujinga basi. Ukute wewe ni Msomi unaandika upuuzi kama huu na unahudumia watu? Bora Nesi wa Uyui anayepima Kwa vifaa vilivyoexpire kuliko wewe.
Mimi ninavyo vifaa vilivyo expire napimia tezi dume. Unataka kupimwa tezi dume weye......? Wapatikana wapi sheikh?
 
We mtoa mada na saleh ally hamnazo,mnalaumu vp wanasiasa kuingilia swala la fei na hamkuwahi kuwalaumu waliorubuni na kufanikiwa kuingilia mkataba wa dogo mpk mambo yamefikia hapa?

Maana hao ndo watu wa kwanza waliokosea,wameamua kutumia uwezo wao kipesa na wana yanga wanatumia wadhfa wao kiutawala kwanini tusiliache hili bato liendelee tu??kwani mwisho wa siku aidha hao wanasiasa au hao mabwanyenye mwenye kisu kikali atachinja tu huyu kuku asiyejielewa

Vilio km ivyo tuwaachie wanawake,sisi wanaume asili yetu kupambana,tuwaache wenye ubavu kwenye wapambane mwishowe yupo atakayeshinda na kushindwa
MBONA KAMA UMEPANIKI? USIPANIKI NI MAMBO YA MPIRA HAYA. WEWE UTAKUWA VIBONDE WETU NI NINI?
 
Nawafahamu watu hawa. Ndiyo ambao walimwita Fei Toto na kumchimba mkwara. Wakaharibu zaidi wakati sisi tunaenda kuongea na mama yake amkanye mwanawe wao wakaona wamwite yeye.

View attachment 2471775
===
Alichoandika Saleh Jembe kwenye Ukurasa wa Instagram

WANASIASA ACHENI KAMATI ITENDE HAKI, MSISHADADIE DHULMA..

Taarifa zinasema kiungo @feisal194 ALIWEKA MSIMAMO kuwa hayuko tayari kurejea Yanga kwa kile alichoamini ni dharau au kutopewa thamani....akasisitiza yu tayari hata kutocheza mpira iwe kwa kufungiwa au vinginevyo lakini ASIRUDI.

Tusijikite kwenye kulaumu kokote (Yanga au Feisal), lakini tutambue Fei ni kijana na anajitambua kwa kuwa anapigania maisha yake. Yanga nao walimlea kwa muda waliyekuwanae lakini muhimu ni haki katika hili.

Kamati imekaa na majibu yalipatikana jana (SIJUI KWA NINI HAYAKUTANGAZWA)...vizuri sana ikawa haki na ushauri viongozi wa kisiasa ambao wanapenda mpira na klabu zao wakae kando na waiache kamati ifanye kazi yake sahihi ili mwisho kusiwe na hisia za KULAZIMISHWA, KUSHAWISHIWA AU VINGINEVYO....

Hakuna haja kwao kupiga simu wakihoji matokeo au kutaka yawe ya upande fulani...hili ni suala la kisheria lina njia zake sahihi...

HAKI ITENDEKE KWA MUJIBU WA MASWALI NA MAJIBU KIKAONI PIA KWA HESHIMA YA KAMATI, MPIRA NA HATA SHIRIKISHO LA SOKA KWAMBA HAKI IPO BILA SHINIKIZO LA MATAJIRI AU WANASIASA...
Acheni kuvuruga vuruga ili ionekane alishindwa Kwa sababu ya wanasiasa,kama ni haki yake ataipata tu, ujinga ni wanaojiita wachambuzi kujifanya wanajua kila kitu au kutumika kuharibu utaratibu kwa ujuaji ujuaji tu.....nchi hii Wapuuzi siyo wanasiasa tu kuna kundi linajiita wachambuzi wa michezo ni janga la taifa maana vilaza wote wamekimbilia huko na wanapewa air time kubwa Kwa kuongea upuuzi
 
Makolo kifo cha mende chaliii.😀😀😀
 

Attachments

  • FB_IMG_1673087223388.jpg
    FB_IMG_1673087223388.jpg
    60.8 KB · Views: 2
Acheni kuvuruga vuruga ili ionekane alishindwa Kwa sababu ya wanasiasa,kama ni haki yake ataipata tu, ujinga ni wanaojiita wachambuzi kujifanya wanajua kila kitu au kutumika kuharibu utaratibu kwa ujuaji ujuaji tu.....nchi hii Wapuuzi siyo wanasiasa tu kuna kundi linajiita wachambuzi wa michezo ni janga la taifa maana vilaza wote wamekimbilia huko na wanapewa air time kubwa Kwa kuongea upuuzi
Walikua washaanda defensive mechanism Yao ya kusema wanasiasa wanaingilia
 
Halafu hawa wanasiasa ni wajinga sana, hii mara ya pili nawaona wana intercept mpira kwa kuingiza siasa

Sijui wanajionaje yani?
Mimi ndo nina aleji na wanasiasa jambo lolote hata likinisisimua tangu mwanzo likishaingilia na mwanasiasa tu mzuka unakata kabisa mfano afcon tulishiriki taifa starz mpaka tunafungwa na senegal nilikua na mzuka na timu yangu ila nilivyosikia tu bashite katia timu kambini mzuka ukakata kabisa hata mechi iliyofata vs kenya sikuiangalia kabisa
 
Walikua washaanda defensive mechanism Yao ya kusema wanasiasa wanaingilia
Unajua hawa wanasiasa waliharibu toka mwanzo. Sisi tulishaenda msihi mama yake Feisal kuwa ahakikishe mwanawe anarudi Yanga. Akasema ataongea naye. Tukamtoa pesa kidogo. Wao wakamuita kumtisha kale katoto kajeuri...sasa tutatumia ubabe wa wanasiasa hao kumbakiza..... Lazima abaki tu huyu dogo.
 
Swala la Feisal halihitaji mwanasiasa kuingilia kati, tulisha waaambia mmemwingiza choo Cha kiike mchezaji.

Sasa inabidi mkubali mli mpotosha mchezaji Kwa tamaa zenu na ghramazake inabidi mchezaji na familia yake wazi bebe wakati nyinyi mmesha kimbia.
Mchezaji hawataki, mnang'ang'ania wa nn, kwan lazimaa achezee Yanga tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawataki utopoloooooo.
 
Back
Top Bottom